Ndugu zangu naombeni ushauri, ujauzito huu ni wa nani au nifanye nini?

Unaweza kuwa wako au wa huyo mwingine.

Kifupi mke wako hakupendi na wala hataki kuzaa na wewe, mwanamke anayempenda mume wake na kupitia hayo yote hasingesafiri wakati mzuri wa kupata mimba na kwenda kulala na mwanaume mwingine.

Wewe hauna kitu hapo, pole sana kea hili. Sababu ni kwamba hakuna mwanamke anayemoenda kumewr narudia tena atafanya aliyokufanyia.

Pia amekudanganya na kukufanya mjinga sana, kwa kukuambia huyo mume mwenzako hasimamishi. Ni uongo anakujua akajua hautauliza tena, sababu unahamu ya kupata mtoto ndio kakudanganya na kutenda hayo. Labda pia tangu umuoe amekuwa anakudanganya.

Kuna wanawake siku hizi wanaolewa tu ili kujiwekea heshima, huku wakiendelea matendo mabaya na wanaume ambao hawawezi kuoana. Wengi wanakuwa waume wa watu au wasiotaka kujiharibia heshima.

Narudia tena hauna mke na pole sana, nimesikitika sababu naonaga wengi wanaotafuta watoto na wanaume wengi wanaendaga nje kuzaa na michepuko. Ila wewe umemvumilia na anatenda hayo.

Huyo anataka kuzaa na mume mwenzako, I mean na huyo beana wake na sio wewe.

Yaani mimba yaweza ikawa yako au sio yako, mbegu za mwanaume uendelea kukaa ndani ya mwanamke ikielea kusaka yai hata siku moja mbiki yaweza dumbukia.

Mwanamke ugundua ana mimba anapo miss period na wengine period yaweza kuja kutoka wakati wameshika mimba.

Mimi sio mjuzi wa kuandija mengi, ila nikiguswa naandika. Tafuta kwanamke mwingine, hafai iuwa mke. Utabarikiwa watoto na mwingine kama huyo wako utalea ukipima DNA, mpe uhuru aende.kwa mchepuko wake. ataisoma namba hakufai tupilia mbali, tabia mbovu sana kama hakupendi na hataki kuzaa na wewe angekuambia tu.
 
Hata mimi ningefanya hivyo
 
Ukweli ni kwamba hakutaka kuzaa na ww na ndio maana adi kalazimisha kwenda kumpa anae taka kuzaa nae, ukiendelea kuishi nae unatakiwa ukapimwe akili
 
Huyo ni wa kupiga makofi na kufukuza au unaongeza mke wa pili

Eti anaaga anaondoka kisha anakuambia mume eti hawara mwenyewe hata hasimamishi wtf huyo ni wa kupigwa maigeli ,
 
Hasimamishi vizur angekutoroka bhoc mambo mengine hayaitaji elim wala ushauri
 
 
ina 7 weeks na cku alizoenda hazlingan na mda huo ni ya kwako au uje ujalibu DNA ingawa nackia ni gharama
 
Mtoto akizaliwa.. fanya utaratibu wa kupima dna... ili ubishi uishe
 
Chagua moja kati ya haya. 1. Kubali tu kulea mtoto ambaye si damu yako maana nakuhakikishia kwa 1000000000000% hiyo mimba si yako.

2. Achana naye kama haupo tayari kwa ushauri namba 1.

UACHE UJINGA. UNADHALILISHA WANAUME, HILI UNGEAMUA MWENYEWE BILA HATA KUJA HUKU
 
Mimi niliposoma thread hii nilijikuta natupa ngumi hewani
 
Kaka;
Naomba kutofautiana na wengi ka sio wote waliokushauri. Kwanza pole zangu kibao kwako kwa yalokupata. Pili, elewa kuwa hakuna mwanamume mwenye uwezo wa kusema wazi kuwa watoto hawa ni wangu. Tumefika pahala pa kusema; Kitanda hakizai kharam!! Upo hapo?? Maudhi huja pale mama mnakorofishana anakuambia; Usimgombeze mtoto wangu huyu, hujui nilivyo mpata miye. Ndo unaanza kuwaza, moja na moja ikawa 10.
Nakuomba, angalia maelewano yako na mkeo. Amekuvumilia muda mrefu saana tu kuhusu mtoto uliyeshindwa kumpatia. Sasa akafika pahala akaamua kujaribu nje ya ua. Akafanikiwa, sasa amerudi home na kukuambia mtoto mtarajiwa ni wako. Swali la kujiuliza, Je, unayo nguvu ya kufyamba?? Kama huna nguvu, vumilia ila mwombe kuwa, akizaliwa awe ndo wa mwisho kwenu. Mtakuwa mnahesabiwa kuwa mlizaaga mtoto mmoja. Ng'oa kizazi chake kabisa kabisa. Akubali hivyo kinyume na hapo atakuletea tena mwingine. Umeshajua wazi kuwa huna uwezo wa kumfyamba sasa ya nini kuendeleza ukoo usio wako??
Pili, akizaliwa mtoto, aandikwe jina lako, tuone ka atajitokeza kidume kuja kusema ni wake. Mambo haya yanahitaji uvumilivu kwani wewe unajua wazi kuwa huna nguvu ya kuleta kiumbe duniani. Sasa, kuficha aibu, pokea huyo mmoja tu na asije tena mwingine. Huyo mama akitaka kuendeleza kwa nguvu, jua hana jema na weye. Na uhusiano na jamaa yake akuhakikishie utakoma kabisa.
 
Hawa ndio wanaofanya wanaume tuonekane hatuna maana....Maana huyu kaolewa
 
Nawashukuru kwa Maonu yenu.
Nafuatilia vizuri kabisa mjadala huu!!
 
Bila samahani, sijaoa, ila mtarajiwa wangu nilishamwambikabisa. Sina urafiki na usaliti na huwa sibadili maamuzi nikishafanya, nikigundua kwa namna yeyote clue za usaliti ndio kwa heri.

Hongera kwa uvumilivu ulionao. Unastahili kupewa tuzo na CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…