Ndugu zangu naombeni ushauri, ujauzito huu ni wa nani au nifanye nini?

Ndugu zangu naombeni ushauri, ujauzito huu ni wa nani au nifanye nini?

We endelea kula mzigo
Usikurupuka
Nenda kapime nae kwanza HIV
Kisha kaa tulia kabisa andaa na hela ya kupima DNA
Ila usimwambie mtoto akizaliwa tukapime DNA ukimwambia anaweza kutoa mimba, cha msingi fanya siri kabisa,
Mtoto akishuka be happy yu usioneshe aina yoyote ya kutoamini
Kisha siku ya kwenda clinic mpeleke
Mfanyie surprise mwambie nataka tumpime huyu mtoto na mimi DNA
 
Habari wakuu,

Naamini ni wazima wa afya.

Naomba niende moja kwa moja kwenye mada..

Ndugu zangu, nina miaka kadhaa tangu 6/2012 nimuoe shemeji yenu, tumekuwa tukihangaika kupata mtoto lakini mpaka mwaka huu ikawa imeshindikana bila mimi kuwa na shida yoyote na yeye mke wangu alikuwa na matatizo madogo dogo (majibu ya hosptal) ambayo tulishasolve lakini bado ikawa bado mtoto kupatikana.

Sasa kufikia tar 20/08/2016 tukashauriwa tumuone Dr. fulani hivi ni mtaalamu wa wanawake na alikuwa amesaidia wengi tu, Tarehe hiyo hiyo mke wangu alikuwa kwenye siku zake ndo ilikuwa inaanza alipewa dawa za siku 5 kila mwezi atapoingia bleed lakini kuanzia alipoanza kutumia hizi dawa kulikuwa na madiliko katika mwili wake uke unakuwa na ute wa kutosha wakati wa kukutana na wife, na Dr kutokana tarehe hizo alizoingia Bleed akatueleza kuwa kuanza Tar 01-05/09/2016 tuanze kukutana na mke wangu kwani si siku nzuri za kupata ujauzito.

Sasa hapa naomba wataalamu kuhesabu tarehe za mwanamke kushika Mimba wachukue nafas hasa huu wa siku 28 kufika tarehe 29 au 30/08/2016 nakumbuka nilikutana na mke wangu usiku kwa furaha tu.

Lakini kufika tareh 02/9 jioni mke wangu aliniomba ruhusa ya msibani lakini sikumjibu chochote ili badae kidogo niombe chakula ya usiku nikapewa lakini si kwa furaha kivile kama alinitengea tu nilipomaliza nikampa jibu kuwa hakuna kwenda msibani lakini asubuhi aliondoka kienyeji tu na akasafiri akaenda mkoani kwa hawara yake aliyekuwa anachat naye kwa siri sana.

Akaenda akalala naye{inauma} huko Jumamosi kuamakia Jumapili jioni ndo akaingia home nilimbana sana aeleze alipokuwa alikataa kusema japo tayari nilishajua kama wiki hivi alikubali baada ya ugomvi mkubwa sana tukasuluhisha nimamsamehe lakini baada wiki mbili alikuwa mjamzito lakini aliogopa kusema mojamoja kwangu mpaka siku ya 3 ndo kuniambia na mimi nikakataa na kumuuliza hii mimba ya nani? Anajibu yangu nikauliza kwanini na kipi vipi? Ooh yule mwanaume hasimamishi vizuri{inauma}

Sikukubali tareh 22/10/2016 tukaenda kuchek ultrasound ili nijue kama inaweza ku-calculate mimba hii ni ya siku ngapi lakini majibu ujauzito ni wa 7 weeks na siku kadhaa.

Sasa ndugu zangu naombeni ushauri ujauzito huu ni wa nani au nifanye nini?

Nipo njia panda ndugu yenu sina majibu kabisa please

Samahani kama nimechanganya au sijaeleweka sehemu maana natumia simu kuandika.

Asante.
Samahani we ni jinsia gani?ke au me?mkeo kgongwa unamsamehe unakuja kutuuliza mimba ni ya nani?jibu rahisi sana kwa swali gumu naloweza kukupa ni kwamba mimba ni yenu wewe na mke wako!
 
Aisee hii kesi ni ngumu sana hata kwa sisi wazee...

Huyu mleta mada ni mtu jasiri sana...

Mwanamke kaondoka bila kuaga akaenda kwa hawara yake katika tarehe ambayo daktari alishamhakikishia ndio nzuri ya kushika ujauzito... akalala huko usiku kucha. Akakiri jamaa kamlamba... Akapata ujauzito lakini "akaogopa" kusema... baadaye akasema. Kisha anakuambia mimba ni yako kwa kuwa jamaa "hadindishi vizuri"

Hapa kwa sisi wazee wa zamani tunahesabu makosa yafuatayo kwa mwanamke huyu:

1. Mkaidi na mkorofi (Kuondoka kwa jeuri kwenda kwa hawara yake)
2. Mzinzi (kulalwa na hawara yake usiku kucha)
3. Asiyejali (kulalwa na hawara bila kutumia kinga)
4. Muongo (kudanganya hawara aliyemfungia safari kumfuata huko aliko hadindishi vizuri)
5. Mlaghai (kumbambikiza mmewe mimba hewa)

Kwa haya machache tu, baraza la wazee tunamtunukia mleta mada kwa ujasiri uliotukuka aliokuwa nao, kwa maana hakika hapa alipaswa kutuambia sababu zilizomfanya amtaliki mkewe na wala si kutuuliza mimba ile ni ya nani.

Mke haachwi ila kwa zinaa. Kuna kusameheana lakini kosa hili la kudhamiria, lililoambatana na kiburi na ufedhuli wa hali ya juu... hapana bhana!!

Ila kwakuwa wahenga walishatudanganya kitanda hakizai kharamu, basi ngoja tumwache afuate ushauri wa JK... Akili za kuambiwa, changanya na zako.

Baada ya kusema hayo, tafazali nipelekee salamu zangu za dhati kwa mwalimu snowhite na michepuko yangu Heaven Sent , Heaven on Earth , Honey Faith ,atoto Valentina .

Unasalimiwa na shemeji yako geniveros

cc Kaizer
Aiseee!! Babu kumbe mm mchepuko wako!!
 
Mkuu kama huyo mkeo (kama unavyomuita) kakuambia hawara yake hasimamishi na kakuacha wewe kumfuata yeye, umejitathimini usimamishaji wako anauzungumziaje huko kwa wengine?
 
Hata kama nikupenda sio huku jamani, au tatizo ni kwavile anamimba naww ulikuwa ukitafuta mtoto kwa muda mrefu kwa hiyo unaona umelamba dume kusikia ana mimba?? Aibu ya kukosa mtoto huwa inakuwa kubwa sana kwa mwanamke na huwa wakotayari kusaliti ndoa ilimradi mtoto apatikane.
 
Yaani umegongewa mke halafu umekubali kuendelea naye [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii ndio limbwata orijino
 
DNA kwa bongo ni siasa tupu maana wanaona vipimo vikitolewa na kuonesha baba wa mtoto ni mwingine itasababisha mifarakano na mtoto kukosa matunzo.

It's unfair kwa anaebambikiwa mtoto, na hata mtoto mwenyewe kutomjua baba yake halisi, bora kujua kweli na km mtu asingetaka mifarakano angetulia,
 
itakuwa dokta alimwambia wewe huwezi kumpa mimba
sema nae akacheza game lake vibaya
 
[HASHTAG]#Clueless14[/HASHTAG] nahisi wewe pia ni mmoja wao kama umeolewa lazima utakua umemletea mmeo mtoto wa nje siamini kabisa unavyotetea ujinga wa mwanamke mwenzio khaaa !! [emoji86] [emoji86] [emoji86]

Hivi mimi na wewe nani mjinga?
Nimeshauri apime dna kujua mtoto wa nani ujinga wangu uko wapi? Pita kushoto usinitafutie ban
[HASHTAG]#nottodaysatan[/HASHTAG]!
 
Pole sana ndugu yangu ukweli unagongewa kitendo cha kumkataza mkeo asiende msibani na yeye anaamua kwa makusudi kuondoka kuna driving force toka nje. Options mbili moja huyo mkeo kesharubuniwa mawazo yake uamue kumpiga chini au ungoje mtoto azaliwe mkapime DNA ili kuthibitisha ukweli wa mambo.
 
Ulipewa kibishi kibishi usiku.

Asubuhi akaondoka kibabe akaenda gegedwa akarudi kesho yake (Usiku Kucha Alishindia Mpini kwa maana hiyo).

Siku aliyong'ang'ania safari ya mgegedo ni exactly tarehe zilee mlizoshauriwa na daktari kuwa hata likizo ikibidi muombe ili mjenge mtoto. Yeye kasepa.

Uhakika kuwa aligegedwa unao kabisa.

Leo mnasuluhisha afu freshh tu unatulia.

Utetezi ni "Hasimamishi Vizuri" na wewe ukakubali. Mwenzio anaambiwa hausimamishi kabisa nahisi.

Na kwa kuzingatia yote hayo Nakushauri Chukua nguo zako kimbia kama Subaru. Au ukiamua kubaki basi kaa kwa kutulia acha kulia lia huku na kule. Kaa kwa uvumilivu.

Wahenga japo walikuwa walevi wana msemo wao "Kitanda hakizai haramu"

SWALI: Je Mkuu Wewe Hobbies Zako Ni Nini?
 
"Inauma"kuona mwanaume unafanywa bwege na wewe unakubali...

Kwa staili hii...acha huyu wa kwangu aendelee kuwa mnoko...
 
Habari wakuu,

Naamini ni wazima wa afya.

Naomba niende moja kwa moja kwenye mada..

Ndugu zangu, nina miaka kadhaa tangu 6/2012 nimuoe shemeji yenu, tumekuwa tukihangaika kupata mtoto lakini mpaka mwaka huu ikawa imeshindikana bila mimi kuwa na shida yoyote na yeye mke wangu alikuwa na matatizo madogo dogo (majibu ya hosptal) ambayo tulishasolve lakini bado ikawa bado mtoto kupatikana.

Sasa kufikia tar 20/08/2016 tukashauriwa tumuone Dr. fulani hivi ni mtaalamu wa wanawake na alikuwa amesaidia wengi tu, Tarehe hiyo hiyo mke wangu alikuwa kwenye siku zake ndo ilikuwa inaanza alipewa dawa za siku 5 kila mwezi atapoingia bleed lakini kuanzia alipoanza kutumia hizi dawa kulikuwa na madiliko katika mwili wake uke unakuwa na ute wa kutosha wakati wa kukutana na wife, na Dr kutokana tarehe hizo alizoingia Bleed akatueleza kuwa kuanza Tar 01-05/09/2016 tuanze kukutana na mke wangu kwani si siku nzuri za kupata ujauzito.

Sasa hapa naomba wataalamu kuhesabu tarehe za mwanamke kushika Mimba wachukue nafas hasa huu wa siku 28 kufika tarehe 29 au 30/08/2016 nakumbuka nilikutana na mke wangu usiku kwa furaha tu.

Lakini kufika tareh 02/9 jioni mke wangu aliniomba ruhusa ya msibani lakini sikumjibu chochote ili badae kidogo niombe chakula ya usiku nikapewa lakini si kwa furaha kivile kama alinitengea tu nilipomaliza nikampa jibu kuwa hakuna kwenda msibani lakini asubuhi aliondoka kienyeji tu na akasafiri akaenda mkoani kwa hawara yake aliyekuwa anachat naye kwa siri sana.

Akaenda akalala naye{inauma} huko Jumamosi kuamakia Jumapili jioni ndo akaingia home nilimbana sana aeleze alipokuwa alikataa kusema japo tayari nilishajua kama wiki hivi alikubali baada ya ugomvi mkubwa sana tukasuluhisha nimamsamehe lakini baada wiki mbili alikuwa mjamzito lakini aliogopa kusema mojamoja kwangu mpaka siku ya 3 ndo kuniambia na mimi nikakataa na kumuuliza hii mimba ya nani? Anajibu yangu nikauliza kwanini na kipi vipi? Ooh yule mwanaume hasimamishi vizuri{inauma}

Sikukubali tareh 22/10/2016 tukaenda kuchek ultrasound ili nijue kama inaweza ku-calculate mimba hii ni ya siku ngapi lakini majibu ujauzito ni wa 7 weeks na siku kadhaa.

Sasa ndugu zangu naombeni ushauri ujauzito huu ni wa nani au nifanye nini?

Nipo njia panda ndugu yenu sina majibu kabisa please

Samahani kama nimechanganya au sijaeleweka sehemu maana natumia simu kuandika.

Asante.
We nawe ka! Tukiita wanau
Habari wakuu,

Naamini ni wazima wa afya.

Naomba niende moja kwa moja kwenye mada..

Ndugu zangu, nina miaka kadhaa tangu 6/2012 nimuoe shemeji yenu, tumekuwa tukihangaika kupata mtoto lakini mpaka mwaka huu ikawa imeshindikana bila mimi kuwa na shida yoyote na yeye mke wangu alikuwa na matatizo madogo dogo (majibu ya hosptal) ambayo tulishasolve lakini bado ikawa bado mtoto kupatikana.

Sasa kufikia tar 20/08/2016 tukashauriwa tumuone Dr. fulani hivi ni mtaalamu wa wanawake na alikuwa amesaidia wengi tu, Tarehe hiyo hiyo mke wangu alikuwa kwenye siku zake ndo ilikuwa inaanza alipewa dawa za siku 5 kila mwezi atapoingia bleed lakini kuanzia alipoanza kutumia hizi dawa kulikuwa na madiliko katika mwili wake uke unakuwa na ute wa kutosha wakati wa kukutana na wife, na Dr kutokana tarehe hizo alizoingia Bleed akatueleza kuwa kuanza Tar 01-05/09/2016 tuanze kukutana na mke wangu kwani si siku nzuri za kupata ujauzito.

Sasa hapa naomba wataalamu kuhesabu tarehe za mwanamke kushika Mimba wachukue nafas hasa huu wa siku 28 kufika tarehe 29 au 30/08/2016 nakumbuka nilikutana na mke wangu usiku kwa furaha tu.

Lakini kufika tareh 02/9 jioni mke wangu aliniomba ruhusa ya msibani lakini sikumjibu chochote ili badae kidogo niombe chakula ya usiku nikapewa lakini si kwa furaha kivile kama alinitengea tu nilipomaliza nikampa jibu kuwa hakuna kwenda msibani lakini asubuhi aliondoka kienyeji tu na akasafiri akaenda mkoani kwa hawara yake aliyekuwa anachat naye kwa siri sana.

Akaenda akalala naye{inauma} huko Jumamosi kuamakia Jumapili jioni ndo akaingia home nilimbana sana aeleze alipokuwa alikataa kusema japo tayari nilishajua kama wiki hivi alikubali baada ya ugomvi mkubwa sana tukasuluhisha nimamsamehe lakini baada wiki mbili alikuwa mjamzito lakini aliogopa kusema mojamoja kwangu mpaka siku ya 3 ndo kuniambia na mimi nikakataa na kumuuliza hii mimba ya nani? Anajibu yangu nikauliza kwanini na kipi vipi? Ooh yule mwanaume hasimamishi vizuri{inauma}

Sikukubali tareh 22/10/2016 tukaenda kuchek ultrasound ili nijue kama inaweza ku-calculate mimba hii ni ya siku ngapi lakini majibu ujauzito ni wa 7 weeks na siku kadhaa.

Sasa ndugu zangu naombeni ushauri ujauzito huu ni wa nani au nifanye nini?

Nipo njia panda ndugu yenu sina majibu kabisa please

Samahani kama nimechanganya au sijaeleweka sehemu maana natumia simu kuandika.

Asante.
 
Ka huyu naye ni mwanaume?Una hitilafu kwenye ubongo.Jeuri ya kupost upuuzi huu ndo imepelekea nione una hitilafu.ww siyo.You might be insane.
 
Ningekuwa mimi tayari niko jela nanyea ndoo kwa kuua..![emoji51] [emoji51] [emoji51] [emoji51]
 
Back
Top Bottom