Ndugu zangu naombeni ushauri

KOSA LAKO KUBWA LILIKUWA HILI HAPA
baada ya apo Nika mweleza kwamba mm na mpenda na simtak kwa ajiri ya sex, hapan kwa ajiri ya maisha kiufup tujeng mahusiano hadi apo MUNGU atakapo tuunganisha rasmi kama mke na mume.
Kijana alijidefense hajui kua hao walokole casfeta show znatembea kama Kawaida kimya kimyaπŸ˜…πŸ˜…
 
At that age ndio first love experience unapata so you are so innocent bola kujua pengine mwenzako tayari ni gwiji..
Haya ndio mapenzi na wewe utakuja kupendwa na binti ambaye hutampenda
Ivi inakuaje hii hali mtaalamu kupendwa na binti usiemkubali na maamuzi gani yatumike mkuu!?
 
Ukitongoza mwanamke hata Kama upo kwaajiri ya malengo mpaka kufikia ndoa usimwambie hizo habari utaki sex eti upo kwaajiri ya malengo nooh namna ya utongozaji ni uleule ila usiseme hauko kwa sex hayo mambo ya kutokuhitaji sex ayaseme mwanamke huko mbele.....01

02....Unawezaje kumoenda mwanamke ambae hajawai kukupa attention, binafsi mpaka nimoende mwanamke yaani ile kufikia level kuja kufikia kuja kuandika uzi Kama huu lazima awe nilimpa attention na yeye akanipa attention, kunijari, romances na moments hizi ndio huwa zina run kichwani na kufanya mtu umpende mpaka wengine walio na moyo mdogo wakiachwa wanakuwa na mawazo Sasa wewe unasema hajawai kukupa attention, kuanza kukutumia sms, care wala hakuna moments zozote za kimapenzi ambazo zinaweza kuwa stored kwenye Ubongo ULIWEZAJE KUMPENDA, KIPI KIMEKUFANYA KUMOENDA ??

Personal, mwanamke nikimtongoza mala moja akikataa Basi au kana naona ananifaa Sana nitakumbushia mala ya pili akikataa Basi, endapo amekubali Nina siku 4 mapaka 5 za kuanza Mimi kumtumia SMS ndani ya siku hizo namsoma kama ataanza yeye kutuma sms zikifika siku 6 haanzi yeye kutuma SMS penzi linakufa au Kama nilikuwa na malengo nakuweka Kama demu tu wakupoa.

Mkuu inabidi mwanamke awe na hisia na wewe aisee unawezaje kupenda asiye na hisia na wewe
 
UNAMLAZIMISHA MWANAMKE AKUPENDE?? yani huyu mwanamke hata umpe nini hawezi kukupenda utaishia kula hela zako tu na hutaambulia hata kiss na ubaya mwisho wa siku unaweza fikiria kumlipa ubaya maana kashakula vyako vingi ndo yale mnafikiria kuua wadada wa watu.
 
Ushauri wa nn wakati kashakuambia hakutaki dogo soma mapenzi baadae
 
Dah Qqmmkk kama utani kumbe kweli 🀣🀣🀣🀣
Watu wanateswa kmmkπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜… nmecheka Sana aisee

Mtoa Mada no offense

Just pull up your game man, this world is not for the weak
 
Mwalimu kubali ukweli huyo binti hakupendi na keshakwambia ila unajikuta wewe ndie unayejua kupenda sana. Kuwa makini usijeishia kuua
 
Kwa hiyo papuchi yake hujaila hata mara moja??
 
Wanaokuambia sijui soma kwanza achanaaa nao

Wanaokuambia mapenzi utayakuta pia achana nao mapenzi yenyewe ndio hayo hayo

Wanaokuambia utoto hata wenyewe walipitia na wengine wanawake ukiwaendea vizuri wanakuvulia chupi

Miaka 22 ya leo sio ya miaka ile

Elimu ya leo sio ile ya kukamia ya miaka ile

Piga shule, piga papuchi

Ila acha ufala huyo dem piga chini, anakutumia

Vuta pisi ule maisha
 
Achana na watoto wa juzi, njoo nikuvutishe bange, upate akili yako, usiubiri ushauri kwa watu. 🚬🚬

.... weed smoker....
 
Mm nitakushauri,lkn nijibu swali moja,ulishawahi kupiga mashine au ulileta ulokole mwingi?

Kama umeshakula mzigo nna cha kukushauri.

Kama hujawahi l,piga we kaza moyo,songa mbele na wewe utakuwa bwege tu na kenge.
 
mma
maisha ya walimu wa sekondari ni magumu kiasi ni kazi nzuri zaidi kwa wanawake , fikiria kuondoka kwanza kwenye taaluma hiyo Kisha anza kufikiria mapenzi .Huyo dada nurse hana uhakika wa maisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…