Ndugu zangu natafuta mke mwema naombeni maombi yenu

Ndugu zangu natafuta mke mwema naombeni maombi yenu

jjs2017

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2019
Posts
2,025
Reaction score
4,276
Ndugu zangu mimi ni kijana miaka 32+, sina mtoto,mkristo na mpambanaji.

Natafuta mwanamke wa kuoa

*Asiwe na mtoto au kutoa mimba au kutumia dawa za uzazi wa mpango

*Awe mke mwema kwangu

*Mama bora kwa watoto Mungu atakao tujalia

*Awe na umri wa miaka 18-25

*Awe mvumilivu maana maisha ni kupanda na kushuka na asiwe na tamaa mbaya

* Asiwe na tatoo , asiwe katiboa masikio zaidi ya mara mbili, asiwe katoboa pua au kitovu, asiwe mfuasi wa nywele na kucha bandia

* Awe anajipenda yeye na kujikubali jinsi alivyo kwani napenda mwanamke natural

*Awe mkristo ila kama ni muislam akubali kufata upande wangu .

Nimeamua kutafuta na hapa maana naamini waliopo mtaani pia wapo hapa, hata wazazi , marafiki na ndugu zao wapo hapa kama mtaguswa msisite kutuunganisha

Karibuni ..

Asanteni
 
Ndugu zangu mimi ni kijana miaka 32+, sina mtoto,mkristo na mpambanaji.

Natafuta mwanamke wa kuoa
...
Upo mkoa gani?? Ningekuelekeza kwa mabinti wacha Mungu wanao sali kwaajili hiyo hiyo. Ni waadilifu wenye nia na dhamira safi.. Uniniulize nimejuaje.. Nina maanisha ninachosema.. Wamelelewa kwa malezi bora.
 
Back
Top Bottom