Ndugu zangu natafuta mke mwema naombeni maombi yenu

Ndugu zangu natafuta mke mwema naombeni maombi yenu

Utapata. Ila wakati unawatafuta usichague kwakuangalia hali uliyonayo sasa, uangalie kesho unataka nini, utakua nani ili asije akapwaya
 
Ndugu zangu mimi ni kijana miaka 32+, sina mtoto,mkristo na mpambanaji.

Natafuta mwanamke wa kuoa

*Asiwe na mtoto au kutoa mimba au kutumia dawa za uzazi wa mpango

*Awe mke mwema kwangu

*Mama bora kwa watoto Mungu atakao tujalia

*Awe na umri wa miaka 18-25

*Awe mvumilivu maana maisha ni kupanda na kushuka na asiwe na tamaa mbaya

* Asiwe na tatoo , asiwe katiboa masikio zaidi ya mara mbili, asiwe katoboa pua au kitovu, asiwe mfuasi wa nywele na kucha bandia

* Awe anajipenda yeye na kujikubali jinsi alivyo kwani napenda mwanamke natural

*Awe mkristo ila kama ni muislam akubali kufata upande wangu .

Nimeamua kutafuta na hapa maana naamini waliopo mtaani pia wapo hapa, hata wazazi , marafiki na ndugu zao wapo hapa kama mtaguswa msisite kutuunganisha

Karibuni ..

Asanteni
Nawaza tu hapa! Hivi ukimpata huyo mwanamke, utajuaje kama hajawahi kutoa mimba au kutumia vidonge vya uzazi wa mpango?
 
Nenda Facebook hapa hupati ushaonyesha kuwa wew bado unga unga mwana [emoji120][emoji120][emoji120] ila tupambane tutapata [emoji16][emoji16]
 
Upo mkoa gani?? Ningekuelekeza kwa mabinti wacha Mungu wanao sali kwaajili hiyo hiyo. Ni waadilifu wenye nia na dhamira safi.. Uniniulize nimejuaje.. Nina maanisha ninachosema.. Wamelelewa kwa malezi bora.
Kanisa lipo wapi mzee nikanunue suti kabisa
 
Asa sikia
Kuna dada ake rafk angu sema alikua na mahusiano na kamaa hivii wakuitwa john

Kwenye trako pale kaandika trako la john

Ila ni kako natural afu pis balaa na hana mtoto

Tumwambie afute ohn ibaki J iwe yako😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom