Ndugu zangu natafuta mke mwema naombeni maombi yenu

Upo mkoa gani?? Ningekuelekeza kwa mabinti wacha Mungu wanao sali kwaajili hiyo hiyo. Ni waadilifu wenye nia na dhamira safi.. Uniniulize nimejuaje.. Nina maanisha ninachosema.. Wamelelewa kwa malezi bora.
😀mkuu weka connection
 
Duuuh weka link mkuu
Link tena ndugu.. Hao ninawaheshimu na kuwapenda, tunawaombea daima wapate wenzi wema maana na wao kutokana na malezi bora ya kijamii na kiimani wanakusudua kuwa wake bora na wema. Kwa wale wenye nia njema wanione faragha.. Nitawapa mawasiliano.. Lakini nipo tayari kuwapokea kama wageni wangu endapo watataka kuonana au kuwaona wahusika ili waamue wenyewe kama mioyo yao inavutiwa nao.
Maana ndoa ni jambo takatifu sana. Ndoa ni mpango wa Mungu. Atamaniye ndoa atamani jambo takatifu na la kicho.
 
Nenda pale Mwenge kwa Bishop. Kakobe utapata mkuu
 
Umepata
 
Unatafuta wake cyo mke yaani asiwe na mtoto alfu asitumie njia za uzazi wa mpango Wala asiwe ametoa mimba hzi sifa za wanawake watatu tofauti ila Kila la kherii😂😂😂
 
Mtapigwa na kitu kizito huyu sio muoaji maan nyuzi zake za kihuni
Mimi ni muoaji na nipo serious kuoa, usiangalie nyuzi zangu na wala usiisemee binafsi yangu.. sipo kama unavyo ni fikiria nipo serious natafuta mke mwema mwenyesifa tajwa hapo juu. Wanaonifahamu wapo humu na wenye mawasiliano na mimi wapo humu pia wananijua fika nilivyo
 
Unatafuta wake cyo mke yaani asiwe na mtoto alfu asitumie njia za uzazi wa mpango Wala asiwe ametoa mimba hzi sifa za wanawake watatu tofauti ila Kila la kherii[emoji23][emoji23][emoji23]
Naamini nyupo mmoja wao ninae mtaka wa namna hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…