Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Kuhesabu pia lazima nivae kanzu na barakashia?Wadau hamjamboni nyote?
Nimeanza jifunza kuhesabu kwa kiarabu
Asubuhi ya leo nimeona tujifunze pamoja kuhesabu kuanzia moja hadi kumi
Wanazuoni kama Kuna makosa naomba mnirekebishe
Asubuhi njema wapendwa
1. Wahedaa
2. Sania
3.Salatha
4.Alba
5.Hamsa
6. Sitaa
7. Sabaa
8.Samania
9.Tisaa
10.Ashara
Why nijifunze kiarabu? Kwa faida gani na kwanini?Wadau hamjamboni nyote?
Nimeanza jifunza kuhesabu kwa kiarabu
Nimeona niwe tofauti na Wakiristo wenzangu wanaamini kuwa kiingereza ndiyo lugha sahihi zaidi kwao kuliko lugha nyingine
Kiarabu ni mojawapo ya lugha Bora Duniani Tena iliyoshishwa na kitabu kitakatifu
Asubuhi ya leo nimeona tujifunze pamoja kuhesabu kuanzia moja hadi kumi
1. Wahedaa
2. Sania
3.Salatha
4.Alba
5.Hamsa
6. Sitaa
7. Sabaa
8.Samania
9.Tisaa
10.Ashara
Wanazuoni kama kuna makosa naomba mnirekebishe
Asubuhi njema wapendwa
Yote kheriWadau hamjamboni nyote?
Nimeanza jifunza kuhesabu kwa kiarabu
Nimeona niwe tofauti na Wakiristo wenzangu wanaamini kuwa kiingereza ndiyo lugha sahihi zaidi kwao kuliko lugha nyingine
Kiarabu ni mojawapo ya lugha Bora Duniani tena iliyotumika kushushua kitabu kitakatifu
Asubuhi ya leo nimeona tujifunze pamoja kuhesabu kuanzia moja hadi kumi
1. Wahedaa
2. Sania
3.Salatha
4.Alba
5.Hamsa
6. Sitaa
7. Sabaa
8.Samania
9.Tisaa
10.Ashara
Wanazuoni kama kuna makosa naomba mnirekebishe
Asubuhi njema wapendwa
Aliyekudanganya Quran imeshushwa ni nani?Wadau hamjamboni nyote?
Nimeanza jifunza kuhesabu kwa kiarabu
Nimeona niwe tofauti na Wakiristo wenzangu wanaamini kuwa kiingereza ndiyo lugha sahihi zaidi kwao kuliko lugha nyingine
Kiarabu ni mojawapo ya lugha bora Duniani tena iliyotumika kushushia kitabu kitakatifu
Asubuhi ya leo nimeona tujifunze pamoja kuhesabu kuanzia moja hadi kumi
1. Wahedaa
2. Sania
3.Salatha
4.Alba
5.Hamsa
6. Sitaa
7. Sabaa
8.Samania
9.Tisaa
10.Ashara
Wanazuoni kama kuna makosa naomba mnirekebishe
Asubuhi njema wapendwa
Imeshushwa kupitia Aya mbalimbaliAliyekudanganya Quran imeshushwa ni nani?
Haijashushwa wala nini, ni uongo wa yule jamaa aliekuwa anaongea na majini. Ujanjaujanja tu. Alafu sio wakiristo. Ni wakristo.Imeshushwa kupitia Aya mbalimbali
Hayo umeyatoa wapi Mkuu?Haijashushwa wala nini, ni uongo wa yule jamaa aliekuwa anaongea na majini. Ujanjaujanja tu. Alafu sio wakiristo. Ni wakristo.
Kuziandika umeshindwa pakubwa.Anza kujifunza kiebrania.Wadau hamjamboni nyote?
Nimeanza jifunza kuhesabu kwa kiarabu
Nimeona niwe tofauti na Wakristo wenzangu wanaoamini kuwa kiingereza ndiyo lugha sahihi zaidi kwao kuliko lugha nyingine
Kiarabu ni mojawapo ya lugha bora Duniani tena iliyotumika kushushia kitabu kitakatifu
Asubuhi ya leo nimeona tujifunze pamoja kuhesabu kuanzia moja hadi kumi
1. Wahedaa
2. Sania
3.Salatha
4.Alba
5.Hamsa
6. Sitaa
7. Sabaa
8.Samania
9.Tisaa
10.Ashara
Wanazuoni kama kuna makosa naomba mnirekebishe
Asubuhi njema wapendwa
Naomba ushauri wa njia bora zaidi ya kupata elimu hii muhimu
Imeshushwa vipi sikuelewi, Qurani imeandikwa baada ya mtume kufa na imeandikwa na waandishi kama kina Paschal Mayalla.Imeshushwa kupitia Aya mbalimbali
Kiarabu ni muhimu sana ukijuwa kitakukufaishaje, binafsi natamani ningejuwa kiarabu kwangu ni deal kubwa.Kiarabu hakina faida yoyote kwa sababu hakuna kitu cha maana cha kiuchumi kitatoka uarabuni.
Sasa hivi jikite kwenye lugha za mashariki ya mbali kama China, Japan, Korea na nchi za mashariki ya mbali.
Uarabuni unajifunza kiarabu kikusaidie nini, hakuna economic potentiality, wabaguzi, watu wa hovyo.
Hatuhitaji mikariro hapa na hatuhitaji kusoma kitu kisichokuwa na faidaaWadau hamjamboni nyote?
Nimeanza jifunza kuhesabu kwa kiarabu
Nimeona niwe tofauti na Wakristo wenzangu wanaoamini kuwa kiingereza ndiyo lugha sahihi zaidi kwao kuliko lugha nyingine
Kiarabu ni mojawapo ya lugha bora Duniani tena iliyotumika kushushia kitabu kitakatifu
Asubuhi ya leo nimeona tujifunze pamoja kuhesabu kuanzia moja hadi kumi
1. Wahedaa
2. Sania
3.Salatha
4.Alba
5.Hamsa
6. Sitaa
7. Sabaa
8.Samania
9.Tisaa
10.Ashara
Wanazuoni kama kuna makosa naomba mnirekebishe
Asubuhi njema wapendwa
Naomba ushauri wa njia bora zaidi ya kupata elimu hii muhimu
hahahahahahahahahahahahahahah........Kuhesabu pia lazima nivae kanzu na barakashia?