Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Nimeanza jifunza kuhesabu kwa kiarabu
Nimeona niwe tofauti na Wakristo wenzangu wanaoamini kuwa kiingereza ndiyo lugha sahihi zaidi kwao kuliko lugha nyingine
Kiarabu ni mojawapo ya lugha bora Duniani tena iliyotumika kushushia kitabu kitakatifu
Asubuhi ya leo nimeona tujifunze pamoja kuhesabu kuanzia moja hadi kumi
1. Wahedaa
2. Sania
3. Salatha
4. Alba
5. Hamsa
6. Sitaa
7. Sabaa
8. Samania
9. Tisaa
10. Ashara
Wanazuoni kama kuna makosa naomba mnirekebishe
Asubuhi njema wapendwa
Naomba ushauri wa njia bora zaidi ya kupata elimu hii muhimu
Nimeanza jifunza kuhesabu kwa kiarabu
Nimeona niwe tofauti na Wakristo wenzangu wanaoamini kuwa kiingereza ndiyo lugha sahihi zaidi kwao kuliko lugha nyingine
Kiarabu ni mojawapo ya lugha bora Duniani tena iliyotumika kushushia kitabu kitakatifu
Asubuhi ya leo nimeona tujifunze pamoja kuhesabu kuanzia moja hadi kumi
1. Wahedaa
2. Sania
3. Salatha
4. Alba
5. Hamsa
6. Sitaa
7. Sabaa
8. Samania
9. Tisaa
10. Ashara
Wanazuoni kama kuna makosa naomba mnirekebishe
Asubuhi njema wapendwa
Naomba ushauri wa njia bora zaidi ya kupata elimu hii muhimu