Ndugu zangu, pengine mnafahamu watu wanatolea wapi fedha?

Ndugu zangu, pengine mnafahamu watu wanatolea wapi fedha?

kindikinyer leborosier

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2018
Posts
456
Reaction score
833
Heshima kwenu jamvini...

Nisije kijana wenu nikawa nazitafuta kwa speed ndogo, hivi jamani watu wanatolea wapi pesa!?

Yaan mara huyu anajenga ghorofa, huyu ananunua gari kufuru, huyu anawachapia nazo wanawake kwenye makalii, huyu anazikamata kama anapiga simu hivi...

Nisije nikawa nimejificha huku ndani ndani sijui chochote.. nisaidieni ndugu yenu, hizi Hela zinapatikana wapi . 🤣🤣

Alamziiiiki!!
 
Fedha Haina mwenyewe,inazunguka na kutembea. Kila siku watu wanakufa nakatika wanaokufa wengine Wana fedha nyingi na hao wanaoipata wanaitumia na kuizungusha. Pia BAHATI pesa Inavutwa na Bahati . Ule msemo wa "kulala maskini na kuamka Tajiri" ni kweli na unafanya kazi
 
Back
Top Bottom