Ndugu zangu tusichoke kuichangia TV Imaan, kituo kizima kina watangazaji wanne

Ndugu zangu tusichoke kuichangia TV Imaan, kituo kizima kina watangazaji wanne

Naam ndugu zangu katika Imaan.

TV yetu pendwà inapitia wakati mgumu katika harakati zake za kusambaza Imaan.
Kituo chote kina watangazaji wachache sana. Yaani imekuwa kawaida kumuona mtangazaji mmoja siku nzima, yaani asubuhi mpaka jioni mtu mmoja anashusha nondo.

Ukiangalia TV Imaan siku mbili basi utawafahamu watangazaji wote.
Changia Imaan Media katika akaunti zao ili kupeleka Imaan mbele.
Hiyo TV ni ya wapi? Hawaonyeshe lig ya uengereza.
 
Yule mwingine alikimbilia Azamtv akaanzisha kipindi cha Zumari

Bwana Jafari Mponda, muimba mashairi na Qaswida
na hakuna hata anachokifanya pale. of course iman ni tv mojawapo ya kuwa nayo makini sana, muslim brotherhood morogoro kama sikosei, na muslim brotherhood ni shirika ambalo hata Misri lilikoanzishwa wamelidesignate kama kikundi cha kigaidi. yaani hata waislam wenyewe wamekiwekea mabado kama kikundi cha magaidi. kama ni kuhubiri imani mna uhuru huo kikatiba, ila sera za muslim brotherhood msituchafulie nchi.
 
Kila mwaka wasikilizaji wa radio Maria huwa wanachangia zaidi ya bilioni 2.
Kwa sasa Wana Masafa ya FM mengi kuliko radio yoyote Tanzania.
Wasikilizaji ndio wanachangaia bilioni 2 eehhh
Haya hebu leta hata kipindi kimoja kilichorushwa kumpinga papa na kuruhusu ushoga kanisa la katoliki
Hapo ndio tutajua nani anachangia....
 
Hivi ni kitu gani sisi tumewahi kukifanya au kukiendesha na kukisimamia kikafanikiwa hata kidogo...?!?! Acha watoto wa Yesu watuburuze kielimu kiuchumi na kiakili
 
Naam ndugu zangu katika Imaan.

TV yetu pendwà inapitia wakati mgumu katika harakati zake za kusambaza Imaan.
Kituo chote kina watangazaji wachache sana. Yaani imekuwa kawaida kumuona mtangazaji mmoja siku nzima, yaani asubuhi mpaka jioni mtu mmoja anashusha nondo.

Ukiangalia TV Imaan siku mbili basi utawafahamu watangazaji wote.
Changia Imaan Media katika akaunti zao ili kupeleka Imaan mbele.
Wakipata pesa nyingi kutaanza vurugu na kituo kitaishia kufungwa.
 
Wakipata pesa nyingi kutaanza vurugu na kituo kitaishia kufungwa.
True. Hii imani na vurugu ni kama bata na maji vile.

Halafu jamaa ni wabaguzi sana. Gea yao eti hawataki makafiri🤣Ona hata pale azamtv kila staff full maushungi na vibarakashia ni kama nssf ya wakati wa uongozi na rama dau na genge lake.
 
Naam ndugu zangu katika Imaan.

TV yetu pendwà inapitia wakati mgumu katika harakati zake za kusambaza Imaan.
Kituo chote kina watangazaji wachache sana. Yaani imekuwa kawaida kumuona mtangazaji mmoja siku nzima, yaani asubuhi mpaka jioni mtu mmoja anashusha nondo.

Ukiangalia TV Imaan siku mbili basi utawafahamu watangazaji wote.
Changia Imaan Media katika akaunti zao ili kupeleka Imaan mbele.
Ritz anaturuhusu kuchangia?
 
Muislam akienda hapo akaomba kujitolea kutangaza bure. Aruhusiwe pia

Kuna vijana wa kiislam kibao wamesomea journalism hawana ajira na wapo tayari kujitolea
Tatizo leo mnataka michango taasisi ikawa imara mnasema ya mtu fulani hiyo kama taasis ya mtu kwa usajili afe nayo tu kama ya umma watu wasaidie mm nkpepata shida sana kuimarisha taasiszinazojiita za kiislam mambo yakiea mazuri migogoro huanza kwa sabb viongozi husema ni zao privately
 
Tatizo leo mnataka michango taasisi ikawa imara mnasema ya mtu fulani hiyo kama taasis ya mtu kwa usajili afe nayo tu kama ya umma watu wasaidie mm nkpepata shida sana kuimarisha taasiszinazojiita za kiislam mambo yakiea mazuri migogoro huanza kwa sabb viongozi husema ni zao privately
Una hoja mkuu usikilizwe
 
Wana maudhui yasiyopendwa, kutwa nzima ni mambo ya kiislam tu, waungane na azam wapate backup. Wajifunze kwa tv upendo, tumaini tv na tv zingine za kidini zinazopata watazamaji wengi
 
Wasikilizaji ndio wanachangaia bilioni 2 eehhh
Haya hebu leta hata kipindi kimoja kilichorushwa kumpinga papa na kuruhusu ushoga kanisa la katoliki
Hapo ndio tutajua nani anachangia....
Hujui Kama kila mwaka kila muumini mkatoliki anapewa Bahasa ya kuchangia Radio Maria?
Na makusanyo yote yanasomwa kanisani?
 
Au wawashawishi wachungaji na manabii kuleta matangazo hapo kituoni, angalau hii itaongeza mapato ya kituo
Samahani mkuu ila sidhani km CV omment hii ilikuwa na umuhim sana hapa, ni km unadhihaki hili jambo.. umewatangazia waislam wachangie kuendesha kituo uislam uende mbele why tena uwahusishe wachungaji na manabii?
 
Viongozi wa kituo wawe Creative, kuna namna nyingi ya kuingiza pesa ikasaidia kituo kwenda mbele.
 
Back
Top Bottom