The Worst
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 6,108
- 21,140
Watakunyanyapaa hao dunia uione chungu.Mimi mkristo ila najitolea kutangaza buree
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakunyanyapaa hao dunia uione chungu.Mimi mkristo ila najitolea kutangaza buree
Aseee wengi hamlipi kodi hio sio siri,,,,,mambo mnayopenda ni magendo kwenda mbele......tena kama kuna ofisi kakaa mtu wa imani yenu basi atacheza faulo za maana kukinga kifuaHuu ukata hauko kwao peke yao kwa kweli.Vituo vingi vya kiislamu na wafanyabiashara wa kiislamu wamebanwa sana kupitia taasisi ya TRA.
Hapo zamani waislamu walidharauliwa eti hawawezi kufanya jambo.Katika kipindi cha miaka 20 iliyopita wameweza kufanya na kuwawacha wakristo nyuma katika maeneo.Hapo sasa ndipo balaa lilipoanza.
Nguvu ya ukandamizaji iliongezeka sana kipindi kifupi cha Magufuli.Unaletewa madai ya kodi ya pesa ambazo hujawahi kuzikamata na ukilipa unaletewa zingine.
Sera hiyo wakati wa mama haijabadilika.
TakbiirWaislamu tunaonewa sana
Mash~AllahNauza nguruwe wangu kuchangia lete acc number
Wa imani yetu kutokana na dhulma ni wachache.Kama umekubali hilo linatokea basi itakuwa umekubali kuwa wakristo ndio wakwepa kodi wakubwa na ndio sababu ya kuwakandamiza waislamu kiuchumi.Aseee wengi hamlipi kodi hio sio siri,,,,,mambo mnayopenda ni magendo kwenda mbele......tena kama kuna ofisi kakaa mtu wa imani yenu basi atacheza faulo za maana kukinga kifua
Si mnasema wenyewe wafanyabiashara wengi ni waislam na waajiriwa wengi ni wakristo........sasa kodi asilimia kubwa inakatwa kwa waajiriwa ,ukija kwa wafanyabiashara ndo wale wenzetu katika imani, shida inaanzia hapoWa imani yetu kutokana na dhulma ni wachache.Kama umekubali hilo linatokea basi itakuwa umekubali kuwa wakristo ndio wakwepa kodi wakubwa na ndio sababu ya kuwakandamiza waislamu kiuchumi.
Macho yenu yameelekea huko kwani kuna vipindi vya maana sana.Vinachambua mambo ya kiroho kuliko kituo chochote Tanzania.Kifungwe tu
Sisi sio kama wale waabudu sanamu la mzungu. Wao bila hela hawasamehewi madhambi na Baba mchungaji.Changa pesa TV imaan isimame wacha blah blah
Umesemaje wewe?hii ni maajabu!!!Radio Maria ina watangazaji wengi lakini haina wasikilizaji.ni mfano wa makanisa na wanaingia humo.
MIL 700 zinaweza kuchangiwa na hata watu 2.Umesemaje wewe?hii ni maajabu!!!
Radio Maria mwaka jana wasikilizaji wake waliichangia zaidi ya 700mill ajabu ktk waliokuwa wanachanga wapo wenye majina ya kiislam leo unasema haina wasikilizaji?
Sema kwa redio nyingine ila sio redio maria,,,,,,,ina wasikilizaji na wachangiaji wa kutoshaMIL 700 zinaweza kuchangiwa na hata watu 2.
Hivyo kuhusu idadi ya wasikilizaji bado hujasema kitu hapo.
Na kama waliochangia walikuwa 10 na mmoja aitwaye Juma akachangia shi.1000 basi huyo alipatwa na huruma tu na akaamua asilipite hilo bakuli bila kutia chochote
Yaani wewe nahisi umechanganyikiwa radio maria iana wasikilizaji mamilioni Bora useme radio nyinge yeyote mzee utakua na tatizo la afya ya akiliMIL 700 zinaweza kuchangiwa na hata watu 2.
Hivyo kuhusu idadi ya wasikilizaji bado hujasema kitu hapo.
Na kama waliochangia walikuwa 10 na mmoja aitwaye Juma akachangia shi.1000 basi huyo alipatwa na huruma tu na akaamua asilipite hilo bakuli bila kutia chochote
Mimi mwenyewe sijawahi hata kuisikiliza.Wewe nawe umeamua kuamini tu kuwa ina wasikilizaji wengi.Yaani wewe nahisi umechanganyikiwa radio maria iana wasikilizaji mamilioni Bora useme radio nyinge yeyote mzee utakua na tatizo la afya ya akili
Wewe kobazi uisikilize inakuhusu nini....maana tayari ni redio ya wakatoliki, kwahio hamna linalokuhusu hukoMimi mwenyewe sijawahi hata kuisikiliza.
Sasa usipoisikiliza wewe unapunguza nini kwani na wewe ni mtuMimi mwenyewe sijawahi hata kuisikiliza.
Kumbe wote tusioisikiliza hiyo redio si watu.Sasa usipoisikiliza wewe unapunguza nini kwani na wewe ni mtu
Wewe sio mtu ni nyani Sasa utasikilizaje redioKumbe wote tusioisikiliza hiyo redio si watu.