Paul Mchumi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2013
- 1,039
- 1,256
Kwanini wavaa kobazi lakini😂😂Dada Mtoa Mada Bila Shaka Hiyo Tv Na Redio Imaan Itakuwa Ni Mti wenye Matunda Acheni Kuteseka Na hao Wavaa kobazi kama yule Mnazareti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini wavaa kobazi lakini😂😂Dada Mtoa Mada Bila Shaka Hiyo Tv Na Redio Imaan Itakuwa Ni Mti wenye Matunda Acheni Kuteseka Na hao Wavaa kobazi kama yule Mnazareti.
Umeshanza kuongea mashudu yaudini kwamba magu ndio aliwatuma tra kwakua nimkristoHuu ukata hauko kwao peke yao kwa kweli.Vituo vingi vya kiislamu na wafanyabiashara wa kiislamu wamebanwa sana kupitia taasisi ya TRA.
Hapo zamani waislamu walidharauliwa eti hawawezi kufanya jambo.Katika kipindi cha miaka 20 iliyopita wameweza kufanya na kuwawacha wakristo nyuma katika maeneo.Hapo sasa ndipo balaa lilipoanza.
Nguvu ya ukandamizaji iliongezeka sana kipindi kifupi cha Magufuli.Unaletewa madai ya kodi ya pesa ambazo hujawahi kuzikamata na ukilipa unaletewa zingine.
Sera hiyo wakati wa mama haijabadilika.
maokoto,maokotoYule mwingine alikimbilia Azamtv akaanzisha kipindi cha Zumari
Bwana Jafari Mponda, muimba mashairi na Qaswida
Hongera sana kujua break wapiJafar mponda, jamaa yangu huyu tukiishi wote Morogoro kwenye ule mtaa jirani na msikiti maarufu wa Dini moja mungu mmoja...kuna wakati tukiwasikilza akina Ustaadh Mazinge na timu yake kwenye ile mihadhara ya kipindi kile tulipigwa wote mabomu ya machozi break ya kwanza ilikuwa Chamwino 😂 😂
System haiendeshwi na robot.Ni wafanyakazi ambao wengi wao ni wakristo.Wana uwezo wa kuwapendelea watu wao na kuwazamisha waislamu.Kwa hiyo taxation system imelenga kuwaumiza wafanyabiashara wa Kiislamu tu?
Nafikiri hapo unakosea.
Anataka waislamu wote waimbe mashairi yake badala ya kukariri Qur'an na suna za Mtume s a w.Yule mwingine alikimbilia Azamtv akaanzisha kipindi cha Zumari
Bwana Jafari Mponda, muimba mashairi na Qaswida
Acha makasiriko nae Ana familia ya kuihudumia. Tv ina katangazaji wanne tu ngoja tuwaombe radio Maria wawaazime hata watangazaji watano mkiwa fit watarudi.Anataka waislamu wote waimbe mashairi yake badala ya kukariri Qur'an na suna za Mtume s a w.
Bora hivyo alivyoondoka asitupotezee muda wetu.Sasa anatangaza mipira ya Azzam.Sijui Makka alikwenda kwa nia gani?
Bila hata posho ya maji kulainisha koo kidogo n ngumuuuMuislam akienda hapo akaomba kujitolea kutangaza bure. Aruhusiwe pia
Kuna vijana wa kiislam kibao wamesomea journalism hawana ajira na wapo tayari kujitolea
Acha UPAMBUVU basi.Naam ndugu zangu katika Imaan.
TV yetu pendwà inapitia wakati mgumu katika harakati zake za kusambaza Imaan.
Kituo chote kina watangazaji wachache sana. Yaani imekuwa kawaida kumuona mtangazaji mmoja siku nzima, yaani asubuhi mpaka jioni mtu mmoja anashusha nondo.
Ukiangalia TV Imaan siku mbili basi utawafahamu watangazaji wote.
Changia Imaan Media katika akaunti zao ili kupeleka Imaan mbele.
Radio Maria ina watangazaji wengi lakini haina wasikilizaji.ni mfano wa makanisa na wanaingia humo.Acha makasiriko nae Ana familia ya kuihudumia. Tv ina katangazaji wanne tu ngoja tuwaombe radio Maria wawaazime hata watangazaji watano mkiwa fit watarudi.
Sema wewe ndio hausiklizi wenzio tunasikilizia na tunaenjoy ingekua Haina wasikilizaji watangazaji hao wengi wasingekuwepoRadio Maria ina watangazaji wengi lakini haina wasikilizaji.ni mfano wa makanisa na wanaingia humo.
Uislamu hautaki kuomba omba, kama mmeshindwa fungeni hiyo TVNaam ndugu zangu katika Imaan.
TV yetu pendwà inapitia wakati mgumu katika harakati zake za kusambaza Imaan.
Kituo chote kina watangazaji wachache sana. Yaani imekuwa kawaida kumuona mtangazaji mmoja siku nzima, yaani asubuhi mpaka jioni mtu mmoja anashusha nondo.
Ukiangalia TV Imaan siku mbili basi utawafahamu watangazaji wote.
Changia Imaan Media katika akaunti zao ili kupeleka Imaan mbele.
Wacha ijifie tuNaam ndugu zangu katika Imaan.
TV yetu pendwà inapitia wakati mgumu katika harakati zake za kusambaza Imaan.
Kituo chote kina watangazaji wachache sana. Yaani imekuwa kawaida kumuona mtangazaji mmoja siku nzima, yaani asubuhi mpaka jioni mtu mmoja anashusha nondo.
Ukiangalia TV Imaan siku mbili basi utawafahamu watangazaji wote.
Changia Imaan Media katika akaunti zao ili kupeleka Imaan mbele.
NdioUmeshanza kuongea mashudu yaudini kwamba magu ndio aliwatuma tra kwakua nimkristo
Halafu nahisi ungependa uivunjie hadhi hicho kituo chenye kutoa elimu za uhakika.Kwa sababu idadi ya watangazaji hakuleti tafsiri yoyote ya maana kuhusu uzuri wa kituo.Na huwezi kujua kuna watendaji wangapi ambao hawaonekani sura zao ambao wanafanikisha matangazo hayoNaam ndugu zangu katika Imaan.
TV yetu pendwà inapitia wakati mgumu katika harakati zake za kusambaza Imaan.
Kituo chote kina watangazaji wachache sana. Yaani imekuwa kawaida kumuona mtangazaji mmoja siku nzima, yaani asubuhi mpaka jioni mtu mmoja anashusha nondo.
Ukiangalia TV Imaan siku mbili basi utawafahamu watangazaji wote.
Changia Imaan Media katika akaunti zao ili kupeleka Imaan mbele.
Kwani lazima wawe waislam?Muislam akienda hapo akaomba kujitolea kutangaza bure. Aruhusiwe pia
Kuna vijana wa kiislam kibao wamesomea journalism hawana ajira na wapo tayari kujitolea
Kuna wakati mtu anaandika ujinga kiasi unamdhania kuwa chizi,ndiyo nini hiki umeandika?Huu ukata hauko kwao peke yao kwa kweli.Vituo vingi vya kiislamu na wafanyabiashara wa kiislamu wamebanwa sana kupitia taasisi ya TRA.
Hapo zamani waislamu walidharauliwa eti hawawezi kufanya jambo.Katika kipindi cha miaka 20 iliyopita wameweza kufanya na kuwawacha wakristo nyuma katika maeneo.Hapo sasa ndipo balaa lilipoanza.
Nguvu ya ukandamizaji iliongezeka sana kipindi kifupi cha Magufuli.Unaletewa madai ya kodi ya pesa ambazo hujawahi kuzikamata na ukilipa unaletewa zingine.
Sera hiyo wakati wa mama haijabadilika.