Ndugu zangu tusichoke kuichangia TV Imaan, kituo kizima kina watangazaji wanne

Ndugu zangu tusichoke kuichangia TV Imaan, kituo kizima kina watangazaji wanne

Naam ndugu zangu katika Imaan.

TV yetu pendwà inapitia wakati mgumu katika harakati zake za kusambaza Imaan.
Kituo chote kina watangazaji wachache sana. Yaani imekuwa kawaida kumuona mtangazaji mmoja siku nzima, yaani asubuhi mpaka jioni mtu mmoja anashusha nondo.

Ukiangalia TV Imaan siku mbili basi utawafahamu watangazaji wote.
Changia Imaan Media katika akaunti zao ili kupeleka Imaan mbele.
Mimi sioni tatizo kituo kutwa zinatirika aya za alubadiri wanazosoma watangazaji

Kwani kusoma albadiri kunahitaji wasomaji wangapi?

Mimi naona wanatosha
 
Naam ndugu zangu katika Imaan.

TV yetu pendwà inapitia wakati mgumu katika harakati zake za kusambaza Imaan.
Kituo chote kina watangazaji wachache sana. Yaani imekuwa kawaida kumuona mtangazaji mmoja siku nzima, yaani asubuhi mpaka jioni mtu mmoja anashusha nondo.

Ukiangalia TV Imaan siku mbili basi utawafahamu watangazaji wote.
Changia Imaan Media katika akaunti zao ili kupeleka Imaan mbele.
expand...
Mpigie MAZINGE aache kutukana wakristo achangie TV isife.
 
Huu ukata hauko kwao peke yao kwa kweli.Vituo vingi vya kiislamu na wafanyabiashara wa kiislamu wamebanwa sana kupitia taasisi ya TRA.
Hapo zamani waislamu walidharauliwa eti hawawezi kufanya jambo.Katika kipindi cha miaka 20 iliyopita wameweza kufanya na kuwawacha wakristo nyuma katika maeneo.Hapo sasa ndipo balaa lilipoanza.
Nguvu ya ukandamizaji iliongezeka sana kipindi kifupi cha Magufuli.Unaletewa madai ya kodi ya pesa ambazo hujawahi kuzikamata na ukilipa unaletewa zingine.
Sera hiyo wakati wa mama haijabadilika.
Aliyeleta dini Afrika alikuja kuua fikra zetu kabisa.
 
Naam ndugu zangu katika Imaan.

TV yetu pendwà inapitia wakati mgumu katika harakati zake za kusambaza Imaan.
Kituo chote kina watangazaji wachache sana. Yaani imekuwa kawaida kumuona mtangazaji mmoja siku nzima, yaani asubuhi mpaka jioni mtu mmoja anashusha nondo.

Ukiangalia TV Imaan siku mbili basi utawafahamu watangazaji wote.
Changia Imaan Media katika akaunti zao ili kupeleka Imaan mbele.
Subiri matusi ya wagalatia wajaa laana
 
Mimi sioni tatizo kituo kutwa zinatirika aya za alubadiri wanazosoma watangazaji

Kwani kusoma albadiri kunahitaji wasomaji wangapi?

Mimi naona wanatosha
Si Kweli na hapa unapotisha watu
 
Hiyo TV naamini hata akina kahtaan Ritz FaizaFoxy @alwaz et al hawajawahi iangalia.... wavaa kobazi ni jumuiya ya CCM so bila CCM kutoa ruzuku wanajifia.
Makafiri wote maradhi Yao yanafanana.
Hawana Raha mpk wachokoze waislamu.
Yaani hio NI saratani wamezaliwa nayo.

Poleni Sana.
Dawa ya hio saratani ni jahannam Tu.
 
Hapo zamani waislamu walidharauliwa eti hawawezi kufanya jambo
Hivi nyie mbona mnapenda sana kuplay victims??
Hapana Tanzania Idadi ya maraisi wa kiislamu na kikristo ni sawa.
Matajiri wakubwa top 5 wa Tz karibia wote ni Muslims, hio dhana ya kudharauliwa umeitoa wapi??
Mnapenda kuplay victim card kama wanawake

Grow up!
 
Nina kilevi changu kipya nataka nikitangaze kifike sokoni vyema,bei ya matangazo ipoje?
 
Back
Top Bottom