Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Mtu auze nguruwe na ujue kbs kisha alete pesa masjid si haramu?Hakunaga pesa haramu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu auze nguruwe na ujue kbs kisha alete pesa masjid si haramu?Hakunaga pesa haramu
Mpe hiyo hela jombii wa chadema aweke kwenye accou ya benk ya amana pale mjini.Niko hapa kwa Shirima, Mianzini Chuga naona na yeye ameguswa sana na hili suala kaahidi atachangia. Ndo namalizia kitimoto rost hapa nikatume muamala.
UongoHuu ukata hauko kwao peke yao kwa kweli.Vituo vingi vya kiislamu na wafanyabiashara wa kiislamu wamebanwa sana kupitia taasisi ya TRA.
Hapo zamani waislamu walidharauliwa eti hawawezi kufanya jambo.Katika kipindi cha miaka 20 iliyopita wameweza kufanya na kuwawacha wakristo nyuma katika maeneo.Hapo sasa ndipo balaa lilipoanza.
Nguvu ya ukandamizaji iliongezeka sana kipindi kifupi cha Magufuli.Unaletewa madai ya kodi ya pesa ambazo hujawahi kuzikamata na ukilipa unaletewa zingine.
Sera hiyo wakati wa mama haijabadilika.
Elimu ya kujilipua hiyoNaam ndugu zangu katika Imaan.
TV yetu pendwà inapitia wakati mgumu katika harakati zake za kusambaza Imaan.
Kituo chote kina watangazaji wachache sana. Yaani imekuwa kawaida kumuona mtangazaji mmoja siku nzima, yaani asubuhi mpaka jioni mtu mmoja anashusha nondo.
Ukiangalia TV Imaan siku mbili basi utawafahamu watangazaji wote.
Changia Imaan Media katika akaunti zao ili kupeleka Imaan mbele.
Wewe hewa kabisa ....Sasa Tv ya dini ulitaka iwe na vipindi gani zaidi ya kutangaza dini kwanza hao wanne ni wengi sana alitakiwa awe mmoja au sana sana wawili wakizidi.
Hizi propaganda mbona zilikwisha kitambo sana. Saivi wanasoma elimu ya darasani na wanajazana makazini. Ndio maana kuna wanaofikia ata kuanza kukilaumu kituo fulani cha uyangazaji kuwa kinapendelea.Elimu ya kujilipua hiyo
Tunaonewa kwa lipi hapo?Waislamu tunaonewa sana
Unauza ulichonacho,sina mbuzi miyeWhy nguruwe lakini si useme hata mbuzi😂😂
Wamewazidi wakristo kwenye uwekezaji upi? Mashule, vyuo, hospitali, vituo vya afya au vyuo vya ufundi?Huu ukata hauko kwao peke yao kwa kweli.Vituo vingi vya kiislamu na wafanyabiashara wa kiislamu wamebanwa sana kupitia taasisi ya TRA.
Hapo zamani waislamu walidharauliwa eti hawawezi kufanya jambo.Katika kipindi cha miaka 20 iliyopita wameweza kufanya na kuwawacha wakristo nyuma katika maeneo.Hapo sasa ndipo balaa lilipoanza.
Nguvu ya ukandamizaji iliongezeka sana kipindi kifupi cha Magufuli.Unaletewa madai ya kodi ya pesa ambazo hujawahi kuzikamata na ukilipa unaletewa zingine.
Sera hiyo wakati wa mama haijabadilika.
Kwa sababu wakristo walinyonya haki za waislamu kwa miaka mingi hatusemi kuwa tumewazidi isipokuwa waislamu katika kipindi nilichokitaja wamezinduka na kujifanyia mambo yaoWamewazidi wakristo kwenye uwekezaji upi? Mashule, vyuo, hospitali, vituo vya afya au vyuo vya ufundi?
Na wakiwa wengi watatangaza nini?Wanamudu hio kazi au ? Sababu lingekuwa tatizo kama wangeshindwa kurusha hizo nondo ila kama umesema ndogo zinarushwa basi vema huenda hata hao nao kwa kufanya kwao wanachofanya ndio kujitolea kwenyewe...
TV / Radio is a dying medium kipindi hiki cha Content on Demand inabidi wabadilike (sio wao tu bali na wengine) mambo yamebadilika....
Pengine waajiri majini mapya kuyasaidia hayo majini manne yaliyopo sasa
Kama upo mianzini kitimoto hizo pesa zako itabidi tuzisomee dua kwanza ndiyo tuzipokeeNiko hapa kwa Shirima, Mianzini Chuga naona na yeye ameguswa sana na hili suala kaahidi atachangia. Ndo namalizia kitimoto rost hapa nikatume muamala.