jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Uharamu wa pesa unatokea wapi?hakuna pesa haramu.Mtu auze nguruwe na ujue kbs kisha alete pesa masjid si haramu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uharamu wa pesa unatokea wapi?hakuna pesa haramu.Mtu auze nguruwe na ujue kbs kisha alete pesa masjid si haramu?
Changieni TV yenu iendelee kuishi..... ni aibu sana TV inawatangazieni imani yenu na hamna time nayoMakafiri wote maradhi Yao yanafanana.
Hawana Raha mpk wachokoze waislamu.
Yaani hio NI saratani wamezaliwa nayo.
Poleni Sana.
Dawa ya hio saratani ni jahannam Tu.
Ndo muichangie sasa kama mleta mada alivyopendekeza... si afya kwa TV station kuwa na watangazaji wanne tuu!! Wavaa kobazi kwanini hamnaga upendo na vitu vyenu?Walioianzisha wanajua qanachokifanya. Usiwe na hofu.
Unaipenda sana TV Imaan?
😂😂😂😂Wavaaa kobazi ngoja waje wakuombe account ya bank ya tv Iman waweze kufanya jambo..
Japo wanalaumianaga kuwa hawatoi sadaka Zaid ya jero
Michango tu kuchangia umeme wa Luku wa msikiti waislamu kutoa shida hadi utakuta wanaswali giza mtu akitoa shilingi tano anataka hadi vipazs sauti vya msikiti vitangaze yeye na baada ya swala kila mtu wakiongozwa na imamu wa msikiti ampe mkono wa asante kwa kutoa shilingi mia tano na kuombewa dua ndeefu kwa hiyo mia tano yake vinginevyo hatoi tena na atautangaza huo msikiti wa makafiri au wa wagalatiaHivi Hapa Tanzania Ukitaja Top 10 Ya Matajiri Si Wa Islam , Sasa Kwanini Wasipige Donei Kukupiga Tafu Kituo Cha Iman Tv
Yaani TV Imaan watangaze kuwa mauzo yote ya hao nguruwe pesa yote itaenda kuchangia TV Imaan? Astakafilulah!!! Nasikia kufuturu kabla muda wa kufuturu RamadhaniMm nauza nguruwe kwa jumla naweza leta tangazo langu niwalipe?
We kam mkeo amekushinda nipe namba yake nimlee bure.Changieni TV yenu iendelee kuishi..... ni aibu sana TV inawatangazieni imani yenu na hamna time nayo
Wafia dini mara nyingi ni maskini. Matajiri wanafanya mambo kwa reasoning.Hivi Hapa Tanzania Ukitaja Top 10 Ya Matajiri Si Wa Islam , Sasa Kwanini Wasipige Donei Kukupiga Tafu Kituo Cha Iman Tv
Kwa hiyo taxation system imelenga kuwaumiza wafanyabiashara wa Kiislamu tu?Huu ukata hauko kwao peke yao kwa kweli.Vituo vingi vya kiislamu na wafanyabiashara wa kiislamu wamebanwa sana kupitia taasisi ya TRA.
Hapo zamani waislamu walidharauliwa eti hawawezi kufanya jambo.Katika kipindi cha miaka 20 iliyopita wameweza kufanya na kuwawacha wakristo nyuma katika maeneo.Hapo sasa ndipo balaa lilipoanza.
Nguvu ya ukandamizaji iliongezeka sana kipindi kifupi cha Magufuli.Unaletewa madai ya kodi ya pesa ambazo hujawahi kuzikamata na ukilipa unaletewa zingine.
Sera hiyo wakati wa mama haijabadilika.
Yule mwingine alikimbilia Azamtv akaanzisha kipindi cha Zumari
Bwana Jafari Mponda, muimba mashairi na Qaswida
Wewe kichwani haupo sawa kwahiyo wafanya biashara wakristo hawakatwi hizo kodiHuu ukata hauko kwao peke yao kwa kweli.Vituo vingi vya kiislamu na wafanyabiashara wa kiislamu wamebanwa sana kupitia taasisi ya TRA.
Hapo zamani waislamu walidharauliwa eti hawawezi kufanya jambo.Katika kipindi cha miaka 20 iliyopita wameweza kufanya na kuwawacha wakristo nyuma katika maeneo.Hapo sasa ndipo balaa lilipoanza.
Nguvu ya ukandamizaji iliongezeka sana kipindi kifupi cha Magufuli.Unaletewa madai ya kodi ya pesa ambazo hujawahi kuzikamata na ukilipa unaletewa zingine.
Sera hiyo wakati wa mama haijabadilika.
Changa pesa TV imaan isimame wacha blah blahWe kam mkeo amekushinda nipe namba yake nimlee bure.
Mnashindwa kuwazuia wale manabii wanaowapiga mimba watoto wenu WA kike mnarukia TV ya wavaa kobazi? 😂
Ukafiri mzigo mkubwa sana
Jafar mponda, jamaa yangu huyu tukiishi wote Morogoro kwenye ule mtaa jirani na msikiti maarufu wa Dini moja mungu mmoja...kuna wakati tukiwasikilza akina Ustaadh Mazinge na timu yake kwenye ile mihadhara ya kipindi kile tulipigwa wote mabomu ya machozi break ya kwanza ilikuwa Chamwino 😂 😂Yule mwingine alikimbilia Azamtv akaanzisha kipindi cha Zumari
Bwana Jafari Mponda, muimba mashairi na Qaswida