BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Nakuona unacheza tu na akili za watu.hatari sana
UKIMWI DAH...
PROPAGANDISTKuna Mtu kasema ukimwi Siyo REAL?
Huyu anacheza na akili za watu.Ulishawahi kumuliza daktari yeyote au mtu wa maabara kama alishawahi kumuona kirusi wa HIV hata kwenye microscope.
Zamani wengi walikua wakibainika wakiwa na virusi vya ukimwi (VVU).Je!
Ni kweli HIV inasababisha UKImWI?
Upungufu wa kinga mwilini unatokana.na virusi?
Lengo nikujifunza kutoka kwako mkuu!
Maana nimeshafuatilia sana kuhusu hili.
Bado sikuambulia kitu ambacho nilipata kukielewa kikawaida katika mazingira ya kawaida.
KawaulizeKwani wakishindwa kulipa madeni wanaambukizwa ukimwi Kwa lazima?
Zamani wengi walikua wakibainika wakiwa na virusi vya ukimwi (VVU).
Na kwasababu ya kutokuwepo hizi arvz na virutubisho muhimu kutokana na uelewa duni wa lishe na hali za maisha ya watu kiuchumi, kwa haraka sana wagonjwa wenye vvu walifika hatua ya Upungufu wa Kinga Mwilini(UKIMWI).
Nyakati hizi uelewa umeongezeka sana,
kinachochochea wengi kujikuta wapo katika hatua ya UKIMWI kamili ni aibu ya kujulikana anao, kujificha na fedheha za walimwengu. Anaenda kimyakimya kupima anakutwa nao anaanza dozi kisiri wenzie wasijue.
akialikwa na wenxie kwenye bata anafakamia mabia bila wasi na yupo kwenye dose, ananyandua mademu na huku anabugia arvz kisirisiri, mwisho wa siku hali inabadilika ghafla na kua mbaya mnapeleka hospitalini kama ndugu, baada ya vipimo ndio eti dokta anawafinya skio kwamba ndugu yenu yupo kwenye hali mbaya zaaid ya UKIMWI baada ya muda anarest in peace.......
Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini unaosababishwa na HIV
Sikuhisi watu wengi wenye HIV, hawana upungufu wa kinga mwilini. Hivyo ukimwi umepungua.
Kutokana na hayo mabadiliko HIV anashambulia kwa kushtukiza kaeneo kokote mwilini kanakoweza kusabaisha ufe tu. Ndio maana watu watakufa pamoja na kinga za mchongo.
ebana umefunguka vema short and clear ajabu 💪🙏Nipende kusema tu South Africa ndilo taifa lenye idadi kubwa ya watu wenye maambukizi ya ugonjwa feki wa ukimwi lakini ndio wanaongoza kutokutumia dawa za ARVs na wanaishi maisha marefu tofauti na wanaotumia dawa hizo za ARVs ambao hupatwa na athari pamoja na mauzi mbambali mpaka kufa mapema.
Nikweli wasouth afrika wengi wanamshukuru aliyekua raisi wao bwana thabo mbeki, aliyepewa information zote kuhusu ugonjwa huu feki na professor duesberg mwenye Nobel prize ambaye ni mbobevu na amefanya tafiti nyingi kuhusu virus hawa zaidi ya miaka 30, na amepata matatizo mengi sana lakini MUNGU ambariki kwa moyo wake ijapokua wenzake Kama professor Kary Mullis walipotezwa kutokana na kujua pia mbinu chafu ya COVID 19. Ndugu zangu wapo baadhi ya wazungu wenye mioyo mizuri wanaotupenda na wanachukizwa na ushetani huu.
Nimalizie kwa kusema shetani professor Robert galo aliyetumika kupika ugonjwa huu feki kwa mchango wa wanasiasa Kama Henry Kissinger na shetani mwingine Anthony faucci ambaye alitaka sio tu kwa wanandoa Bali watu wote kabla ya kufanya ngono, wameze kwanza dawa za PEPs. Ili kuwakinga na ugonjwa feki wa ukimwi cjui tu huu mpango wao wa kishetani uliishia wapi. hawa na wenzao wote wana moto wao wa pekee jehanamu.
Pole sana.Ko unatak utudangany et siku hiz hakun upungufu wa kinga mwilini kwenda zako [emoji16][emoji38][emoji38][emoji38]
Mi nilinusilik kwa tundu la sindano nilikonda na kuugua kwa stress achen nyie
ukimwi kitu mbaya sana aiseKo unatak utudangany et siku hiz hakun upungufu wa kinga mwilini kwenda zako [emoji16][emoji38][emoji38][emoji38]
Mi nilinusilik kwa tundu la sindano nilikonda na kuugua kwa stress achen nyie