Ndugu zangu UKIMWI is real

Ndugu zangu UKIMWI is real

Kuna doctor mkubwa tuu huko mamlakani nilimsikia anasema ni hela yako tuu siku hizi kuna hadi dose ya kidonge kimoja tuu unameza kwa mwaka.
😀SI NCHEZO.....
 
Shida ni UKIMWI UNATEKETEZA FAMILIA NA TAIFA

hizi habari zinakera sana kuskia lakini tulia tu hivyo hivyo lazma tukumbushane na kuambiana ukweli aise,
ni ngumu kukaa kimya hali yakua vijana,wazee na watoto wana angamia hivi hivi unaona...

Mimi nimekumbusha nawe tekeleza wajibu wako kujinusuru na hili dubwasha......
Upo sahihi kabisa
 
Je!
Ni kweli HIV inasababisha UKImWI?

Upungufu wa kinga mwilini unatokana.na virusi?

Lengo nikujifunza kutoka kwako mkuu!
Maana nimeshafuatilia sana kuhusu hili.
Bado sikuambulia kitu ambacho nilipata kukielewa kikawaida katika mazingira ya kawaida.
 
Halafu bana UKIMWI ni kitu ya ajabu sana hata upige makeup, sijui lipshine, wigi ya aina gani after very few minutes inakosa uelekeko.

Kiufupi makeup zimeganga mwamba kwenye ngoma na zinadunda vilivyo kwa mwenye Ngoma.
Nuru inapotea kabisa inaonekana Nuru artificial ya ARVs dhahiri shahiri
Hapo sijakuelewa kwamba anae tumia ARV akipaka makeup inadunda?
 
Yote haya ni matokeo ya zinaa bila ya kuwa na ndoa. Vijana wa sasa hivi wameifanya zinaa ni jambo rahisi sana kuliko ndoa acha huo ukimwi uwangamize
 
Leo nimegundua kitu mkuu!
Inawezekana kumgundua mwenye ukimwi bila ya vipimo.
Halafu bana UKIMWI ni kitu ya ajabu sana hata upige makeup, sijui lipshine, wigi ya aina gani after very few minutes inakosa uelekeko.

Kiufupi makeup zimeganga mwamba kwenye ngoma na zinadunda vilivyo kwa mwenye Ngoma.
Nuru inapotea kabisa inaonekana Nuru artificial ya ARVs dhahiri shahiri
 
Yote haya ni matokeo ya zinaa bila ya kuwa na ndoa. Vijana wa sasa hivi wameifanya zinaa ni jambo rahisi sana kuliko ndoa acha huo ukimwi uwangamize
NI HUZUNI NGUVU KAZI INATEKETEA KWA KWA KUJIINGIZA KWENYE NGONO NZEMBE KWA KISINGIZIO CHA MAISHA MAGUMU.
 
Ndio vizuri acha akili iwakae sawa maaana ndoa hawataki. Sasa utawashauri nini? Washakuwa vichwa vigumu
KUKUMBUSHANA BILA KUCHOKA WALA KUKATA TAMAA NI JAMBO MUHIMU SANA. NA NI WAJIBU WA KILA MOJA.

UKIMWI NI HATARI UKIMWI UNAUA KWA FEDHEHA SANA....
 
Back
Top Bottom