Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Kifo kikija kinakuja tu. Haina maana kujihadhari na kifo sababu kinakuja kwa style yoyote.Kufa ni Lazima, lakini jitahidi, jihadhari usife kwa UKIMWI basi mpendwa eeehhee....
Arv ndo zinatisha na ndo sababu kuu ya kujilinda na UKIMWI. Jilinde na UKIMWI ili usinywe Arv.