Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
- Thread starter
- #61
hii kitu ni mbaya aise, sasaivi tuna zika na afya yako ikiwa nzuri kimuonekano wa nje lakini kiundani imeoza kabsaa dahh........Dah ndio ushaukwaa mkuu?
unanyandua huku ukikunjuka na mahope kibao kwamba hapo hakuna shida.....
ila ndugu yangu ukimwi upo jihadhari kabla ya hatari usizembee tukakukosa humu Jf.......