Hamna kitu ni mastory tu ambayo hayana ushahidi.al-Khwārizmī, in full Muḥammad ibn Mūsā al-Khwārizmī, (born c. 780 —died c. 850), Muslim mathematician and astronomer whose major works introduced Hindu-Arabic numerals and the concepts of algebra into European mathematics. Latinized versions of his name and of his most famous book title live on in the terms algorithm and algebra.
Huyo ni miongoni mwa magraduate wa madrasa
Hili nalo ni tatizo sugu la "kujambeerjaambeeer" mbele za watu ....
Tuondolee ujuha na usakala wako hapa
Kwa hiyo waislamu ndio wanaounga mkono uwekezaji wa DP WORLD ?!!!
Nimefuatilia sana tunapokutana na wakuu wa nchi, mambo ambayo daima mnayaomba kwao ni dhaifu sana, ambayo ni;
1) Tupunguzieni ushuru wa Tende
2) Tupeni vifaa vya kuona muandamo wa mwezi
Bilashaka wakuu wanastajabu lakini wanapiga kimya, watafanyaje sasa maana ndio akili zilipoishia kwenye kuta za Quran.
Kwa upande wa Wakristo wanapokutana na wakuu wa nchi. Mambo wanayoyaomba;
1) Kupunguziwa ushuru wa vifaa vya huduma za shule, vyuo na hospitali
2) Kuomba maeneo ya kujenga shule, vyuo na hospitali
Sasa tunategemea tunaweza kushindana na akili hii? Na tukitoka hapo kwa upande wetu tukiwa kwenye bao na vijiwe vya kahawa tunaanza kulalamika mfumo kristo unatuhujumu, wanapendelewa na ndio maana wapo mbele kielimu. Tunajihujumu wenyewe kwa kutaka kula Tende halua chini ya miswala badala ya kuwaza kujenga shule na vyuo ili vijana wetu wasome. Ubize wetu wa kutaka kupunguziwa ushuru wa Tende na kutaka ofa za kwenda kuhiji Maka ndio msiba wetu. Na tukitoka huko kuhiji kwa ofa, na kujiita ma Alhaj, tunaanza kuuza maeneo ya waislamu yaliyotupu au kugombania kodi za maduka ya msikiti. Huku wenzenu kila siku wananunua hekali za kutosha za ardhi kwajili ya kujenga shule na vyuo.
Sikiliza,
Waislamu mashekhe wetu wengi ni darasa la 7 au form 4, ukuta wao wa mwisho ni aya za Quran na suna. Kazi yao kuu ni kuwapa ofa ya kuwatolea vijana mahari na kugombana na hoja za bidaa na si namna ya kuendeleza waumini wetu kisasa. Sasa kweli tutakuwa na hoja zenye tija juu ya bandari dhidi ya wasomi wenye PHD?
Hivyo chuki ipo kwetu na si kwa Wakristo. Daima watu wasio na elimu hoja za elimu kwao inakuwa kama chuki wanapokutana na kigingi cha mtu mwenye elimu.
Tuondoeni vile vizee vya albadir, tuwekeni vijana wasomi kwenye maeneo ya ofisi zetuu kamwe hatutaona lawama hizi.
Lawama na makasiriko si mtaji zaidi ya kuharibu amani ya nchi. Inauma lakini tuimeze hivyo hivyo shekhe.
Kujamba na kutawadha[emoji1787]Hivi huko madrassa huwa mnafundishwa kujambeer na mengine kama hayo?
Inaonekana kama vile kuna kipindi maalum cha matusi huko madrassa, mnajifunza vizuri sana.
Ina maana Umesahau kabisa siku ya kwanza Mtume alipokutana na Malaika aliambiwa Neno gani la kwanza.Tatizo faida ulizoeleza ndio zimefanya niulize hivyo.
Masakala ni wa kuwashangaa ?!!! [emoji1787][emoji1787]Nimemshangaa sana huyo jamaa eti masheikh hawana elimu.
Kuna sheikh wa mkoa fulani nafahamu vema ana elimu ya secular level ya masters halafu hapo bado ana elimu ya quran.
Aise usione mtu kachaguliwa kuwa sheikh wa mkoa usimchukulie poa elimu zote mbili zimelala vizuri.
theolojia ni elimu ya dini.vipi falsafa ni elimu ya nini??Hiyo PhD ya upande unaosema wamesoma ni PhD ya theolojia sio ya elimu ya kawaida.
Wenzenu TEC wamechukua point 3.Nimefuatilia sana tunapokutana na wakuu wa nchi, mambo ambayo daima mnayaomba kwao ni dhaifu sana, ambayo ni;
1) Tupunguzieni ushuru wa Tende
2) Tupeni vifaa vya kuona muandamo wa mwezi
Bilashaka wakuu wanastajabu lakini wanapiga kimya, watafanyaje sasa maana ndio akili zilipoishia kwenye kuta za Quran.
Kwa upande wa Wakristo wanapokutana na wakuu wa nchi. Mambo wanayoyaomba;
1) Kupunguziwa ushuru wa vifaa vya huduma za shule, vyuo na hospitali
2) Kuomba maeneo ya kujenga shule, vyuo na hospitali
Sasa tunategemea tunaweza kushindana na akili hii? Na tukitoka hapo kwa upande wetu tukiwa kwenye bao na vijiwe vya kahawa tunaanza kulalamika mfumo kristo unatuhujumu, wanapendelewa na ndio maana wapo mbele kielimu. Tunajihujumu wenyewe kwa kutaka kula Tende halua chini ya miswala badala ya kuwaza kujenga shule na vyuo ili vijana wetu wasome. Ubize wetu wa kutaka kupunguziwa ushuru wa Tende na kutaka ofa za kwenda kuhiji Maka ndio msiba wetu. Na tukitoka huko kuhiji kwa ofa, na kujiita ma Alhaj, tunaanza kuuza maeneo ya waislamu yaliyotupu au kugombania kodi za maduka ya msikiti. Huku wenzenu kila siku wananunua hekali za kutosha za ardhi kwajili ya kujenga shule na vyuo.
Sikiliza,
Waislamu mashekhe wetu wengi ni darasa la 7 au form 4, ukuta wao wa mwisho ni aya za Quran na suna. Kazi yao kuu ni kuwapa ofa ya kuwatolea vijana mahari na kugombana na hoja za bidaa na si namna ya kuendeleza waumini wetu kisasa. Sasa kweli tutakuwa na hoja zenye tija juu ya bandari dhidi ya wasomi wenye PHD?
Hivyo chuki ipo kwetu na si kwa Wakristo. Daima watu wasio na elimu hoja za elimu kwao inakuwa kama chuki wanapokutana na kigingi cha mtu mwenye elimu.
Tuondoeni vile vizee vya albadir, tuwekeni vijana wasomi kwenye maeneo ya ofisi zetuu kamwe hatutaona lawama hizi.
Lawama na makasiriko si mtaji zaidi ya kuharibu amani ya nchi. Inauma lakini tuimeze hivyo hivyo shekhe.
RC wana PHD za Nyanja zote.theolojia ni elimu ya dini.vipi falsafa ni elimu ya nini??
kwa RC hizo ni 2 tu padre wa kawaida lazima awe nazo,achana na elimu baki ya uzamivu unakuta padre ni mwalimu pia wa chuo au sekondari.
😅😅tunatoa sadaka bibi,usije danganywa kuna hela ya maana inatoka serikalini kufadhili makanisa.Waislam hatuhitaji kitu chochote kutoka serikalini. Sasa hivi tunachotaka serikali izuwie misaada yote inayotoka serikalini kwenda taasisi za kidini.
bado hakuna kitachobadilika ktk waislam,maana huwa mnaagiza nini zaidi ya misaafu na tende😂😂.Pia izuwie misamaha yote ya kodi ya taasisi zote za kidini, tulipie vitu vyote vinavtoletwa kwa ajili ya taasisi za kidini ushuru kamili.
huu ni mkakati wa kujitegemea,dini ya kikristo popote lazina iende na 3 figure,kiakili,kiafya na kiroho.Kuna taasisi za kidini zimekuwa vituo vya biashara.
waache waatamie makagari tu kwa ndoto za kutotoa vifaranga hapo😅😅😅RC wana PHD za Nyanja zote.
Hadi PHD za Islamic Religion wanazo.
Yaani Askofu ana PHD ya Dini ya Kiislamu.
Shauri zao.
Sisi sasa hatutaki hata hizo kidogo ziende kokote bali ziende kwenye miradi ya kimkakati yenye manufaa kwa Watanzania wote.😅😅tunatoa sadaka bibi,usije danganywa kuna hela ya maana inatoka serikalini kufadhili makanisa.
bado hakuna kitachobadilika ktk waislam,maana huwa mnaagiza nini zaidi ya misaafu na tende😂😂.
huu ni mkakati wa kujitegemea,dini ya kikristo popote lazina iende na 3 figure,kiakili,kiafya na kiroho.
katika hayo mambo 3 biashara lazima ziibuke.
miradi ipi iliyokwama au kusua sua kwa sababu ya fungu lake kwenda kwenye taasisi!!!Sisi sasa hatutaki hata hizo kidogo ziende kokote bali ziende kwenye miradi ya kimkakati yenye manufaa kwa Watanzania wote.
yote haya sababu mujahdeen tumekosa cha kusamehewa kodi!!!Hatujali kama misamha ya kodi na pesa zinaenda kwenye taasisi ipi ya kidini. Ni wakati dini zikabaki kwa dini na serikali ibaki kuwa serikali, au labda Tanzania itangzwe ni nchi ya dini fulani.
hilo sio tatizo,tatizo ni pale utakapoanza kuweka ukatoliki,uanglikana au uislam mbele kuliko maslahi ya taifa kwa ujumla.Zipo nchi duniani zimeweka wazi kabisa kuwa kama siyo dini fulani huongozi. Uingereza kama siyo Muanglikana huongozi. Iran kama siyo Muislam huongozi. Ureno kama siuyo mkatoliki huongozi.
kilichofanyika kwa waislam nu kuzubaa halafu kutafuta wa kumlaumu baada ya kufeli.Hiyo ni mifano michache tu lakini zipi nchi nyingi duniani zilizojiegemeza kwenye dini fulani.
Tanzania tulidanganywa kuwa hatufungamani na upande wowote, lakini tunaona vitendo ni kinyume na tunavyohubiri.
Elimu na ushehe mbingu na ardhiShida kubwa sisi waislamu hatuna ELIMU ya kisekula,yaani ukimeza masafu tuu basi wewe unaweza teuliwa kuwa kiongozi.Wenzetu dini nyingine wao wanasema hadi ngazi za udaktari Sasa kimsingi akili ndogo haiwezi kuona mbali.Ushauri ni kwamba vyeo kama mufti na masheikhe wa Mkoa na WILAYA wawe na ELIMU isiyopungua degree,na mufti awe na phd
Hamna kitu ni mastory tu ambayo hayana ushahidi.
Hivi huko madrassa huwa mnafundishwa kujambeer na mengine kama hayo?
Inaonekana kama vile kuna kipindi maalum cha matusi huko madrassa, mnajifunza vizuri sana.