Ndugu zangu waislam tunahitaji kubadilika na tubadilike kwelikweli ili tuweze kushinda tunayokutana nayo

Ndugu zangu waislam tunahitaji kubadilika na tubadilike kwelikweli ili tuweze kushinda tunayokutana nayo

al-Khwārizmī, in full Muḥammad ibn Mūsā al-Khwārizmī, (born c. 780 —died c. 850), Muslim mathematician and astronomer whose major works introduced Hindu-Arabic numerals and the concepts of algebra into European mathematics. Latinized versions of his name and of his most famous book title live on in the terms algorithm and algebra.

Huyo ni miongoni mwa magraduate wa madrasa
Hamna kitu ni mastory tu ambayo hayana ushahidi.
 
Nimefuatilia sana tunapokutana na wakuu wa nchi, mambo ambayo daima mnayaomba kwao ni dhaifu sana, ambayo ni;

1) Tupunguzieni ushuru wa Tende
2) Tupeni vifaa vya kuona muandamo wa mwezi

Bilashaka wakuu wanastajabu lakini wanapiga kimya, watafanyaje sasa maana ndio akili zilipoishia kwenye kuta za Quran.

Kwa upande wa Wakristo wanapokutana na wakuu wa nchi. Mambo wanayoyaomba;

1) Kupunguziwa ushuru wa vifaa vya huduma za shule, vyuo na hospitali

2) Kuomba maeneo ya kujenga shule, vyuo na hospitali

Sasa tunategemea tunaweza kushindana na akili hii? Na tukitoka hapo kwa upande wetu tukiwa kwenye bao na vijiwe vya kahawa tunaanza kulalamika mfumo kristo unatuhujumu, wanapendelewa na ndio maana wapo mbele kielimu. Tunajihujumu wenyewe kwa kutaka kula Tende halua chini ya miswala badala ya kuwaza kujenga shule na vyuo ili vijana wetu wasome. Ubize wetu wa kutaka kupunguziwa ushuru wa Tende na kutaka ofa za kwenda kuhiji Maka ndio msiba wetu. Na tukitoka huko kuhiji kwa ofa, na kujiita ma Alhaj, tunaanza kuuza maeneo ya waislamu yaliyotupu au kugombania kodi za maduka ya msikiti. Huku wenzenu kila siku wananunua hekali za kutosha za ardhi kwajili ya kujenga shule na vyuo.

Sikiliza,

Waislamu mashekhe wetu wengi ni darasa la 7 au form 4, ukuta wao wa mwisho ni aya za Quran na suna. Kazi yao kuu ni kuwapa ofa ya kuwatolea vijana mahari na kugombana na hoja za bidaa na si namna ya kuendeleza waumini wetu kisasa. Sasa kweli tutakuwa na hoja zenye tija juu ya bandari dhidi ya wasomi wenye PHD?

Hivyo chuki ipo kwetu na si kwa Wakristo. Daima watu wasio na elimu hoja za elimu kwao inakuwa kama chuki wanapokutana na kigingi cha mtu mwenye elimu.

Tuondoeni vile vizee vya albadir, tuwekeni vijana wasomi kwenye maeneo ya ofisi zetuu kamwe hatutaona lawama hizi.

Lawama na makasiriko si mtaji zaidi ya kuharibu amani ya nchi. Inauma lakini tuimeze hivyo hivyo shekhe.
 
Waislam hatuhitaji kitu chochote kutoka serikalini. Sasa hivi tunachotaka serikali izuwie misaada yote inayotoka serikalini kwenda taasisi za kidini. Pia izuwie misamaha yote ya kodi ya taasisi zote za kidini, tulipie vitu vyote vinavtoletwa kwa ajili ya taasisi za kidini ushuru kamili.


Kuna taasisi za kidini zimekuwa vituo vya biashara.
 
Hivi huko madrassa huwa mnafundishwa kujambeer na mengine kama hayo?

Inaonekana kama vile kuna kipindi maalum cha matusi huko madrassa, mnajifunza vizuri sana.
Kujamba na kutawadha[emoji1787]
 
Tatizo faida ulizoeleza ndio zimefanya niulize hivyo.
Ina maana Umesahau kabisa siku ya kwanza Mtume alipokutana na Malaika aliambiwa Neno gani la kwanza.
Umejiuliza ni kwanini kabla ya yote aliambiwa hilo neno?
"'iiqra ya nabi" إقرأ يا نبي
 
Nimemshangaa sana huyo jamaa eti masheikh hawana elimu.

Kuna sheikh wa mkoa fulani nafahamu vema ana elimu ya secular level ya masters halafu hapo bado ana elimu ya quran.

Aise usione mtu kachaguliwa kuwa sheikh wa mkoa usimchukulie poa elimu zote mbili zimelala vizuri.
Masakala ni wa kuwashangaa ?!!! [emoji1787][emoji1787]

Mandwanye hao....
 
Hiyo PhD ya upande unaosema wamesoma ni PhD ya theolojia sio ya elimu ya kawaida.
theolojia ni elimu ya dini.vipi falsafa ni elimu ya nini??
kwa RC hizo ni 2 tu padre wa kawaida lazima awe nazo,achana na elimu baki ya uzamivu unakuta padre ni mwalimu pia wa chuo au sekondari.
 
Nimefuatilia sana tunapokutana na wakuu wa nchi, mambo ambayo daima mnayaomba kwao ni dhaifu sana, ambayo ni;

1) Tupunguzieni ushuru wa Tende
2) Tupeni vifaa vya kuona muandamo wa mwezi

Bilashaka wakuu wanastajabu lakini wanapiga kimya, watafanyaje sasa maana ndio akili zilipoishia kwenye kuta za Quran.

Kwa upande wa Wakristo wanapokutana na wakuu wa nchi. Mambo wanayoyaomba;

1) Kupunguziwa ushuru wa vifaa vya huduma za shule, vyuo na hospitali

2) Kuomba maeneo ya kujenga shule, vyuo na hospitali

Sasa tunategemea tunaweza kushindana na akili hii? Na tukitoka hapo kwa upande wetu tukiwa kwenye bao na vijiwe vya kahawa tunaanza kulalamika mfumo kristo unatuhujumu, wanapendelewa na ndio maana wapo mbele kielimu. Tunajihujumu wenyewe kwa kutaka kula Tende halua chini ya miswala badala ya kuwaza kujenga shule na vyuo ili vijana wetu wasome. Ubize wetu wa kutaka kupunguziwa ushuru wa Tende na kutaka ofa za kwenda kuhiji Maka ndio msiba wetu. Na tukitoka huko kuhiji kwa ofa, na kujiita ma Alhaj, tunaanza kuuza maeneo ya waislamu yaliyotupu au kugombania kodi za maduka ya msikiti. Huku wenzenu kila siku wananunua hekali za kutosha za ardhi kwajili ya kujenga shule na vyuo.

Sikiliza,

Waislamu mashekhe wetu wengi ni darasa la 7 au form 4, ukuta wao wa mwisho ni aya za Quran na suna. Kazi yao kuu ni kuwapa ofa ya kuwatolea vijana mahari na kugombana na hoja za bidaa na si namna ya kuendeleza waumini wetu kisasa. Sasa kweli tutakuwa na hoja zenye tija juu ya bandari dhidi ya wasomi wenye PHD?

Hivyo chuki ipo kwetu na si kwa Wakristo. Daima watu wasio na elimu hoja za elimu kwao inakuwa kama chuki wanapokutana na kigingi cha mtu mwenye elimu.

Tuondoeni vile vizee vya albadir, tuwekeni vijana wasomi kwenye maeneo ya ofisi zetuu kamwe hatutaona lawama hizi.

Lawama na makasiriko si mtaji zaidi ya kuharibu amani ya nchi. Inauma lakini tuimeze hivyo hivyo shekhe.
Wenzenu TEC wamechukua point 3.
 
theolojia ni elimu ya dini.vipi falsafa ni elimu ya nini??
kwa RC hizo ni 2 tu padre wa kawaida lazima awe nazo,achana na elimu baki ya uzamivu unakuta padre ni mwalimu pia wa chuo au sekondari.
RC wana PHD za Nyanja zote.
Hadi PHD za Islamic Religion wanazo.

Yaani Askofu ana PHD ya Dini ya Kiislamu.
Shauri zao.
 
Waislam hatuhitaji kitu chochote kutoka serikalini. Sasa hivi tunachotaka serikali izuwie misaada yote inayotoka serikalini kwenda taasisi za kidini.
😅😅tunatoa sadaka bibi,usije danganywa kuna hela ya maana inatoka serikalini kufadhili makanisa.
Pia izuwie misamaha yote ya kodi ya taasisi zote za kidini, tulipie vitu vyote vinavtoletwa kwa ajili ya taasisi za kidini ushuru kamili.
bado hakuna kitachobadilika ktk waislam,maana huwa mnaagiza nini zaidi ya misaafu na tende😂😂.
Kuna taasisi za kidini zimekuwa vituo vya biashara.
huu ni mkakati wa kujitegemea,dini ya kikristo popote lazina iende na 3 figure,kiakili,kiafya na kiroho.
katika hayo mambo 3 biashara lazima ziibuke.
 
RC wana PHD za Nyanja zote.
Hadi PHD za Islamic Religion wanazo.

Yaani Askofu ana PHD ya Dini ya Kiislamu.
Shauri zao.
waache waatamie makagari tu kwa ndoto za kutotoa vifaranga hapo😅😅😅
 
😅😅tunatoa sadaka bibi,usije danganywa kuna hela ya maana inatoka serikalini kufadhili makanisa.

bado hakuna kitachobadilika ktk waislam,maana huwa mnaagiza nini zaidi ya misaafu na tende😂😂.

huu ni mkakati wa kujitegemea,dini ya kikristo popote lazina iende na 3 figure,kiakili,kiafya na kiroho.
katika hayo mambo 3 biashara lazima ziibuke.
Sisi sasa hatutaki hata hizo kidogo ziende kokote bali ziende kwenye miradi ya kimkakati yenye manufaa kwa Watanzania wote.

Hatujali kama misamha ya kodi na pesa zinaenda kwenye taasisi ipi ya kidini. Ni wakati dini zikabaki kwa dini na serikali ibaki kuwa serikali, au labda Tanzania itangzwe ni nchi ya dini fulani.

Zipo nchi duniani zimeweka wazi kabisa kuwa kama siyo dini fulani huongozi. Uingereza kama siyo Muanglikana huongozi. Iran kama siyo Muislam huongozi. Ureno kama siuyo mkatoliki huongozi.

Hiyo ni mifano michache tu lakini zipi nchi nyingi duniani zilizojiegemeza kwenye dini fulani.

Tanzania tulidanganywa kuwa hatufungamani na upande wowote, lakini tunaona vitendo ni kinyume na tunavyohubiri.
 
Sisi sasa hatutaki hata hizo kidogo ziende kokote bali ziende kwenye miradi ya kimkakati yenye manufaa kwa Watanzania wote.
miradi ipi iliyokwama au kusua sua kwa sababu ya fungu lake kwenda kwenye taasisi!!!
Hatujali kama misamha ya kodi na pesa zinaenda kwenye taasisi ipi ya kidini. Ni wakati dini zikabaki kwa dini na serikali ibaki kuwa serikali, au labda Tanzania itangzwe ni nchi ya dini fulani.
yote haya sababu mujahdeen tumekosa cha kusamehewa kodi!!!
vipi na huduma anazopewa mufti mkuu,zisitishwe apambane na hali yake right!!!
Zipo nchi duniani zimeweka wazi kabisa kuwa kama siyo dini fulani huongozi. Uingereza kama siyo Muanglikana huongozi. Iran kama siyo Muislam huongozi. Ureno kama siuyo mkatoliki huongozi.
hilo sio tatizo,tatizo ni pale utakapoanza kuweka ukatoliki,uanglikana au uislam mbele kuliko maslahi ya taifa kwa ujumla.
Hiyo ni mifano michache tu lakini zipi nchi nyingi duniani zilizojiegemeza kwenye dini fulani.

Tanzania tulidanganywa kuwa hatufungamani na upande wowote, lakini tunaona vitendo ni kinyume na tunavyohubiri.
kilichofanyika kwa waislam nu kuzubaa halafu kutafuta wa kumlaumu baada ya kufeli.
wakati maeneo mliyipewa baadhi mkiyauza wenzenu wanaomba mengin,miaka 20 ijayo hoja mezani ni hii hii.
 
Shida kubwa sisi waislamu hatuna ELIMU ya kisekula,yaani ukimeza masafu tuu basi wewe unaweza teuliwa kuwa kiongozi.Wenzetu dini nyingine wao wanasema hadi ngazi za udaktari Sasa kimsingi akili ndogo haiwezi kuona mbali.Ushauri ni kwamba vyeo kama mufti na masheikhe wa Mkoa na WILAYA wawe na ELIMU isiyopungua degree,na mufti awe na phd
Elimu na ushehe mbingu na ardhi
 
Hamna kitu ni mastory tu ambayo hayana ushahidi.

Hamna kitu??wikipedia wakuwekee mastory??

Nenda kagoogle mwenyewe ujionee,je umestaajabu eeh??huamini hadi unasema mastory...

Ndo ujifunze sasa kuwa na adabu
 
Hivi huko madrassa huwa mnafundishwa kujambeer na mengine kama hayo?

Inaonekana kama vile kuna kipindi maalum cha matusi huko madrassa, mnajifunza vizuri sana.

Ndiyo kusema wale wanofundishwa kukanyaga mafuta ya upako na kuuziwa mchanga ni bora sana siyo??
 
Back
Top Bottom