Hili nalo ni tatizo sugu la "kujambeerjaambeeer" mbele za watu ....
Ukikikosoa kitu hebu uwe umekisoma vizuri ...kuisoma historia yake vizuri....
Ni mpumbavu gani aliyekulisha maneno kuwa ili uwe msomi wa kiislam ni "kumeza" tu na kuujua msahafu(Furqan) pekee ?!!!![emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]
Yaani hujui JURISPRUDENCE (Fiqh) uwe shaykh ?!! [emoji15]
Na Fiqh haibobewi kwa miaka 5 kama kusoma udaktari wa binadamu....
Yaani hujui LUGHAT UL ARABIYA ili ujue (tafsir il quraan) uwe shaykh ?!!!
Yaani hujui SHARH (sherehe) ya wanazuoni (maprofesa) wa kutumainiwa juu ya kuifasiri hiyo Quraan kwa maana ya NDANI na NJE....kwa kuvisoma vitabu vyao lukuki halafu uwe shaykh ?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]
Yaani hujui SIRAT UN NABAWIYA (history) ya uislam toka mazazi ya mtume SAW mpaka "khilafa" zote halafu uwe shaykh ?!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]
Yaani hujui HADEETH....na kuzama katika bahari yake halafu uwe shaykh ?!!!
Yaani hujui "Ijma wal Qiyaas" halafu uwe shaykh ?!!!
Yaani hujui "Rhetoric- grammar ,persuasion ,logic"- balagha halafu uwe shaykh ?!!!
Yaani huijui HISTORIA ya dunia....mawanda yake....tawala zake halafu uwe shaykh ?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]
Tuondolee ujuha na usakala wako hapa
Hivi shule ulikwenda kusomea "kupakwa mafuta" ili "matuuunduuurrr" ya mwili wako yawe "ng'wenyu"?!!! [emoji1787][emoji1787]