Rorscharch
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 878
- 2,014
1. Unazini mwaka mzima ukija Mwezi huu ulivyokuwa mrahibu wa ngono unaharalisha ufuska wako kwa kuoa single maza ambaye unaachana nae miezi mitatu baadae (ungefunga ngono badala ya chakula ungekuwa umefanya cha maana)
2. Kila siku wala kwa meza migahawani ila leo eti unataka wakuwekee kwenye mkeka
2. Kila siku wala kwa meza migahawani ila leo eti unataka wakuwekee kwenye mkeka