Rorscharch
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 878
- 2,014
- Thread starter
- #21
Baa tumeruhusiwaAlafu hakuna mkamilifu hata nyie mnaenda kanisani na pengine baa mnaenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baa tumeruhusiwaAlafu hakuna mkamilifu hata nyie mnaenda kanisani na pengine baa mnaenda
Unaumia ukiwa wapi1. Unazini mwaka mzima ukija Mwezi huu ulivyokuwa mrahibu wa ngono unaharalisha ufuska wako kwa kuoa single maza ambaye unaachana nae miezi mitatu baadae (ungefunga ngono badala ya chakula ungekuwa umefanya cha maana)
2. Kila siku wala kwa meza migahawani ila leo eti unataka wakuwekee kwenye mkeka
Nahisi Kuna vitu tunachanganya hakuna dini iliyoruhusu uzinzi wizi ! Uislam umekataza vingi ila mtu akivifanya sio uislm ni yeye hapo ukristo umekatza uzinzi john akizin ni yeye sio kabisa Wala dini ....mwez wa ramadhani kwa waislam sio mwezi pekee wa kutenda mema miezi yote imeaswa kutenda mema kinachokuumiz ni wew kuona watu wanajumuika kufanya ibada hatupaswi kuchukia binadamu tunaomba mwisho mwema haijalishi ulianzaje ila mwisho utakuaje1. Unazini mwaka mzima ukija Mwezi huu ulivyokuwa mrahibu wa ngono unaharalisha ufuska wako kwa kuoa single maza ambaye unaachana nae miezi mitatu baadae (ungefunga ngono badala ya chakula ungekuwa umefanya cha maana)
2. Kila siku wala kwa meza migahawani ila leo eti unataka wakuwekee kwenye mkeka
Kwenye futariUnaumia ukiwa wapi