Rorscharch
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 878
- 2,014
hawa mzidi lucas mwanshamba kwa maigizo ya raisi na viatu vya jeje1. Unazini mwaka mzima ukija Mwezi huu ulivyokuwa mrahibu wa ngono unaharalisha ufuska wako kwa kuoa single maza ambaye unaachana nae miezi mitatu baadae (ungefunga ngono badala ya chakula ungekuwa umefanya cha maana)
2. Kila siku wala kwa meza migahawani ila leo eti unataka wakuwekee kwenye mkeka
WajitafakariSuluhisho n nn ss mkuu ktk hiliiii.......
Mafundisho Yao yanatambua huo kama unafiki, Siku hizi wanafunga kula mpaka kitimotoAngalau hata hao wanaokumbuka kuwa wasafi angalau hata kwa huo mwezi ambao kwao ni mtukufu.
😂😂Ila kuna jamaa yangu tunapiga nae issue kitaa kwenye sekta isiyo rasmi. Jamaa ni swala 5. Kwenye kazi zetu tunatumia uongo kwa 50%.
Jamaa kafunga. [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Ramadan ikiisha, KAZI IENDELEE.
😄🤣Ila kuna jamaa yangu tunapiga nae issue kitaa kwenye sekta isiyo rasmi. Jamaa ni swala 5. Kwenye kazi zetu tunatumia uongo kwa 50%.
Jamaa kafunga. [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Ramadan ikiisha, KAZI IENDELEE.
sasa huoni raha kumshukuru aliyempa uhai hata kwa mwezi mmoja mana kukaa mwaka napo ni uzima unahitajika- mwaka mzima wavaa uchi ila mwezi wa Ramadhani unavaa madera na vilemba ...wanafiki wakubwa
Ukiamua jambo amua tulia huko unajua wapo vijana hapa jirani wao wanaswali wametulia hata wakifunga huoni tofauti na hawanaga malalamiko hao ila kutana na hawa wenginesasa huoni raha kumshukuru aliyempa uhai hata kwa mwezi mmoja mana kukaa mwaka napo ni uzima unahitajika
Wana malalamiko au nyie ndo mnawalalamikia?Ukiamua jambo amua tulia huko unajua wapo vijana hapa jirani wao wanaswali wametulia hata wakifunga huoni tofauti na hawanaga malalamiko hao ila kutana na hawa wengine
Tunawakosoa kwa kuwajenga..... Wazungu wanasemaga "constructive criticism"Wana malalamiko au nyie ndo mnawalalamikia?