Hakuna dini bora zote zipo sawaHizi dini za kimbavu sana.
Yaan hapa mtoa mada katafuta Kibaya cha Uislam (Mwislam) anaona aje awakandie ili moyo wake uwe na amani.
Hapo hapo Mwislam nae atatafuta kitu kwenye ukristo akandie ili nae aone kajibu hoja.
Upumbavu tuu watu wameshikilia wakujiona wao ndo bora kuliko wengineea.
Yaan kila dini ina jiona yenyewe ndo bora zaidi.
Huko siendagi kabisa,,Usije ukafanya hivyo ukiwa pwani, Tanga, Lindi na Zanzibar. Watasema astakafulilah, takbih takbih. Sijui kama utakuwa salama
Kidogo tu Niku tag lakin kwakuwa umekuja mwenyewe bas karibu sanaHapo Kula Kitimoto π π ndugu Yangu Una ushahidi
Kwamba Mimi Nakula Kitumoto au π€£π€£π ππKidogo tu Niku tag lakin kwakuwa umekuja mwenyewe bas karibu sana
Nilitaka utoe faida ya nyama ya kitimoto pamoja na mafuta yake kuwa yana faida gan mwilini mwa binadamKwamba Mimi Nakula Kitumoto au π€£π€£π ππ
Hayana Faida Yoyote Zaidi ya Hasara Tu π π π π€£π€£π€£πππNilitaka utoe faida ya nyama ya kitimoto pamoja na mafuta yake kuwa yana faida gan mwilini mwa binadam
Mbona nilisikia kuwa ni mazuri kwanza hagandi sijui nini nini hukoHayana Faida Yoyote Zaidi ya Hasara Tu π π π π€£π€£π€£πππ
- Kwanini maeneo ambayo mmejaa nyinyi kuliko Wakristo Dar es salaam kuna uduni wa kiasi fulani katika maendeleo mf. Nenda Chamazi - Mbagala, nenda temeke na maeneo mengine ambapo mpo wengi kuliko wakristo
- Kwanini watoto zenu wanasoma vizuri tu kwenye shule za Kikristo (mission) ila watoto zetu kusoma zenu ni changamoto
- Mbona mnakula sana kitimoto ndugu zangu? Mmejiruhusu au mmeruhusiwa?
Japo Kweli Ni mazuri..Mbona nilisikia kuwa ni mazuri kwanza hagandi sijui nini nini huko
Usiwe mvivu ustaadhi, miaka kibao ilikuwa ni Dhambi kusoma elimu Dunia, haya ndio matokeo yake Sasa,hata hivo hamjachelewa pelekeni watoto shule sasaKuna mtu mnayetamani kumuabudu kwa mara ya kwanza alikaribishwa na waislamu(hao mnaowaona duni) na wakamsaidia sana lakini alivyofanikiwa kukipata alichokitamani aliwatupilia mbali wenyeji wake na kujitenga nao na alihakikisha wanakua duni milele isipokuwa wachache ambao walikubali kuwa chawa wake.
Leo mnawadhihaki!
Asante sana kumbe tuendelee kugonga mdogo mdogo tuJapo Kweli Ni mazuri..
Na Pia yana Cholesterol nzuri ambayo inaweza Kusaidia Kuondoa Bado Cholesterol Mwilini, na Ni sources yaa vitamin B, Vitamini D na zingine...
Japo ina Monosaturated Fat ila Ila Yana High saturated fatty acids (SFAs) π π
Ambayo ndo InaIncrease risk ya Kupata magonjwa ya Moyo Cardiovascular Disease na CVD (Cerebral Vascular Disease)
Kiufupi mlaji wa Mdudu anakabiliwa magonjwa Mengi ya Mishipa Ya Moyo ba Mishipa.ya Ubongo...
Mtu mwenye Pressure au Mwenye Kisukari au Mwenye magonjwa ya Mishipa Ya damu haruhusiwi kutumia Sana Huyo mbuzi katoliki kwa ajili ya Afya yake..
Nyama Ya Nguruwe Ni complex sana Maana Ina Faida Nyingi na Ina Hasara Nyingi pia π π ππ
Maisha hatuishi hivyo, natoa banzi kwenye jicho lako unatoa banzi kwenye jicho languHebu mtuache tupumue ndugu zangu. Kila siku thread 3 za waislamu tu. Tumechoka
Hebu fatilieni basi mambo yenu hata kule Vatican kuna mashoga siku hizi hebu fanyeni kujadili mambo endelevu ya dini yenu.
Ya sisi waislamu tuachieni hayawahusu
Hahahah Kwa Wayahudi Wanasema Vyakula Vyenu Viwe KOSHER...Asante sana kumbe tuendelee kugonga mdogo mdogo tu
Rafiki yangu umehamia kiroho tenaHahahah Kwa Wayahudi Wanasema Vyakula Vyenu Viwe KOSHER...
kwa Wakristo wanazema VYAKULA viwe Halali na Kitimoto ni Haramu
Ukienda Kwa Waislam hivyo hivyo..
Na ukienda kwa Dini Yoyote ni hivyo hivyo Kukatazwa kwa Kitimoto hienda Kuna Maana Kiroho..
π π
Mmehalalishwa Lini π π ππRafiki yangu umehamia kiroho tena
Kiroho sisi wakristo tushahalilishiwa kitambo sana
Utakuta wewe jamaa ni mke wa Mtu kabisa na unajiganya kuwalea watoto wako kwenye maadili! Mumeo ana shida sana aisee
- Kwanini maeneo ambayo mmejaa nyinyi kuliko Wakristo Dar es salaam kuna uduni wa kiasi fulani katika maendeleo mf. Nenda Chamazi - Mbagala, nenda temeke na maeneo mengine ambapo mpo wengi kuliko wakristo
- Kwanini watoto zenu wanasoma vizuri tu kwenye shule za Kikristo (mission) ila watoto zetu kusoma zenu ni changamoto
- Mbona mnakula sana kitimoto ndugu zangu? Mmejiruhusu au mmeruhusiwa?
Je wewe baba yako anamiliki bilion ngapi kwenye akaunti?
- Kwanini maeneo ambayo mmejaa nyinyi kuliko Wakristo Dar es salaam kuna uduni wa kiasi fulani katika maendeleo mf. Nenda Chamazi - Mbagala, nenda temeke na maeneo mengine ambapo mpo wengi kuliko wakristo
- Kwanini watoto zenu wanasoma vizuri tu kwenye shule za Kikristo (mission) ila watoto zetu kusoma zenu ni changamoto
- Mbona mnakula sana kitimoto ndugu zangu? Mmejiruhusu au mmeruhusiwa?