Ndugu zangu walinidanganya nikasoma kozi isiyo na soko

Ndugu zangu walinidanganya nikasoma kozi isiyo na soko

Nashindwa kung'amua kwakweli.. Waliotuletea haya mambo wametupata sana..

Me nadhani tatizo lilianza hapo ulipojiaminisha kwamba kuna watu wana wajibu wa kukufanyisha kazi baadae wakulipe ujira (fedha) sasa umekuta sivyo ndio unaanza kuchanganyikiwa..


Anyway mkuu umesomea mambo ya biashara, hope umeiva kwenye maeneo hayo..

Ninachokushauri, tumia hiyo elimu ulionayo uweze kujikwamua kiuchumi..

"YOU ARE RESPONSIBLE OF YOUR LIFE"

Kumbuka hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
shukrani kwa ushauri.
 
Hakuna kozi ambayo haina soko ni mtazamo wako tu na vile unavyoichukulia.
Watu kibao wako maofisini wanafanya kazi ambazo hawakuzisomea...Ninachoamini mimi kuna kazi nyingi ambazo unaweza fanya huku knowledge ya biashara ukaitumia kidogo sana.
Yawezekana pia CV yako umeitengeneza ki biashara so kwingine hau fit. Jaribu kutengeneza CV yako kwa namna ambayo unaweza ku accomodate kazi tofauti tofauti. Ukishapata kazi ndo unaweza kuamua career path ya kufuata.
Usiwalaumu nadhani walikushauri kwa mtazamo wao.
Best of Luck!!

Sent using Jamii Forums mobile app
thanks
 
Miaka 4 siyo mingi kabsa rudi kasome degree uliyopenda wew mbona inawezekana tu mkuu!

By the way hakuna course isiyo na masirahi hizi ni perception zako tu. Vuta subra na jitofautishe na wenzako katika huo uhasibu wako. Kuna siku haya maneno yako yatakuja kukusuta sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
sawa mkuu
 
Uhasibu upo vizuri tu... hawakukosea kukupa ushauri huo na hata hiyo engineering inategemea ya aina ipi kwani nyengine nazo zinalipa lakini sio Tanzania... Kikubwa pumzi... Focus... Never give up
 
Kwani Nani Amekudanganya hiyo engineering ina kazi za kuajiriwa mkuu?Nina ndugu wawili mmoja electrical mwingine computer and networking baada ya kumaliza na kusugua benchi kisawasawa walijiongeza Kuomba kufundisha physics secondary private.
Sasa wamefundisha 3yrs wamekuwa Waalimu kabisa
 
[emoji81][emoji81]dah ..sometimes kua na msimamo haijalishi ni nani anae kupinga

Sent from my SM-A105G using Tapatalk
 
nilikuwa na ndoto za kuwa injinia ila kaka zangu nadhani walinionea wivu wakanidanganya kuwa haina dili bora masomo ya biashara. nikasoma hayo leo wananicheka life imenipiga mpaka nachanganyikiwa.
It's not too late to start afresh
 
nilikuwa na ndoto za kuwa injinia ila kaka zangu nadhani walinionea wivu wakanidanganya kuwa haina dili bora masomo ya biashara. nikasoma hayo leo wananicheka life imenipiga mpaka nachanganyikiwa.
Acha ujinga mbona uhasibu kila siku naona matangazo ya kazi ata bila CPA,

Shida mnawahi kukata tamaa miez 5 mtaani mnahisi mmekaa miaka 9
 
Back
Top Bottom