chamaclotus
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 1,079
- 2,273
- Thread starter
- #21
poa mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
poa mkuu
haisaidiiWaletee noma jombaa
Sent from my vivo X21 using Tapatalk
shukraniUsikate tamaa mkuu
shukrani kwa ushauri.Nashindwa kung'amua kwakweli.. Waliotuletea haya mambo wametupata sana..
Me nadhani tatizo lilianza hapo ulipojiaminisha kwamba kuna watu wana wajibu wa kukufanyisha kazi baadae wakulipe ujira (fedha) sasa umekuta sivyo ndio unaanza kuchanganyikiwa..
Anyway mkuu umesomea mambo ya biashara, hope umeiva kwenye maeneo hayo..
Ninachokushauri, tumia hiyo elimu ulionayo uweze kujikwamua kiuchumi..
"YOU ARE RESPONSIBLE OF YOUR LIFE"
Kumbuka hilo
Sent using Jamii Forums mobile app
thanksHakuna kozi ambayo haina soko ni mtazamo wako tu na vile unavyoichukulia.
Watu kibao wako maofisini wanafanya kazi ambazo hawakuzisomea...Ninachoamini mimi kuna kazi nyingi ambazo unaweza fanya huku knowledge ya biashara ukaitumia kidogo sana.
Yawezekana pia CV yako umeitengeneza ki biashara so kwingine hau fit. Jaribu kutengeneza CV yako kwa namna ambayo unaweza ku accomodate kazi tofauti tofauti. Ukishapata kazi ndo unaweza kuamua career path ya kufuata.
Usiwalaumu nadhani walikushauri kwa mtazamo wao.
Best of Luck!!
Sent using Jamii Forums mobile app
connection mkuu.
sawa mkuuMiaka 4 siyo mingi kabsa rudi kasome degree uliyopenda wew mbona inawezekana tu mkuu!
By the way hakuna course isiyo na masirahi hizi ni perception zako tu. Vuta subra na jitofautishe na wenzako katika huo uhasibu wako. Kuna siku haya maneno yako yatakuja kukusuta sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
uhasibu mbona iko vizuri tu kijana usife moyouhasibu
shukrani.uhasibu mbona iko vizuri tu kijana usife moyo
kama huna cpa itafute na uvute subira
nashukuru kwa kunitia moyo mkuuUhasibu upo tu, ni saula muda.
Na ungesoma engineering then uje usome CPA ingekuwa vizuri pia
Sent using Jamii Forums mobile app
nilikuwa na ndoto za kuwa injinia ila kaka zangu nadhani walinionea wivu wakanidanganya kuwa haina dili bora masomo ya biashara. nikasoma hayo leo wananicheka life imenipiga mpaka nachanganyikiwa.
It's not too late to start afreshnilikuwa na ndoto za kuwa injinia ila kaka zangu nadhani walinionea wivu wakanidanganya kuwa haina dili bora masomo ya biashara. nikasoma hayo leo wananicheka life imenipiga mpaka nachanganyikiwa.
Acha ujinga mbona uhasibu kila siku naona matangazo ya kazi ata bila CPA,nilikuwa na ndoto za kuwa injinia ila kaka zangu nadhani walinionea wivu wakanidanganya kuwa haina dili bora masomo ya biashara. nikasoma hayo leo wananicheka life imenipiga mpaka nachanganyikiwa.
punguza ujuaji