Uchaguzi 2020 Ndugu zangu wanaCCM kweli tulikosea, tuchutame

Siku hizi makamanda wa CHADEMA wanajigeuza na kuwa wanaCCM huku wakitoa eti ushauri na maoni yao!

Unatumia picha ya Marehemu aliyekuwa Mbunge wa Mafia, Abdulkarim Shah halafu unajiita mwanaCCM!

Hizi ni propaganda za kitoto sana!
Hoja yake je ni ya uongo
 
Siku hizi makamanda wa CHADEMA wanajigeuza na kuwa wanaCCM huku wakitoa eti ushauri na maoni yao!

Unatumia picha ya Marehemu aliyekuwa Mbunge wa Mafia, Abdulkarim Shah halafu unajiita mwanaCCM!

Hizi ni propaganda za kitoto sana!
Unataka kutuaminisha kuwa ccm hakuna mtu mwenye akili anayeweza kuona mambo yasiyofaa ndani ya serikali au anayeweza kuhoji mambo yakienda ndivyo sivyo?
 
Man Mvua,

Kati ya makosa makubwa CCM watajilaumu kumuacha akazuia Shughuli za Vyama vya siasa na kudhulumu uchaguzi wa Serikali za mitaaa mwaka jana ndio matokeo yake tunayaona leo...
Makamanda, matokeo yatakayosomwa baada ya October 28 yatawashangaza pengine itabidi mjipange foleni mahospitalini kupima afya baada ya kupata shambulio la moyo. Msijipe matumaini ambayo hayapo kabisa.

Magufuli anashinda kwa asilimia 95% inaonekana hamuelewi kama Thomaso. Tundu lissu kupata kura 500,000 atakuwa amejitahidi sana. Poleni ndiyo ukweli huo japo unauma, subirini kipenga kipigwe mtapoteana kabisa.
 
Siku hizi makamanda wa CHADEMA wanajigeuza na kuwa wanaCCM huku wakitoa eti ushauri na maoni yao!

Unatumia picha ya Marehemu aliyekuwa Mbunge wa Mafia, Abdulkarim Shah halafu unajiita mwanaCCM!

Hizi ni propaganda za kitoto sana!
Sawa Mimi kamanda. Hilo linakuongezea nini katika maisha yako.
 
Hayo yasiyatamke kabisa badala yake ajikite kwenye ilani mpya.
 
Ahsante sana kiongozi ngoja tujipange upya. Tatizo kubwa lililotokea ni WALIOSHIBA kupewa mic huku WENYE NJAA kuambiwa wapiga deal.
 
Man Mvua,
Kama mnakili mna madhaifu yote hayo kwa Nini msikubali, kushindwa ili mkae pemveni, wachukue wapinzani
Hakuna kurudi nyuma, wala hakuna kushusha silaha, ni mbele kwa mbele mkuu. Hii ni vita. Ahsante kwa kujali
 
Kunywa bia utakavyo.. nakuja kulipa bili.[emoji111]
 
Wewe ni mwana Lumumba mwenzangu kweli ? Mbona unaongea vitu vya uchochezi .
 
Siku hizi makamanda wa CHADEMA wanajigeuza na kuwa wanaCCM huku wakitoa eti ushauri na maoni yao!

Unatumia picha ya Marehemu aliyekuwa Mbunge wa Mafia, Abdulkarim Shah halafu unajiita mwanaCCM!

Hizi ni propaganda za kitoto sana!
Kwani anaetumia picha ya Magufuli kuikosoa CCM lazima awe Magufuli mwenyewe?

Hiyo picha simply ina symbolise mtu wake, mentor, idol, hivyo hiyo haiwezi kuwa sababu yake kuwa mpinzani.
 
Watanzania wore tungekuwa wakweli na wawazi kiwango hicho leo Tanzania tungeizidi Marekani na Ulaya kwa. Mambo mengi sana
 
Kwa ajiri ya Hoja no. 6
Kura yangu inaenda kwa Lissu!

Hiyo ndo namna pekee ntapaza Sauti yangu!
 
Siku hizi makamanda wa CHADEMA wanajigeuza na kuwa wanaCCM huku wakitoa eti ushauri na maoni yao!

Unatumia picha ya Marehemu aliyekuwa Mbunge wa Mafia, Abdulkarim Shah halafu unajiita mwanaCCM!

Hizi ni propaganda za kitoto sana!
Serikali ya awamu ya tano imeingia madarakani sukari ikiuzwa 1,800/= leo inauzwa 2,800/= (bei elekezi) bado unaminyana na wanaotoa hoja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…