Ndugu zangu watanzania tuibadilishe hii katiba. Yaani Rais alitaka kuchoma shamba la mikorosho halafu hafanywi chochote?

Ndugu zangu watanzania tuibadilishe hii katiba. Yaani Rais alitaka kuchoma shamba la mikorosho halafu hafanywi chochote?

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
CCM msijione mko salama sana na hii katiba. Hamuijui kesho yenu.

Yaani Askofu amesema kuwa aliishi kama Digidigi nchini kwake na kunusurika kuuawa mara tatu malipo yake inakuwa Ni kumhoji? Aliyesababisha hayo haguswi?!

Zitto amesema mashamba yake ya korosho yalitaka kuchomwa moto na jiwe hakuna kitu anafanywa huyo aliyetaka kuyachoma?!

Hii katiba jamani ni mbaya. Atakuja chizi ataamua kuangamiza kundi fulani la watu halafu ataangamiza na hakuna kitu atafanywa. Please!
 
CCM msijione mko salama sana na hii katiba. Hamuijui kesho yenu.

Yaani askofu amesema kuwa aliishi kama Digidigi nchini kwake na kunusurika kuuawa mara tatu malipo yake inakuwa Ni kumhoji??Aliyesababisha hayo haguswi??!

Zitto amesema mashamba yake ya korosho yalitaka kuchomwa moto na jiwe hakuna kitu anafanywa huyo aliyetaka kuyachoma???!

Hii katiba jamani ni mbaya. Atakuja chizi ataamua kuangamiza kundi fulani la watu halafu ataangamiza na hakuna kitu atafanywa. Please!
Zitto mashamba ya korosho ayatoe wapi? Alikataa Hana mashamba
20211220_105212.jpg
 
CCM msijione mko salama sana na hii katiba. Hamuijui kesho yenu.

Yaani askofu amesema kuwa aliishi kama Digidigi nchini kwake na kunusurika kuuawa mara tatu malipo yake inakuwa Ni kumhoji??Aliyesababisha hayo haguswi??!

Zitto amesema mashamba yake ya korosho yalitaka kuchomwa moto na jiwe hakuna kitu anafanywa huyo aliyetaka kuyachoma???!

Hii katiba jamani ni mbaya. Atakuja chizi ataamua kuangamiza kundi fulani la watu halafu ataangamiza na hakuna kitu atafanywa. Please!
Tafiti vitu kabla kuandika. Mnaaandika rubbish kwenye jukwaa kubwa kama JF its like JF imevamiwa na walevi wa Viroba na KVant. Umebwabwaja sana na siyo lazima wote tuwe wachokoza mada au waanzilishi bali waweza kuwa msomaji au mchangiaji tu ili kuepusha takataka ka hizi.
 
Tatizo ni kwamba hakuna ushahidi wa hizo hekaya za hao ndugu.
 
Tafiti vitu kabla kuandika. Mnaaandika rubbish kwenye jukwaa kubwa kama JF its like JF imevamiwa na walevi wa Viroba na KVant. Umebwabwaja sana na siyo lazima wote tuwe wachokoza mada au waanzilishi bali waweza kuwa msomaji au mchangiaji tu ili kuepusha takataka ka hizi.
Hoja yake ni kuhusu ubovu wa katiba ya sasa hizo nyingine ni stor zakusindikiza mada yake.sasa ubovu wa hii katiba inayomgeuza mtu mmoja kuabudiwa inaitaji utafiti gani kujua ni mbovu.Au unasubiri hadi itakapokuzuru ndo uibuke ujue ni mbovu.
 
Hoja yake ni kuhusu ubovu wa katiba ya sasa hizo nyingine ni stor zakusindikiza mada yake.sasa ubovu wa hii katiba inayomgeuza mtu mmoja kuabudiwa inaitaji utafiti gani kujua ni mbovu.Au unasubiri hadi itakapokuzuru ndo uibuke ujue ni mbovu.
Tuko kwenye mfumo wa Ubepari. Wewe jikite kufanyakazi kwa bidii kuendeleza familia yako na uzao wako, serikali imeweka miundombinu ya kutosha. Vuna Magogo peleka nje, lima maua peleka nje, lima mazao kadri uwezevyo safirisha nje. Achana na porojo porojo wakati umri unaenda Tanzania bado fursa zipo yaaani kwa kifupi jikite kutengeneza pesa. Nenda kakusanye mahindi mchele nk peleka sudan na somalia utapiga pesa tu barabara zipo mzigo unafika fasta. Usipoteze muda na porojo za Siasa mkuu jali kipato chako binafsi hapa JF njoo kurefresh tu lkn ukiumiza kichwa utaishia kufa kwa madonda ya tumbo. Hao wanaozusha taharuki za mijadala wanajua nin wanafanya maaana wako kazini. Heri ya mwaka mpya 2022 mkuu
 
Tafiti vitu kabla kuandika. Mnaaandika rubbish kwenye jukwaa kubwa kama JF its like JF imevamiwa na walevi wa Viroba na KVant. Umebwabwaja sana na siyo lazima wote tuwe wachokoza mada au waanzilishi bali waweza kuwa msomaji au mchangiaji tu ili kuepusha takataka ka hizi.
Kulikuwa na shetani ikulu....by Askofu Mwingira.

Naona mfuasi wa legacy (sukuma gang) umefura kama joka. Utanifanya nn Sasa?
 
Back
Top Bottom