KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Hii haina haja ya kusalimiana,
Jana nikiwa kwenye harakati zangu za kutafuta mkate wangu wa kila siku kama ilivyo Ada kwa watu tuliombiwa tutakula kwa jasho. Niliibahatika kuingia kwenye jengo moja mitaa ya Masaki.
Wakati natoka kwenye hilo jengo nje nikakutana na kundi watu wanaoonekana ni MAUSTAADH wakiwa wamewazunguka walinzi wa jengo hilo na watu wengine wa karibu na hapo katika hali inayoonekana kama kuna mazungumzo ya kidini yanayoendelea.
Lakini kadri ninavyosogea karibu ndio naziona zile sura za wale MAUSTAADH. Sio sura ngeni ni vijana wa mtaani ninapoishi wapo kama wa nne lakini pia kwa ninavyo wafahamu sio watu wa dini bali ni hawa walevi hizi vipombe vikali huku kwenye maduka ya mtaani.
Wale MAUSTAADH baada ya kumalizana na pale wakaendelea na jambo lao mbele kwa mbele ndio nikasogea kuwauliza wale waliokuwa wakipatiwa ilimu na kuwauliza nini kilikuwa kinaendelea wakasema wale MAUSTAADH wanachangisha fedha za ujenzi wa msikiti na Madrasa maeneo ya Chalinze.
Kweli dunia inaelekea kubaya, nikafikiria kuwachoma lakini nikahofia usalama wao.
Jana nikiwa kwenye harakati zangu za kutafuta mkate wangu wa kila siku kama ilivyo Ada kwa watu tuliombiwa tutakula kwa jasho. Niliibahatika kuingia kwenye jengo moja mitaa ya Masaki.
Wakati natoka kwenye hilo jengo nje nikakutana na kundi watu wanaoonekana ni MAUSTAADH wakiwa wamewazunguka walinzi wa jengo hilo na watu wengine wa karibu na hapo katika hali inayoonekana kama kuna mazungumzo ya kidini yanayoendelea.
Lakini kadri ninavyosogea karibu ndio naziona zile sura za wale MAUSTAADH. Sio sura ngeni ni vijana wa mtaani ninapoishi wapo kama wa nne lakini pia kwa ninavyo wafahamu sio watu wa dini bali ni hawa walevi hizi vipombe vikali huku kwenye maduka ya mtaani.
Wale MAUSTAADH baada ya kumalizana na pale wakaendelea na jambo lao mbele kwa mbele ndio nikasogea kuwauliza wale waliokuwa wakipatiwa ilimu na kuwauliza nini kilikuwa kinaendelea wakasema wale MAUSTAADH wanachangisha fedha za ujenzi wa msikiti na Madrasa maeneo ya Chalinze.
Kweli dunia inaelekea kubaya, nikafikiria kuwachoma lakini nikahofia usalama wao.