Ndugu zangu wenye mioyo ya kutoa kuweni makini na wanaoonekana ombaomba mitaani, wengi wao matapeli na vibaka

Ndugu zangu wenye mioyo ya kutoa kuweni makini na wanaoonekana ombaomba mitaani, wengi wao matapeli na vibaka

KikulachoChako

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2013
Posts
19,185
Reaction score
37,239
Hii haina haja ya kusalimiana,

Jana nikiwa kwenye harakati zangu za kutafuta mkate wangu wa kila siku kama ilivyo Ada kwa watu tuliombiwa tutakula kwa jasho. Niliibahatika kuingia kwenye jengo moja mitaa ya Masaki.

Wakati natoka kwenye hilo jengo nje nikakutana na kundi watu wanaoonekana ni MAUSTAADH wakiwa wamewazunguka walinzi wa jengo hilo na watu wengine wa karibu na hapo katika hali inayoonekana kama kuna mazungumzo ya kidini yanayoendelea.

Lakini kadri ninavyosogea karibu ndio naziona zile sura za wale MAUSTAADH. Sio sura ngeni ni vijana wa mtaani ninapoishi wapo kama wa nne lakini pia kwa ninavyo wafahamu sio watu wa dini bali ni hawa walevi hizi vipombe vikali huku kwenye maduka ya mtaani.

Wale MAUSTAADH baada ya kumalizana na pale wakaendelea na jambo lao mbele kwa mbele ndio nikasogea kuwauliza wale waliokuwa wakipatiwa ilimu na kuwauliza nini kilikuwa kinaendelea wakasema wale MAUSTAADH wanachangisha fedha za ujenzi wa msikiti na Madrasa maeneo ya Chalinze.

Kweli dunia inaelekea kubaya, nikafikiria kuwachoma lakini nikahofia usalama wao.
 
Wengine wanawauzia wenzao Udongo,Chumvi na mafuta ili wawe matajiri kimiujiza!

Kuhusu huo utapeli wa watu kujifanya wa dini,utapeli wa aina hiyo upo kitambo sana hapo Dar toka miaka ya 90's,labda ulikua tu hujawahi tu kukutana nao,

Kuna uzi uliwahi kuletwa humu,jamaa alitaka kutapeliwa,wale matapeli wakampeleka mpaka kwenye Kanisa la huyo aliyekua na mali anauza,ilikua ni issue ya madini, mtumishi fake akatoka Kanisani ili kuongea na mteja,kumbe wote walikua ni matapeli tu, yule hakua mtumishi,alienda tu pale Kanisani ili wamteke akili wanayetaka kumtapeli awaone kua ni watu wema na asiwe na wasiwasi nao,haya mambo hua yapo toka kitambo tu.
 
Wengine wanawauzia wenzao Udongo,Chumvi na mafuta ili wawe matajiri kimiujiza!

Kuhusu huo utapeli wa watu kujifanya wa dini,utapeli wa aina hiyo upo kitambo sana hapo Dar toka miaka ya 90's,labda ulikua tu hujawahi tu kukutana nao,

Kuna uzi uliwahi kuletwa humu,jamaa alitaka kutapeliwa,wale matapeli wakampeleka mpaka kwenye Kanisa la huyo aliyekua na mali anauza,ilikua ni issue ya madini,mtumishi fake akatoka Kanisani ili kuongea na mteja,kumbe wote walikua ni matapeli tu,yule hakua mtumishi,alienda tu pale Kanisani ili wamteke akili wanayetaka kumtapeli awaone kua ni watu wema na asiwe na wasiwasi nao,haya mambo hua yapo toka kitambo tu.
Dah!!
Hali inatisha ndugu yangu.....mioyo ya watu hubadilika kwenye fedha.....
 
Maisha magumu na hizi addition wanazojiendekeza nazo huku mtaani zinawatesa kuzimaintain ndomana wanakuja na mbinu kama hizi....ni bora lkn kuliko kuwa wezi/vibaka
 
Maisha magumu na hizi addition wanazojiendekeza nazo huku mtaani zinawatesa kuzimaintain ndomana wanakuja na mbinu kama hizi....ni bora lkn kuliko kuwa wezi/vibaka
Wizi ni wizi tu mkuu,haijalishi umetumia mbinu gani katika kufanikisha huo wizi wako,

Wrong is wrong even if everyone is doing it,and right is right even no one is doing it.
 
Sijaona kosa haoo unatoa kwa hiari yako,kuwamleci hakykuzyii kuswali
Duh!!
Ndugu yangu uko Sawa kweli.....??
1002298163.jpg
 
Wizi ni wizi tu mkuu,haijalishi umetumia mbinu gani katika kufanikisha huo wizi wako,

Wrong is wrong even if everyone is doing it,and right is right even no one is doing it.
Sijasema its a right thing to do embu eleww kidogo nikichomaanisha ni hali ya maisha ilipotufikisha na hao vijana wamejipa uraibu wa mapombe wasiyoweza kununua ndomana wameingia mtaani kwanjia ya kuchangisha watu sasa hapo kazi kwako wewe kuwapa au kutowapa
 
Sijasema its a right thing to do embu eleww kidogo nikichomaanisha ni hali ya maisha ilipotufikisha na hao vijana wamejipa uraibu wa mapombe wasiyoweza kununua ndomana wameingia mtaani kwanjia ya kuchangisha watu sasa hapo kazi kwako wewe kuwapa au kutowapa
Inawezekana kua wewe ndio hujaelewa ulichokiandika,

Unaposema Utapeli ni bora kuliko kua wezi au vibaka una maanisha nini?
Kipi kinafanya utapeli kua ni bora kuliko kua kibaka/wezi?
 
Back
Top Bottom