KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
- Thread starter
- #41
Dah!! Watu hawana huruma na binadamu wenzao.....😂Utapeli upo wa wingi. Hudusan kwa mgongo wa imani za watu. Hilo halipingiki.
Unenikumbusha watu wanavyochapwa (tapeliwa) sijui na mchungaji gani yule na wazo la udongo aliloliona JF.
Kuna Bi Zainab Tamim hapa JF anautangaza udongo wake wa tiba na urembo wa ngozi kwa zaidi ya miaka kumi sasa hapa JF. Hakuna malalamiko.
Huyo mchungaji tapeli kayaona hayo JF sasa anawachapa wajinga ndiyo waliwao mitaani huko.