minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
CCM ndiyo wanaitafuna Nchi manyanyaso yao kwa wafanyabiashara wawekezaji ndiyo yaendelea kudidimiza Nchi kiuchumiMkuu Bora kujua chanzo Cha tatizo kuliko kutuhum,why haya yote ukipata jibu njoo tena tujadili,taifa mnalibinua binua wenyewe then mnatafuta mchawi, Tamaa za baadhi ya watu ndo zinafikisha taifa hapa, kuwataja wapinzani ni propaganda tu