Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma tena postNani anamamanug'uniko?
Wewe ndo hujui unachokiongea, Jamhuri ikikuhitaji haiwezi kukukosa, na infact hakuna mbinu yeyote aliyotumia kuondoka, alikuwa anawapumbaza tu nyie vilaza msiojua vitu ila kaa ufahamu ratiba yake hiyo ya kuondoka ilishakuwepo muda mrefu sema alikuwa anatafuta mbinu ipi atatumia kuondokea.Una hakika na unachokiongea au ushabiki unakusumbua? Mbinu aliyotumia kuondoka "mashetani watu" waliokuwa wamemkamia kawaachia "manyoya",hawaamini na wametahayari.Yule hakimu waliyemwongezea muda ili akamilishe "mpango mkakati" haramu kabaki na lundo la makaratasi! Kifupi "they are dumb founded"
Muulize Kamanda Ziro alivyowasihi warudi eti atawapa ulinzi baada ya njama zao kuwa kituko.
Wewe unambusu mtu anayekupora haki yako?Mnaipaka matope nchi yenu mnasema eti ni nchi isiyothamini wawekezaji je hii ni kweli?
Mmechukia kutopata Ubunge je kwani Ubunge ni ajira? Hapana.
Kwa muktadha huu ni kuwa watanzania wameridhika na CCM.
Sasa mnataka nini? Mnaeneza uongo hapa Jf kuwa wawekezaji wanadhulumiwa bil of Tsh, jambo ambalo sio. Mlishapoteza kuweni wapole na mjipange kwenda kulima ndizi huko Hai.
Kutonyamaza na kuendelea na harakati za kuleta haki na usawa TZ ni haki na wajibu wako kama Mtanzania. Na mimi nautambua mchango mkubwa wa upinzani, maana bila upinzani CCM ilikuwa imepoteza dira. Nchi ilikuwa imechukuliwa na matajiri, wezi, na wauza unga, kwa kifupi na wenyenazo. Baada ya kazi nzuri ya upinzani (ingawaje hawakupata uongozi wa nchi), CCM ilishtuka na kujikuta mahala pabaya. Hata Magufuli mwenyewe alipata nafasi ya uraisi baada ya taharuki na kutoelewana kwa "inner circle" ya CCM. Walipakana madongo, wakachafuana, na hatimaye kutmuana. HGiyop ndiyo ilikuwa ngekewa ya Magufuli. Magufuli alipata uraisi bila kuwa na deni la kulipa, si kwa wala rushwa, si kwa wauza unga, na wala si kwa matajiri. Ndiyo maana alipoingia madarakani, alikuwa mtu huru mwenye maamuzi huru na hakutegemea kurudisha/kulipa chochote maana uongozi aliupata kwa kura na si kwa kusaidiwa na mtu. Paingekuwa na ugomvi kwenye inner circle ya CCM Magufuli hata uwaziri mkuu asingepata.Una upeo mdogo, jaribu kuelewa indirect language ambayo nimeitumia, kama nchi haifuati mfumo wa sheria na katiba, basi kuna sheria za kimataifa, mikatama, pamoja na makubaliano ambayo yataibana nchi husika
Kamwambie na Jiwe hatuhami ila hatutanyamaza