Huyu mtoa post ni mtu anayejichukia ,amejawa na wivu na hapendi maisha yake, watu kama hawa hupenda kuona watu wengine wapate shida ndio furaha yao,sasa wewe kwa mfano hao wahamiaji haramu wakirudishwa utafaidika na nini?Trump anadili na wahamiaji haramu sio walioamia kihalali. Hata Tanzania inawahukumu vizuri wasomali,waethiopia na yeyote anayeingia bongoland bila utaratibu.
Sasa wazee š¤£Trump sijui alidokeza sijui atawapa zawadi gani vile??
Kuna baadhi ya hao (African USA) walidiriki kuyatukana mataifa yetu ya africa sasaš¤š¤£Trump atawapa zawadi yenu muda si mrefu(mshakatiwa ticket ya kurudi mlikokutusi)
Nawasilisha.
Kuna watu wanapenda ukilaza kuliko ulaza unavyowapendaSasa wazee š¤£Trump sijui alidokeza sijui atawapa zawadi gani vile??
Kuna baadhi ya hao (African USA) walidiriki kuyatukana mataifa yetu ya africa sasaš¤š¤£Trump atawapa zawadi yenu muda si mrefu(mshakatiwa ticket ya kurudi mlikokutusi)
Nawasilisha.
Kwani ujumbe huu unamwendea nani?Sasa wazee š¤£Trump sijui alidokeza sijui atawapa zawadi gani vile??
Kuna baadhi ya hao (African USA) walidiriki kuyatukana mataifa yetu ya africa sasaš¤š¤£Trump atawapa zawadi yenu muda si mrefu(mshakatiwa ticket ya kurudi mlikokutusi)
Nawasilisha.
Huwa napenda kuunga kujifunza kwa waliofanikiwaHope utachukua muda kujielemisha kidogo kuliko kujidhalilisha namna hii na ukubwa wako!
Sina hate/chuki Ila swala ni wao kutukana Mataifa yao ambapo vitovu vyao vimezikwaHuyu mtoa post ni mtu anayejichukia ,amejawa na wivu na hapendi maisha yake, watu kama hawa hupenda kuona watu wengine wapate shida ndio furaha yao,sasa wewe kwa mfano hao wahamiaji haramu wakirudishwa utafaidika na nini?
Trump anadili na wahamiaji haramu sio walioamia kihalali. Hata Tanzania inawahukumu vizuri wasomali,waethiopia na yeyote anayeingia bongoland bila utaratibu.
Ninazungumzia walioonyesha Kuyapondea Mataifa yaoSisi sio wahamiaji haramu
Kiongozi mueleweshe huyu kijana kwa kuwa kakiri anajifunza sio mbaya kumfahamisha ili arekebishe ufahamu wake na kama ni chuki ajue itamuua na Trump hana huo mpango anaofikiria yeye!
Chuki unayo wewe haterNakazia:
"Kama ni chuki ajue itamuua na Trump hana huo mpango anaoutaka yeye!"
š¤£Hope utachukua muda kujielemisha kidogo kuliko kujidhalilisha namna hii na ukubwa wako!
Chuki unayo wewe hater
Huwa napenda kuunga kujifunza kwa waliofanikiwa
Sina hate/chuki Ila swala ni wao kutukana Mataifa yao ambapo vitovu vyao vimezikwa
Mimi sio maskini mzeeSasa we mbumbumbu unafurahia watafutaji kurudishwa bara la Giza Ili muuendeleze umasikini maana mtu mweusi ni masikini mpaka bara lake