Ndugu zetu mliohamia USA(Marekani) Trump anawasalimia

Ndugu zetu mliohamia USA(Marekani) Trump anawasalimia

Sasa wazee 🤣Trump sijui alidokeza sijui atawapa zawadi gani vile??

Kuna baadhi ya hao (African USA) walidiriki kuyatukana mataifa yetu ya africa sasa🤔🤣Trump atawapa zawadi yenu muda si mrefu(mshakatiwa ticket ya kurudi mlikokutusi)

Nawasilisha.
Kwa hiyo wewe ulikuwa unaumia sana sisi kuishi Marekani ?
 
Mimi sio maskini mzee

Ungenambia wanaoenda China ndo wanarudi na fursa ungekua umeleta hoja yenye mashiko wewe mtu gani alienda USA wakarudi na impact na kwa weusi wenzake(hao Aslimia kubwa wakienda ni selfish they can't show you were the channel of success is

Lakini watu wanaenda China, Dubai wanarudi na impact vijana wanapata kazi za temporary na za kudumu


Ni opinion zako tu mkuu "ukisoma lugha ya Sanaa wala huwezi kupanick"
Kwani ni lazima kila mtu anaye enda ughaibuni arudi na impact?

Kwani ulidhani kila anaye enda ughaibuni ni lazima aje akupe fursa wewe?
 
Sasa wazee 🤣Trump sijui alidokeza sijui atawapa zawadi gani vile??

Kuna baadhi ya hao (African USA) walidiriki kuyatukana mataifa yetu ya africa sasa🤔🤣Trump atawapa zawadi yenu muda si mrefu(mshakatiwa ticket ya kurudi mlikokutusi)

Nawasilisha.

Mkuu unajua maana ya wahamiaji haramu?
 
Sasa wazee 🤣Trump sijui alidokeza sijui atawapa zawadi gani vile??

Kuna baadhi ya hao (African USA) walidiriki kuyatukana mataifa yetu ya africa sasa🤔🤣Trump atawapa zawadi yenu muda si mrefu(mshakatiwa ticket ya kurudi mlikokutusi)

Nawasilisha.
Hapo hujaambiwa ukasome kitabu, kusikiliza tu na kuelewa umeshindwa.
 
Mimi sio maskini mzee

Ungenambia wanaoenda China ndo wanarudi na fursa ungekua umeleta hoja yenye mashiko wewe mtu gani alienda USA wakarudi na impact na kwa weusi wenzake(hao Aslimia kubwa wakienda ni selfish they can't show you were the channel of success is

Lakini watu wanaenda China, Dubai wanarudi na impact vijana wanapata kazi za temporary na za kudumu.
Wewe ni masikini kabisa. Hakuna tajiri mjinga kwa kiasi chako.
 
Sasa wazee 🤣Trump sijui alidokeza sijui atawapa zawadi gani vile??

Kuna baadhi ya hao (African USA) walidiriki kuyatukana mataifa yetu ya africa sasa🤔🤣Trump atawapa zawadi yenu muda si mrefu(mshakatiwa ticket ya kurudi mlikokutusi)

Nawasilisha.
Bado tunguli tu utakuwa umekamilika
 
Sasa wazee 🤣Trump sijui alidokeza sijui atawapa zawadi gani vile??

Kuna baadhi ya hao (African USA) walidiriki kuyatukana mataifa yetu ya africa sasa🤔🤣Trump atawapa zawadi yenu muda si mrefu(mshakatiwa ticket ya kurudi mlikokutusi)

Nawasilisha.

Haitabadilisha wewe kuendelea kula vumbi....
 
Back
Top Bottom