Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Kapigwa na maisha ya umasikini mpaka kachanganyikiwa Kila mtu anamuona adui yake yaani kama ndio kamsababishia umasikiniUjinga bado ni janga la taifa. Haya malalamiko apeleke kwao sio kwa watu waliopambana kivyao afu wewe utegemee wakupe tu.
USA taifa la binadamu yeyote duniani ndio maana Kuna Kila asili ipo paleTrump alipokuwa Rais awamu ya kwanza aliwafanya nini?
Kwa hiyo wewe ulikuwa unaumia sana sisi kuishi Marekani ?Sasa wazee š¤£Trump sijui alidokeza sijui atawapa zawadi gani vile??
Kuna baadhi ya hao (African USA) walidiriki kuyatukana mataifa yetu ya africa sasaš¤š¤£Trump atawapa zawadi yenu muda si mrefu(mshakatiwa ticket ya kurudi mlikokutusi)
Nawasilisha.
Kwani ni lazima kila mtu anaye enda ughaibuni arudi na impact?Mimi sio maskini mzee
Ungenambia wanaoenda China ndo wanarudi na fursa ungekua umeleta hoja yenye mashiko wewe mtu gani alienda USA wakarudi na impact na kwa weusi wenzake(hao Aslimia kubwa wakienda ni selfish they can't show you were the channel of success is
Lakini watu wanaenda China, Dubai wanarudi na impact vijana wanapata kazi za temporary na za kudumu
Ni opinion zako tu mkuu "ukisoma lugha ya Sanaa wala huwezi kupanick"
Kwanini sasa mlikuwa mnamshabikia Kamala Harris wakala wa USHOGA? LGBTSisi sio wahamiaji haramu
Swala ni mnyama. Unahatarisha uhai wa wanyama.Huwa napenda kuunga kujifunza kwa waliofanikiwa
Sina hate/chuki Ila swala ni wao kutukana Mataifa yao ambapo vitovu vyao vimezikwa
Sasa wazee š¤£Trump sijui alidokeza sijui atawapa zawadi gani vile??
Kuna baadhi ya hao (African USA) walidiriki kuyatukana mataifa yetu ya africa sasaš¤š¤£Trump atawapa zawadi yenu muda si mrefu(mshakatiwa ticket ya kurudi mlikokutusi)
Nawasilisha.
Sio kweliKwanini sasa mlikuwa mnamshabikia Kamala Harris wakala wa USHOGA? LGBT
Hapo hujaambiwa ukasome kitabu, kusikiliza tu na kuelewa umeshindwa.Sasa wazee š¤£Trump sijui alidokeza sijui atawapa zawadi gani vile??
Kuna baadhi ya hao (African USA) walidiriki kuyatukana mataifa yetu ya africa sasaš¤š¤£Trump atawapa zawadi yenu muda si mrefu(mshakatiwa ticket ya kurudi mlikokutusi)
Nawasilisha.
Wewe ni masikini kabisa. Hakuna tajiri mjinga kwa kiasi chako.Mimi sio maskini mzee
Ungenambia wanaoenda China ndo wanarudi na fursa ungekua umeleta hoja yenye mashiko wewe mtu gani alienda USA wakarudi na impact na kwa weusi wenzake(hao Aslimia kubwa wakienda ni selfish they can't show you were the channel of success is
Lakini watu wanaenda China, Dubai wanarudi na impact vijana wanapata kazi za temporary na za kudumu.
Bado tunguli tu utakuwa umekamilikaSasa wazee š¤£Trump sijui alidokeza sijui atawapa zawadi gani vile??
Kuna baadhi ya hao (African USA) walidiriki kuyatukana mataifa yetu ya africa sasaš¤š¤£Trump atawapa zawadi yenu muda si mrefu(mshakatiwa ticket ya kurudi mlikokutusi)
Nawasilisha.
NimechekašWao ni baba wa taifa au baba yako wakuletee wewe fursa? Uliwapa nauli ya kwenda huko?
Nipe kazi basiKapigwa na maisha ya umasikini mpaka kachanganyikiwa Kila mtu anamuona adui yake yaani kama ndio kamsababishia umasikini
Mimi ndio raisi wakoNipe kazi basi
Rais wa mAnzetheMimi ndio raisi wako
Ndio niniRais wa mAnzethe
Sasa wazee š¤£Trump sijui alidokeza sijui atawapa zawadi gani vile??
Kuna baadhi ya hao (African USA) walidiriki kuyatukana mataifa yetu ya africa sasaš¤š¤£Trump atawapa zawadi yenu muda si mrefu(mshakatiwa ticket ya kurudi mlikokutusi)
Nawasilisha.