Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
Mkuu taarifa za politicians you must take with a pich of salt,ni matamshi ya grand stand mbele ya wapumbavu waoJana usiku, maeneo ya Kibaha mkoani Pwani, umeme ulikatika. Hata sasa, umeme umekatika tangu asubuhi.
Ni hivi karibuni tu ndugu zetu TANESCO mmepongezwa kwa kuzalisha umeme mwingi kuliko matumizi yetu watanzania.
Sasa haya ya kukatikakatika kwa umeme yanatokana na nini? Kama ni mgawo tena, tupeni taarifa na ratiba yake tujipange.
Taarifa ilisema tatizo au sababu ni nini ya kukata umeme?Jana niliona taarifa kuwa leo kuna maeneo huko dasilama kutakuwa hamna umeme.
Labda transfer lines zitakuwa zimezidiwa load baada ya Tanesco kuzalisha umeme wa ziada. Tuwe wavulimivu kidogo😅😅😅Jana usiku, maeneo ya Kibaha mkoani Pwani, umeme ulikatika. Hata sasa, umeme umekatika tangu asubuhi.
Ni hivi karibuni tu ndugu zetu TANESCO mmepongezwa kwa kuzalisha umeme mwingi kuliko matumizi yetu watanzania.
Sasa haya ya kukatikakatika kwa umeme yanatokana na nini? Kama ni mgawo tena, tupeni taarifa na ratiba yake tujipange.
👌👍👏👊🤝🙏Mkuu taarifa za politicians you must take with a pich of salt,ni matamshi ya grand stand mbele ya wapumbavu wao
Ila ipo hope kama tuwa wajinga,kama ni wapumbavu basi hili ni tatizo kubwa kama cancer level 4,.....tunakufaNiliwahi kuandika; Tanzania hata mitanbo yote ya bwawa la Nyerere, mabwawa yote ya zamani, IPTL, Kinyerezi moja mpaka 4 ifanye kazi, tatizo la kukatika umeme hovyo-hovyo halitakwisha, sababu kubwa ni kuwa tu wajinga.
Ikiwa tumeshindwa kuendesha kwa ufanisi kishirika kidogo cha mabasi ya mjini tu, tutaweza kuendesha shirika kubwa kama TANESCO?
Hatuwezi, kwa ujinga wetu tu.
Hao wanataka kumuumbua waziri mkuu aliyesema wanazalisha umeme mpaka hauna kazi!Jana usiku, maeneo ya Kibaha mkoani Pwani, umeme ulikatika. Hata sasa, umeme umekatika tangu asubuhi.
Ni hivi karibuni tu ndugu zetu TANESCO mmepongezwa kwa kuzalisha umeme mwingi kuliko matumizi yetu watanzania.
Sasa haya ya kukatikakatika kwa umeme yanatokana na nini? Kama ni mgawo tena, tupeni taarifa na ratiba yake tujipange.
Jana usiku, maeneo ya Kibaha mkoani Pwani, umeme ulikatika. Hata sasa, umeme umekatika tangu asubuhi.
Ni hivi karibuni tu ndugu zetu TANESCO mmepongezwa kwa kuzalisha umeme mwingi kuliko matumizi yetu watanzania.
Sasa haya ya kukatikakatika kwa umeme yanatokana na nini? Kama ni mgawo tena, tupeni taarifa na ratiba yake tujipange.
Tufe mara ngapi?Ila ipo hope kama tuwa wajinga,kama ni wapumbavu basi hili ni tatizo kubwa kama cancer level 4,.....tunakufa
Mmmmmh...... Ni chuki tu mnayo kwa serikali. Hamna lolote. Mbona inafanya vizuri tuNiliwahi kuandika; Tanzania hata mitanbo yote ya bwawa la Nyerere, mabwawa yote ya zamani, IPTL, Kinyerezi moja mpaka 4 ifanye kazi, tatizo la kukatika umeme hovyo-hovyo halitakwisha, sababu kubwa ni kuwa tu wajinga.
Ikiwa tumeshindwa kuendesha kwa ufanisi kishirika kidogo cha mabasi ya mjini tu, tutaweza kuendesha shirika kubwa kama TANESCO?
Hatuwezi, kwa ujinga wetu tu.
TANESCO watadai MABORESHO HAYAISHI!Jana usiku, maeneo ya Kibaha mkoani Pwani, umeme ulikatika. Hata sasa, umeme umekatika tangu asubuhi.
Ni hivi karibuni tu ndugu zetu TANESCO mmepongezwa kwa kuzalisha umeme mwingi kuliko matumizi yetu watanzania.
Sasa haya ya kukatikakatika kwa umeme yanatokana na nini? Kama ni mgawo tena, tupeni taarifa na ratiba yake tujipange. Juu
Heshima yako bi mkubwa.!Niliwahi kuandika; Tanzania hata mitanbo yote ya bwawa la Nyerere, mabwawa yote ya zamani, IPTL, Kinyerezi moja mpaka 4 ifanye kazi, tatizo la kukatika umeme hovyo-hovyo halitakwisha, sababu kubwa ni kuwa tu wajinga.
Ikiwa tumeshindwa kuendesha kwa ufanisi kishirika kidogo cha mabasi ya mjini tu, tutaweza kuendesha shirika kubwa kama TANESCO?
Hatuwezi, kwa ujinga wetu tu.
Sema nini, we binti ni mrembo sanaNiliwahi kuandika; Tanzania hata mitanbo yote ya bwawa la Nyerere, mabwawa yote ya zamani, IPTL, Kinyerezi moja mpaka 4 ifanye kazi, tatizo la kukatika umeme hovyo-hovyo halitakwisha, sababu kubwa ni kuwa tu wajinga.
Ikiwa tumeshindwa kuendesha kwa ufanisi kishirika kidogo cha mabasi ya mjini tu, tutaweza kuendesha shirika kubwa kama TANESCO?
Hatuwezi, kwa ujinga wetu tu.