Ndugu zetu TANESCO, tatizo nini tena?

Ndugu zetu TANESCO, tatizo nini tena?

Hilo la urembo lisikustuwe.

Hakuna nwanamke asiye mrembo duniani, hata mama'ko ni mrembo.
 
Nimewapigia jana wakasema issue ya mvua sijui miundombinu imezingua, leo nakuta wamepost taarifa wala haiusiani na miundombinu. Customer Support alikua hajui anachosema.
 
Hapa navyo ongea ni toka jana jioni hadi saiv ni bila bila
 
Jana usiku, maeneo ya Kibaha mkoani Pwani, umeme ulikatika. Hata sasa, umeme umekatika tangu asubuhi.

Ni hivi karibuni tu ndugu zetu TANESCO mmepongezwa kwa kuzalisha umeme mwingi kuliko matumizi yetu watanzania.

Sasa haya ya kukatikakatika kwa umeme yanatokana na nini? Kama ni mgawo tena, tupeni taarifa na ratiba yake tujipange.
Mkuu umeanza lini kuiamini CCM?
 
Hilo la urembo lisikustuwe.

Hakuna nwanamke asiye mrembo duniani, hata mama'ko ni mrembo.
Ila we Faiza nakwambia hakyanani siku nkikupata utaimba hallelujah.. sintojali uzee wako nakwambia
 
Niliwahi kuandika; Tanzania hata mitanbo yote ya bwawa la Nyerere, mabwawa yote ya zamani, IPTL, Kinyerezi moja mpaka 4 ifanye kazi, tatizo la kukatika umeme hovyo-hovyo halitakwisha, sababu kubwa ni kuwa tu wajinga.

Ikiwa tumeshindwa kuendesha kwa ufanisi kishirika kidogo cha mabasi ya mjini tu, tutaweza kuendesha shirika kubwa kama TANESCO?

Hatuwezi, kwa ujinga wetu tu.
Umetumwa na Waziri gani kumchafua Mama?
 
Niliwahi kuandika; Tanzania hata mitanbo yote ya bwawa la Nyerere, mabwawa yote ya zamani, IPTL, Kinyerezi moja mpaka 4 ifanye kazi, tatizo la kukatika umeme hovyo-hovyo halitakwisha, sababu kubwa ni kuwa tu wajinga.

Ikiwa tumeshindwa kuendesha kwa ufanisi kishirika kidogo cha mabasi ya mjini tu, tutaweza kuendesha shirika kubwa kama TANESCO?

Hatuwezi, kwa ujinga wetu tu.
To be honest… tanesco inatuangusha
 
Natafakari kauli ya professor Lumumba wa Kenya "In Africa we elect fools to the office " ni matunda ya kazi yetu.
 
Back
Top Bottom