Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Naombeni mnijuze maana hapa kuna mkanganyiko! Uzi tayari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ansar Al-sunna JumatatuNaombeni mnijuze maana hapa kuna mkanganyiko! Uzi tayari
Ingategemeana unafuata mwezi upi wa Saudia au Bakwata.Naombeni mnijuze maana hapa kuna mkanganyiko! Uzi tayari
Long weekend...Fanyeni iwe j3 maana tukitoka job/chuo/shule ijumaa ni hadi j5[emoji1279][emoji1279]
Pasaka ulituchunia ulifikiri na sisi Idd haitafika? Tulikuambia tualike tutakuja na hotpot jioni tutakula pilau yetu ukasema hautualiki eti tumefunga. Sasa zamu yetu utaisikia tu harufu ya pilauNimeandaa kanzu hapa nasubir mualiko tu
Ansar Al-sunna Jumatatu
Bakwata - Jumanne
Jiandae na Mpunga wa siku mbili.
Fanyeni iwe j3 maana tukitoka job/chuo/shule ijumaa ni hadi j5[emoji1279][emoji1279]
Kabisa! tuliko Dodoma turudi Dar kubanjukaLong weekend...
[emoji1319][emoji1319][emoji1319]ingekuwa enzi za Mzee Ally Hassan Mwinyi tungelipia sikukuu zote zinazoangukia weekend tulizi forward j3
Mzee hakuwa anataka shida …wasabato walilalamika kidogo kufanya kazi siku ya sabato akafuta kabisa isiwe half day ikawa siku nzima mapumziko kwa watumishi wa Umma
Zanzibar mpunga siku 5Ansar Al-sunna Jumatatu
Bakwata - Jumanne
Jiandae na Mpunga wa siku mbili.
So BAKWATA sio Baraza la Waislam?kwanini mkitaja Waislam lazima mtaje taje Bakwata ?
hakuna mahusiano ya kidini wala ya kisheria kati ya Waislam na Bakwata
Uislam hautuelekezi hivyo, tupe uelekeo tafadhali.Pasaka ulituchunia ulifikiri na sisi Idd haitafika? Tulikuambia tualike tutakuja na hotpot jioni tutakula pilau yetu ukasema hautualiki eti tumefunga. Sasa zamu yetu utaisikia tu harufu ya pilau