Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Kwa hiyo kukitokea mabadiliko ya tabia Nchi,mwezi usiandame itakuwaje??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah!Mzee hakuwa anataka shida …wasabato walilalamika kidogo kufanya kazi siku ya sabato akafuta kabisa isiwe half day ikawa siku nzima mapumziko kwa watumishi wa Umma
Sikukuu ya Eid El Fitr ni Jumanne, ila kama Kawaida kuna Wapuuzi na Wavivu wanahangaika na Kujitahidi kuilazimisha iwe ni Jumatatu ili kuanzia Jumamosi ya Wikiendi hii mpaka Jumanne ijayo ziwe ni Siku za Kupumzika na kula Bata tupu.Naombeni mnijuze maana hapa kuna mkanganyiko! Uzi tayari
So BAKWATA sio Baraza la Waislam?
Kwa hiyo kukitokea mabadiliko ya tabia Nchi,mwezi usiandame itakuwaje??
Sikukuu ya Eid El Fitr ni Jumanne, ila kama Kawaida kuna Wapuuzi na Wavivu wanahangaika na Kujitahidi kuilazimisha iwe ni Jumatatu ili kuanzia Jumamosi ya Wikiendi hii mpaka Jumanne ijayo ziwe ni Siku za Kupumzika na kula Bata tupu.
Wafute na ijumaa tupumzike siku 3ingekuwa enzi za Mzee Ally Hassan Mwinyi tungelipia sikukuu zote zinazoangukia weekend tulizi forward j3
Mzee hakuwa anataka shida …wasabato walilalamika kidogo kufanya kazi siku ya sabato akafuta kabisa isiwe half day ikawa siku nzima mapumziko kwa watumishi wa Umma