Tatzo la binadamu sie ni wabinafsi mno,tunataka chako kiwe chako tu kisibanduliwe na wengine.Sijui ni kikao kipi kilipitisha kuwa viungo vya uzazi vya binadamu mwingine viwe sehemu ya maumivu yetu ya moyo.
Na Wake zao 'Wanagongeka' mno na Raia wa kawaida hasa hasa tarehe hizi za 9 hadi 20 na kidogo tarehe 27 hadi 29.Mara nyingi ugomvi wao mkubwa hao ni sababu za madem/wake
Ova
Kama pua, unapengea kamasi peke yako.Tatzo la binadamu sie ni wabinafsi mno,tunataka chako kiwe chako tu kisibanduliwe na wengine.
Siku nyingiAskari JWTZ Mbaroni kwa Kuua Mke kwa Kumchoma na Kisu kwa kile kinachodaiwa ( na ambacho GENTAMYCINE nina uhakika nacho ) kuwa ni Wivu tu wa Kimapenzi.
Chanzo: Habari Leo Ukurasa wa 3
Sasa nyie Marafiki zangu ( Wajeda ) mnakuwa na Wivu hivi kwakuwa 'mnamegewa' sana Wake zenu mbona na nyie ndiyo Mabingwa wa 'Kutubandulia' hovyo Dada na Mademu ( Wake ) zetu Sisi Raia humu Mitaani?
Halafu si niliambiwa kuwa kwa nyie ambao ama huwa mnaenda katika Missions ( huko Sudan Kusini na DRC ) au Kozi zenu kabla ya Kurejea Makwenu huwa mnapewa Counseling na Wakubwa zenu kuwa muwe Wavumilivu kwa chochote kile mtakachokikuta kwa Wake zenu pale mkirejea Kuungana nao?
Leo GENTAMYCINE nawapeni Makavu ili mbadilike na najua hapa JamiiForums mpo wengi tu. Hivi nyie ( Wajeda ) kwa Akili ya kawaida kabisa mlitegemea Wake zenu mkiwaacha kwa Miezi 4 au 6 au 9 na mpaka 12 wakae bila 'Kubanduliwa' na hata Kubebeshwa Mimba?
Kwahiyo 'Nyege' huwa mnazo nyie tu ile Wao ( Wake na Mademu ) zenu mliambiwa kuwa ni Malaika ambao wanaweza kuwa Waaminifu kwa 'Kutokubanduliwa' na 'Masela' Wengine wowote pale nyie mkiwa hampo nao kwa muda mrefu?
Na nahisi huyu Askari ( Mwanajeshi ) aliyefanya hili Tukio atakuwa ni Mhaya au Mnyiramba au Muha au Mnyaturu au Mkara au Mrangi kwani ndiyo wanaoongoza kwa kuwa na Wivu wa 'Kishamba' wa Kimapenzi tofauti na Wakurya na Wazanaki ambao ni Wastaarabu ( Waaminifu ) mno na hawauwi Wake zao na wanawapenda kweli kweli hata Malaika wa Mbinguni wanalijua hili ( hilo )
Huoni yeye ndo mmbea, inahusu nini kunitaja mimiUmejibu kimbea
Halafu nimekumiss sanaHuoni yeye ndo mmbea, inahusu nini kunitaja mimi
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂kelele ya nne ya nne kwa KUMEGWA AKE weweweweweeee😂😂😂Nilishaachika sina mume, halafu sijawahi kuwa na mume Askari.
Nijitathmini kwa lipi? Ulishawahi kunimega?
Uzi huu wahusika lazima waje juu [emoji23][emoji23][emoji23]Na Wake zao 'Wanagongeka' mno na Raia wa kawaida hasa hasa tarehe hizi za 9 hadi 20 na kidogo tarehe 27 hadi 29.
Hata komando ana bandama, , ni rahisi kuvumilia maumivu ya risasi kwa sababu "soldier born to kill, born to die" ila mapenzi kidogo kuna changamoto japo wapo wenye uvumilivu katika angle zote.Mimi nilijua kwakuwa hawa Ndugu zetu ( Wajeda ) wamefundishwa sana Uvumilivu hivyo hata wakigundua 'Wanabanduliwa' Wake zao au Wapenzi wao basi wala 'hawatahamaki' na badala yake watakuwa tu Wapole na watawasamehe kisha Maisha yaendelee.
Watulie tu na wawe Wavumilivu na Uzi.Uzi huu wahusika lazima waje juu [emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Brand ID yangu Wewe inakukera kivipi?Umeamua kutumia tena hili jina..? Popoma hawezi kuacha asili yake
Hili la Wao Kufa kwa UKIMWI nakukatalia na unawaonea na hata la kuhusu kuchezea Hisia za Wanawake wao pia nakupinga.Halafu kwa nini wajeda walio wengi japo sio wote mara nyingi hufa kwa ukimwi? Na kwa nini wajeda hua wanachezea hisia za wanawake zao
Tatizo ni kubwa , mwanajesh anakesha lindo, mara kaenda kulinda amani somalia, sudan miezi mitatu unategemea mke wake hizo genye apeleke wapi? lazma achapwe na hapo ndipo ugomvu unapoanzaAskari JWTZ Mbaroni kwa Kuua Mke kwa Kumchoma na Kisu kwa kile kinachodaiwa ( na ambacho GENTAMYCINE nina uhakika nacho ) kuwa ni Wivu tu wa Kimapenzi.
Chanzo: Habari Leo Ukurasa wa 3
Sasa nyie Marafiki zangu ( Wajeda ) mnakuwa na Wivu hivi kwakuwa 'mnamegewa' sana Wake zenu mbona na nyie ndiyo Mabingwa wa 'Kutubandulia' hovyo Dada na Mademu ( Wake ) zetu Sisi Raia humu Mitaani?
Halafu si niliambiwa kuwa kwa nyie ambao ama huwa mnaenda katika Missions ( huko Sudan Kusini na DRC ) au Kozi zenu kabla ya Kurejea Makwenu huwa mnapewa Counseling na Wakubwa zenu kuwa muwe Wavumilivu kwa chochote kile mtakachokikuta kwa Wake zenu pale mkirejea Kuungana nao?
Leo GENTAMYCINE nawapeni Makavu ili mbadilike na najua hapa JamiiForums mpo wengi tu. Hivi nyie ( Wajeda ) kwa Akili ya kawaida kabisa mlitegemea Wake zenu mkiwaacha kwa Miezi 4 au 6 au 9 na mpaka 12 wakae bila 'Kubanduliwa' na hata Kubebeshwa Mimba?
Kwahiyo 'Nyege' huwa mnazo nyie tu ile Wao ( Wake na Mademu ) zenu mliambiwa kuwa ni Malaika ambao wanaweza kuwa Waaminifu kwa 'Kutokubanduliwa' na 'Masela' Wengine wowote pale nyie mkiwa hampo nao kwa muda mrefu?
Na nahisi huyu Askari ( Mwanajeshi ) aliyefanya hili Tukio atakuwa ni Mhaya au Mnyiramba au Muha au Mnyaturu au Mkara au Mrangi kwani ndiyo wanaoongoza kwa kuwa na Wivu wa 'Kishamba' wa Kimapenzi tofauti na Wakurya na Wazanaki ambao ni Wastaarabu ( Waaminifu ) mno na hawauwi Wake zao na wanawapenda kweli kweli hata Malaika wa Mbinguni wanalijua hili ( hilo )
Ndiyo ufikie hatua ya Kuua Kikatili hivi?kumegewa kunauma jamani.........sikia tuu.....
hasira hasara........inauma.......ukifikiria nyoga inavyotokota then kuna bwege amechakura 😡 😡, the is a time, nilikabidhi silaha kwa muda.....then nikajiunga CHAPUTA...Ndiyo ufikie hatua ya Kuua Kikatili?