'Ndugu Zetu' Yanga SC Hili Ni Ombi Langu Kwenu.


Mkuu hiyo timu inayoitwa Samba FC ndo ipi? Ina majanga zaidi aliyo nayo Ndala?
 
Ila tuna hela kuliko nyinyi
 
yanayoikuta zambia kutoka kwa china, yana wasuburi, bado kidogo tuu dogo mo anajimilikisha hilo litimu llenu la ovyo ovyo lisilokuwa na mipango!
Ushakuwa sheikh yahaya mzee?
 
Wacha kupotosha hapa, bingwa wa FA ni Mtibwa Sugar, Simba haya mashindano aliaga first round, na alitobolewa na timu ya daraja LA pili inaitwa Green Warriors. Kamdanganye mkeo huko home kwako. Wakati jifunze kuandika vitu vya ukweli, otherwise unajiahibisha mwenyewe mkuu.
 
Hahaha.. Kumbe mna kumbukumbu na makombe yanayochukuliwa na wanaume? Nanyi mlichukua kombe gani?
 
Mikia tukutane march,kipindi iko tutakua na kahata,tuyisenge na jesse were kwa hisani ya yusuf mehboob manji
 
Mikia tukutane march,kipindi iko tutakua na kahata,tuyisenge na jesse were kwa hisani ya yusuf mehboob manji

Vipi mtaongeza na mganga mwingine, au mtabaki na yule yule wa Moro?
 
Matusi yaliyopakwa rangi haya. Kisa ni draw tu.
 
Hapo jangwan ukitangaza mechi kesho na Simba kina Yondan wataleta bedrest toka muhimbili hospital mpaka sass vigimbi havijaachia kwa jinsi walivyokimbizwa
 
Mkuu chonde chonde ile mipasi zaidi ya 2341 tuliyopigia juzi isivunje undugu wetu.
Kila baada ya miaka kadhaa mifumo ya uchezaji mpira inabadilika..ndio maana Brazil hawana makali ya zamani...Barcelona wanataabika...2018 kucheza samba ni aibu...Mpira wa kisasa ni kama waliocheza France world cup..mtaendelea kupiga pasi 5000 huchukui points tatu....
 
Yaaani mbumbumbu bado mnaweweseka na Yanga tu mpaka leo hii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…