'Ndugu Zetu' Yanga SC Hili Ni Ombi Langu Kwenu.

Klabu ni za wanachama, hivyo unataka atokee mjomba kuendesha timu? Kumbuka kabla ya akina gulamali na azim timu zilikuwa zinaendeshwaje? Kama siyo ada za wanachama.
Mkuu.. Kwa idadi ya wanachama klabu hizi ilizonazo.. Na kwa tabia ya wanachama kulipa ada pindi uchaguzi unavyokaribia.. Na ikumbukwe wengi wanaopiga kura ni wale wanaokaa dar.. Sasa kuna kitu hapo mnategemea kupata?
 
Simba ni bingwa mtetezi wa KOMBE LA FA lipi hilo ...mtibwa awe mtetezi wa KOMBE lipi!!?? Hakika simba ni mambumbumbu
 
Mimi niliwaza sana jana, nikasema hivi Mo hawezi kuwasaidia ndugu zetu Yanga hata Milioni mia tisa angalau wapate hata kununua Luku pale jangwani, kulipia Dawasco na other expenses? Lakini pia awalipe malimbikizo wachezaji ambao mpaka sasa hawajalipwa mishahara yao? Hebu mkuu Sembo unifikishie ombi langu hili kwa Dewji
 
Level ya kucheza na Yanga iko hapo chini
 

Attachments

  • IMG_20181007_165242.jpg
    50.8 KB · Views: 17
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…