'Ndugu Zetu' Yanga SC Hili Ni Ombi Langu Kwenu.

'Ndugu Zetu' Yanga SC Hili Ni Ombi Langu Kwenu.

Huna mpya,wewe ni Mikia kama mikia mingine.. Mmeshindwa kushinda ile big match mje kushinde hicho chandimu...!!!
 
Baada ya mechi ya 30/09/2018 ambapo Simba SC alitawala kila kona, isipokua mambo ya ulozi, mapato yaliyopatikana yalikua zaidi ya milioni 400. Katika fungu hilo, Bingwa mtetezi wa TPL na FA, Simba SC alipata zaidi ya milioni 190 huku Ndala wakipata milioni 0.

Sasa;
1. Kwakua 'ndugu zetu' Ndala mna hali ngumu sana ya kiuchumi.. Na kuhusu hili Tanzania inajua.. Africa inajua.. na Dunia inajua.
2. Kwakua sisi Simba SC tumejaariwa roho ya huruma na fedha tunayo (Si tunayo tu bali ni yakutosha).
3. Kwakua hatutaki 'ndugu zetu' mfutike katika ramani ya soka.

Ombi langu kwenu 'ndugu zetu' Ndala mnaonaje mkaomba mechi ya kirafiki nasi katika kipindi hiki cha mapumziko ya mechi za kimataifa.
Katika mechi hiyo, sisi mabingwa watetezi wa TPL na FA tutajaza uwanja wote, alafu mapato yote tutawaachia mhangaike nayo.

Huu utakua mchango mkubwa sana toka kwetu, kuja kwenu 'ndugu zetu' katika kipindi hiki kigumu mnachopitia.
'Ndugu zetu' Ndala, udugu si kufanana bali ni kufaana. Na sisi Simba SC tumeamua kuwasaidia.

Nawasilisha.
Acha upuuzi we mtu.
 
Walitukimbia mtani jembe,wakatumbia Kagame,TPL wakachezeshwa mziki. Sijui kama round ya 2 watatia timu
 
Mleta mada amethibitishia uma ule umbumbu, tatizo la kukosa pesa ni la timu zote. Simba na yanga zina matatizo yanayo fanana hazina ubunifu wa kujipatia mapato zaidi ya kutegemea baadhi ya watu fulani badala ya kujijengea uwezo wa kiuchumi kama taasisi
 
Baada ya mechi ya 30/09/2018 ambapo Simba SC alitawala kila kona, isipokua mambo ya ulozi, mapato yaliyopatikana yalikua zaidi ya milioni 400. Katika fungu hilo, Bingwa mtetezi wa TPL na FA, Simba SC alipata zaidi ya milioni 190 huku Ndala wakipata milioni 0.

Sasa;
1. Kwakua 'ndugu zetu' Ndala mna hali ngumu sana ya kiuchumi.. Na kuhusu hili Tanzania inajua.. Africa inajua.. na Dunia inajua.
2. Kwakua sisi Simba SC tumejaariwa roho ya huruma na fedha tunayo (Si tunayo tu bali ni yakutosha).
3. Kwakua hatutaki 'ndugu zetu' mfutike katika ramani ya soka.

Ombi langu kwenu 'ndugu zetu' Ndala mnaonaje mkaomba mechi ya kirafiki nasi katika kipindi hiki cha mapumziko ya mechi za kimataifa.
Katika mechi hiyo, sisi mabingwa watetezi wa TPL na FA tutajaza uwanja wote, alafu mapato yote tutawaachia mhangaike nayo.

Huu utakua mchango mkubwa sana toka kwetu, kuja kwenu 'ndugu zetu' katika kipindi hiki kigumu mnachopitia.
'Ndugu zetu' Ndala, udugu si kufanana bali ni kufaana. Na sisi Simba SC tumeamua kuwasaidia.

Nawasilisha.

1.kwa kanuni mpya za tbl timu mwenyeji anapata mapato yote ya mechi ukitoa gharama za mchezo na uwanja so yanga kupata 0% sio issue.

2. bado kuna mechi ya marudiano na mashindano kibao mbeleni so tulizeni mishono.

5.yanga mpaka sasa hajapoteza mchezo

6. kama hamkujiandaa preseason rudini uturuki mkacheze na wapishi wa hotel I

7. simba yenye uwekezani wa more than 20b kujinasibu mmepiga pasi nyingi na kutoa draw na yanga yenye uwekezaji usiofika 500m ni aibu
 
Kumbe hakuna mabingwa wa short on target wala wapaki basi tunaongoza sisi Mtibwa na kikosi chetu cha milioni 40 kina Kuhimbwa
Screenshot_2018-10-05-17-26-25-1.png
 
Mleta mada amethibitishia uma ule umbumbu, tatizo la kukosa pesa ni la timu zote. Simba na yanga zina matatizo yanayo fanana hazina ubunifu wa kujipatia mapato zaidi ya kutegemea baadhi ya watu fulani badala ya kujijengea uwezo wa kiuchumi kama taasisi
Mkuu tutake radhi mabingwa watetezi wa TPL.. kwenye kamusi yetu hakuna neno hatuna ubunifu.
Mi Kandambili ndiyo hamna ubunifu.. Ndo mana kutwa kucha mnatuletea mabakuli tuwachangie.l
 
Mkuu tutake radhi mabingwa watetezi wa TPL.. kwenye kamusi yetu hakuna neno hatuna ubunifu.
Mi Kandambili ndiyo hamna ubunifu.. Ndo mana kutwa kucha mnatuletea mabakuli tuwachangie.l
Kwa nimekosea wapi? Kila mwananchi akichangia buku kwa mwezi si chini ya 20b ambazo ni sawa na mtaji wa kuinunua simba
 
Back
Top Bottom