Ndullu, Mkulo and Utoh Should be Fired!

swali ninalojiuliza, je magavana kabla ya marehemu balali k.m. mzee mtei, marehemu rutihinda nk, nao walifanya madudu kama haya?

Rutihinda aliunguza jumba according to wazee wa mji wa Dar wanasema moto huo ulikuwa ni kuunguza document za mzee Ali Hassan Mwinyi na link ya biashara za pembe ya ndovu ikimuunganisha yeye, diria na Said Bakhressa (Sina facts but ni stori inazunguka sana mjini).
 


BOT iliungua na Nyirabu si Rutihinda!
 
Yes I said it! These three knuckleheads should step down from their positions or get fired by the President!

Infact add the whole BOT management and Board!

Na mtu mwenyewe wa kuwafukuza kazi ni nani? Kikwete!? Hajawahi kumfukuza kazi mtu huyu ukiondoa yule Mkuu wa Wilaya aliyewachapa viboko Walimu wa shule za Wilayani kwake kwa matokeo ya aibu ya darasa la saba. Hivyo hili la hawa wazembe kufukuzwa kazi ni bora tusahau tu.

Kikwete inabidi ajifukuze kazi mwenyewe kabla ya mwingine yeyote maana matatizo mengi tuliyonayo yanaanzia kwake.
 
rev kishoka wacha unafiki
unataka kuwapa lawama ndullu, mkullo na utoh halafu unamuacha swahiba wako JK?
2010 ni wakati wa kung'oa shina(JK) na sio watumwa wake.
vote out incumbents
 

Tatizo ndio hapo. Wananchi hawachagui wabunge bali vyama ndivyo vinavyofanya. Wananchi wanatoa baraka tu kwa watu ambao vyama vinaona watalinda maslahi yao. Mtu mwenye mawazo kama yangu wananchi hawatapata nafasi ya kumpigia kura maana hamna chama kitakachompendekeza. Ndio maana hata hao tunaowaita wapiganaji inabidi wacheze karata zao vizuri wasiviudhi vyama vyao. Umuhimu wa kwanza unakuwa kwenye chama na si kwa wananchi!

Amandla......
 
Mikono chini alikuwa nyirabu, hivi hii stori ni kweli???? Kama ni kweli basi rais aliyekuwa msafi alikuwa Nyerere tu basi

Na ni Nyerere aliyekuwa Rais na si Mwinyi. BOT iliungua mwaka 1984!
 
rev kishoka wacha unafiki
unataka kuwapa lawama ndullu, mkullo na utoh halafu unamuacha swahiba wako JK?
2010 ni wakati wa kung'oa shina(JK) na sio watumwa wake.
vote out incumbents

Jamani Swahiba wangu mwacheni, nimeshamtukana sana, mpaka namuonea huruma sasa. si umeona machozi aliyoyatoa kwa Simba wa Vita? sijui ilikuwa ni dhamira inamsuta (guilty consciousness) au ni usanii!

Mwacheni ashikilie kwa miaka mingine mitano, ana sura nzuri, tabasamu la nguvu na kadiri anavyoendelea kutalii nje na kuacha kuongoza na kufanya kazi, ndivyo tunavyopata nafasi ya kujitambua udhaifu wetu na si kuogopa taasisi kama TISS na wengine kisa eti Rais mkali kama vile Kijeba Kipipa alivyofanya kwa miaka kumi akidai muwazi na msafi kumbe ni mchwa mwenye mkia wa ng'e!
 

HUO HAPO JUU NDIO UKWELI WENYEWE..........tumeshuhudia watu wa aina hiyo wakitupwa nje ya siasa ........na hata wale tuliokuwa tukiwaamini either wametugeuka na kuungana na mafisadi......wale waliokua na misimamo yao wametupwa nje au wamesahaulika kabisa.............hii tabia ipo hata kwenye vyama vya upinzani.........inauma sana
 
Mie naomba niulize kikwete anahusika vp katika BOT??? Kwasababu a. Yeye anamteua mtu ambaye wajumbe wa bodi wamempendekeza, pia unapomteua mtu una rely na information in writing sasa sidhani alitoka from the state house kumfata ndulu kumwambia kuwa nakuteua uwe gavana hapa kuna watu wameshawishi

Labda Kikwete alaumiwe kwa mkulo kwasababu ni mwanasiasa mwenzie but si gavana. Wakulaumiwa hapa ni libodi libovu pale BOT ambalo tumeshudia madudu mengi wanapitisha bila ya kuwa waangalifu, pia waziri wa fedha kwa kutofatilia vizuri utendaji na rais Kama hajamtimua huyu jamaa kwasababu ashaonekana hatufai ana tamaa venginevyo mwaka huu ni change tu hamna zaidi zilianguka roman empires sembuse CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…