Ndumba za hii timu ni hatari mno

😄zile hustle sa bayern vp
Ulaya yote wabaguzi Mane ni mzuri sn and hardworker wale watoto walimletea dharau kwakua wanataka kuandikwa wao Kwa mazuri and because he want success ndio maana alikasirika ninauhakika kuna walichomfanyia ndio maana akareact vile
 
Hata mm naiona hyo iko wazi
 
Ni kweli ndio maana Ramadhani Singano a.k.a Messi kapotea kabisa..., Timu inakamatwa na uchawi wa kuchoma nyasi huko S.A.
 
Sisi ndio tunashangaa.Kocha anapewa sofa za ubobevu,je huu ubobevu unayeyukia wapi akihama timu?Kama si ndumba ni nini?
Kocha Nabi mbona anafanya vizuri, ligi ya Morocco yeye ndio anaongoza tayari kashinda mechi 3 kasare 1. Wydad na Raja kawaacha alama 3 nawaona AS FAR Rabat wakitetea kombe lao.

Tatizo kubwa la AS FAR Rabat walikuwa hawapo ktk ramani ya kimataifa kama Yanga misimu miwili nyuma. CAF wakiwa wanapanga mechi za kufuzu makundi huwa wanapanga timu zenye points kubwa dhidi ya timu zenye points ndogo. Endapo kama ulikuwa hufanyi vizuri ni rahisi kukutanishwa na mzito, AS FAR Rabat kacheza na bingwa wa Tunisia (Etoile du Sahel). Pia timu yake huwa wanapata umeme hovyo hovyo hata hizi mechi zote mbili walicheza pungufu, mechi yake kwenye ligi walitoa sare na Raja Casablanca kwa mambo haya haya.
 
Mbona neymar hakushuka kiwango na alifosi kuondoka?

Hao uliotaja wote ni afadhali, maan wengine club zilipokea pesa ila neymar barca walokataa pesa neymar akazipeleka kilazima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…