Ndumbaro Adai Katiba Mpya ni hitaji la Watanzania kwa sasa

Ndumbaro Adai Katiba Mpya ni hitaji la Watanzania kwa sasa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hii ndio Taarifa inayozunguka mitandaoni kwa sasa kutoka Dodoma , ambapo Waziri wa Sheria na Katiba Dr Damas Ndumbaro amewaambiwa Wafanyakazi wa Wizara yake na Waandishi wa Habari kwamba Katiba mpya haikwepeki , kwa vile ndio hitaji la Watanzania kwa sasa.

Ameendelea kueleza kwamba mchakato wa Katiba hiyo tayari ushaiva na kwamba Isipokamilishwa Wananchi watashangaa.

Amedai vipaumbele vikubwa ni kwenye Sheria ya Uchaguzi wa serikali za mitaa , Uchaguzi Mkuu na Tume ya uchaguzi, na mimi naongezea utata mwingine ni ( madaraka ya Rais )
 
Hii ndio Taarifa inayozunguka mitandaoni kwa sasa kutoka Dodoma , ambapo Waziri wa Sheria na Katiba Dr Damas Ndumbaro amewaambiwa Wafanyakazi wa Wizara yake na Waandishi wa Habari kwamba Katiba mpya haikwepeki , kwa vile ndio hitaji la Watanzania kwa sasa .

Ameendelea kueleza kwamba mchakato wa Katiba hiyo tayari ushaiva na kwamba Isipokamilishwa Wananchi watashangaa .
Naunga mkono hoja na hili jambo akina sisi tulilishauri Hongera Sana Rais Samia kwa Miaka Miwili Madarakani. Japo Umefanya Mengi, Makubwa, Mazuri, Lakini Bado! Linalowezekana Leo, Lisingoje Kesho! na sasa linakwenda kutekelezwa na kutimizwa.
Big up sana kwa serikali yetu ya Rais Samia kuwa ni serikali sikivu.

P
 
Katiba Mpya ijadiliwe mara ngapi wakati Rasmu yake iko tayari?
Nafikiri suala ni sisi wananchi kuipigia kura ipite au tuendelee na hii ya sasa
 
MICHAKATO YA MAKATIBA YAANZE 2026,ILI IJE KUTUMIKA 2030. A RIGHT TIME.
N. B~Tuwe makini sana wapo maadui,waliojificha kwa ndani sana wenye VINYONGO NA VISASI wanadhani huu ndio utakuwa mlango wao!
 
Naunga mkono hoja
P
CCM imeishiwa mbinu zote na bila kuondoka madarakani nchi haitabadilika. Hata hivyo niko tayari kuunga mkono kwa moyo wote iwapo vyama vyote vya siasa na wananchi kwa ujumla watakubaliana kuwa rais Samia apite bila kupingwa 2025, ila asimamie uandikaji wa katiba mpya kwa muda uliobakia (sasa mpaka 2025) na mwaka 2025 tuanze ukurasa mpya tukiongozwa na katiba mpya. I mean uchaguzi wa wabunge na uundwaji wa serikali ufanyike kwa mujibu wa katiba mpya ila Samia ahakikishiwe nafasi yake 2025 mpaka 2030.
 
CCM imeishiwa mbinu zote na bila kuondoka madarakani nchi haitabadilika. Hata hivyo niko tayari kuunga mkono kwa moyo wote iwapo vyama vyote vya siasa na wananchi kwa ujumla watakubaliana kuwa rais Samia apite bila kupingwa 2025, ila asimamie uandikaji wa katiba mpya kwa muda uliobakia (sasa mpaka 2025) na mwaka 2025 tuanze ukurasa mpya tukiongozwa na katiba mpya. I mean uchaguzi wa wabunge na uundwaji wa serikali ufanyike kwa mujibu wa katiba mpya ila Samia ahakikishiwe nafasi yake 2025 mpaka 2030.
Naunga mkono hoja , na mimi pia hili nimelishauri Hongera Sana Rais Samia kwa Miaka Miwili Madarakani. Japo Umefanya Mengi, Makubwa, Mazuri, Lakini Bado! Linalowezekana Leo, Lisingoje Kesho!
P
 
CCM imeishiwa mbinu zote na bila kuondoka madarakani nchi haitabadilika. Hata hivyo niko tayari kuunga mkono kwa moyo wote iwapo vyama vyote vya siasa na wananchi kwa ujumla watakubaliana kuwa rais Samia apite bila kupingwa 2025, ila asimamie uandikaji wa katiba mpya kwa muda uliobakia (sasa mpaka 2025) na mwaka 2025 tuanze ukurasa mpya tukiongozwa na katiba mpya. I mean uchaguzi wa wabunge na uundwaji wa serikali ufanyike kwa mujibu wa katiba mpya ila Samia ahakikishiwe nafasi yake 2025 mpaka 2030.
labda apite bila kupingwa kwenye chama chake.
 
Hii ndio Taarifa inayozunguka mitandaoni kwa sasa kutoka Dodoma , ambapo Waziri wa Sheria na Katiba Dr Damas Ndumbaro amewaambiwa Wafanyakazi wa Wizara yake na Waandishi wa Habari kwamba Katiba mpya haikwepeki , kwa vile ndio hitaji la Watanzania kwa sasa .

Ameendelea kueleza kwamba mchakato wa Katiba hiyo tayari ushaiva na kwamba Isipokamilishwa Wananchi watashangaa .
,

Ngoja tumshauri Mama kuhusu huyu Ndumbaro, naona ana kiherehere, Chama Tawala ni CCM, hadi CCM ikae na Mwenyekiti wake ndio taarifa itatoka, yeye kaanza kuropoka mapema kivipi…

Mama Samia unamuona huyu Ndumbaro, ebu kalamu itembee
 
Back
Top Bottom