Watanzania gani wamemtuma awasemee. Ajisemee mwenyewe.Hii ndio Taarifa inayozunguka mitandaoni kwa sasa kutoka Dodoma , ambapo Waziri wa Sheria na Katiba Dr Damas Ndumbaro amewaambiwa Wafanyakazi wa Wizara yake na Waandishi wa Habari kwamba Katiba mpya haikwepeki , kwa vile ndio hitaji la Watanzania kwa sasa .
Ameendelea kueleza kwamba mchakato wa Katiba hiyo tayari ushaiva na kwamba Isipokamilishwa Wananchi watashangaa .
,
Amedai vipaumbele vikubwa ni kwenye Sheria ya Uchaguzi wa serikali za mitaa , Uchaguzi Mkuu na Tume ya uchaguzi , na mimi naongezea utata mwingine ni ( madaraka ya Rais )
Swali zuri sana!Itakuwa katiba ya aina gani??
Hapana, nimesema kwa vyote. Sikiliza: tukiwa na mfumo mpya na mzuri wa uongozi utakaopatikana kwa mwongozo wa katiba mpya, na uchaguzi wa wabunge ukiwa wa kidemokrasia na bunge liwe na balance nzuri ya vyama na wabunge wenye kuwajibika, nafasi ya urais itakuwa siyo ya kimungu mtu kama sasa.labda apite bila kupingwa kwenye chama chake.
Kwahiyo wewe kazi yako ni kula tu na kusubiri kufa siyo ?Watanzania gani wamemtuma awasemee. Ajisemee mwenyewe.
Hasa wabungewaliobebwa na dikteta . Wapi Tulia Akson?? Wapi Gamba? Kama nawaona vile.Kweli mkuu
"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA ijadiliwe iwe Katiba mpya"
Wewe kama siyo ndugu yake Tulia basi utakuwa ndugu wa GamboMICHAKATO YA MAKATIBA YAANZE 2026,ILI IJE KUTUMIKA 2030. A RIGHT TIME.
N. B~Tuwe makini sana wapo maadui,waliojificha kwa ndani sana wenye VINYONGO NA VISASI wanadhani huu ndio utakuwa mlango wao!
Hakuna urahisi wowote mtakaoupata nyie mafisadi, 2026 kwa misingi gani? Katiba mpya ni sasa. 2025 apatikane kiongozi wa kuchaguliwa kwa dhati ya wanachi. Dezo na kuwekana hatutaki tenaMICHAKATO YA MAKATIBA YAANZE 2026,ILI IJE KUTUMIKA 2030. A RIGHT TIME.
N. B~Tuwe makini sana wapo maadui,waliojificha kwa ndani sana wenye VINYONGO NA VISASI wanadhani huu ndio utakuwa mlango wao!
Hakuna kupita bila kupingwa hapa. Urais wa kurithi na dezo ndio umebakiza miaka miwili tu. Never againCCM imeishiwa mbinu zote na bila kuondoka madarakani nchi haitabadilika. Hata hivyo niko tayari kuunga mkono kwa moyo wote iwapo vyama vyote vya siasa na wananchi kwa ujumla watakubaliana kuwa rais Samia apite bila kupingwa 2025, ila asimamie uandikaji wa katiba mpya kwa muda uliobakia (sasa mpaka 2025) na mwaka 2025 tuanze ukurasa mpya tukiongozwa na katiba mpya. I mean uchaguzi wa wabunge na uundwaji wa serikali ufanyike kwa mujibu wa katiba mpya ila Samia ahakikishiwe nafasi yake 2025 mpaka 2030.
Uzi wako ule wa SUKUMA GANG umeukimbia mkuu, watu wanatema Nyongo kuhusu ushamba wenu wasukuma.Hiyo ndio kazi ya bendera ni kupepea tuu, hivyo tunapepea.
P
Ni wewe mkuu, 'Macho...', au kunamwingine kachukua jina?CCM imeishiwa mbinu zote na bila kuondoka madarakani nchi haitabadilika. Hata hivyo niko tayari kuunga mkono kwa moyo wote iwapo vyama vyote vya siasa na wananchi kwa ujumla watakubaliana kuwa rais Samia apite bila kupingwa 2025, ila asimamie uandikaji wa katiba mpya kwa muda uliobakia (sasa mpaka 2025) na mwaka 2025 tuanze ukurasa mpya tukiongozwa na katiba mpya. I mean uchaguzi wa wabunge na uundwaji wa serikali ufanyike kwa mujibu wa katiba mpya ila Samia ahakikishiwe nafasi yake 2025 mpaka 2030.
Mkuu DINHO , ukiuliza kitu nje ya mada iliyo mezani unaanza kwa kutaka radhi kwenda nje ya mada.Uzi wako ule wa SUKUMA GANG umeukimbia mkuu, watu wanatema Nyongo kuhusu ushamba wenu wasukuma.
Hawawezi rudisha kitu kilichopolitwa na wakati, yaani kitu cha miaka 10 iliyopita ndo twende nacho leo?Kweli mkuu
"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA ijadiliwe iwe Katiba mpya"
Faida ya katiba mpya na hasara ya katiba iliyopoKwahiyo wewe kazi yako ni kula tu na kusubiri kufa siyo ?
Kuna Wajinga wapo CCM wanadhani ni HITAJI la CHADEMAHii ndio Taarifa inayozunguka mitandaoni kwa sasa kutoka Dodoma , ambapo Waziri wa Sheria na Katiba Dr Damas Ndumbaro amewaambiwa Wafanyakazi wa Wizara yake na Waandishi wa Habari kwamba Katiba mpya haikwepeki , kwa vile ndio hitaji la Watanzania kwa sasa .
Ameendelea kueleza kwamba mchakato wa Katiba hiyo tayari ushaiva na kwamba Isipokamilishwa Wananchi watashangaa .
,
Amedai vipaumbele vikubwa ni kwenye Sheria ya Uchaguzi wa serikali za mitaa , Uchaguzi Mkuu na Tume ya uchaguzi , na mimi naongezea utata mwingine ni ( madaraka ya Rais )
Kwani hii katiba mbovu iliyopo ina miaka mingapi na inatumika TU!!? Na madhara yake ni makubwa!!?Hawawezi rudisha kitu kilichopolitwa na wakati, yaani kitu cha miaka 10 iliyopita ndo twende nacho leo?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
CCM wanayo Katiba PendekezwaKuna Wajinga wapo CCM wanadhani ni HITAJI la CHADEMA
Ni mimi mkuu. Nataka kuonyesha kuwa mfumo wetu wa uongozi ndiyo adui yetu mkubwa na kiti cha urais kwa katiba ya sasa hata kikikaliwa na nani, kama hakuna mabadiliko ni bure. Kwangu mimi niko tayari ku-sacrifice katiba mpya na bora kwa kiti cha urais (siyo na wabunge lakini). Nina uhakika Samia akiwa rais chini ya katiba nzuri yenye kupunguza madaraka yake na mambo mengine yanayompa umungu mtu tume ya uchaguzi ikiwa huru na wabunge wapatikane kwa uchaguzi huru, na mihimili mingine ijitegee, tutakuwa tumefanya sacrifice nzuri.Ni wewe mkuu, 'Macho...', au kunamwingine kachukua jina?
Nimesoma, lakini sijakuelewa usemacho!
Ngoja nipumzishe akili, halafu nirudi kukusoma vizuri, huenda nimechanganya mambo.