Ndugai pamoja na kuwa mwamba kwa wapinzani ulishindwa kudinda kama Gachagua ,hata kama ataondolewa kwa masanet kupiga kura lakini ameonyaesha ukomavu kama mwanasiasa
Ndugai uliogopa nini mzee wangu ? Mbona haukuonyesha ubabe hata kidogo jinsi ulivyokuwa unawaonyesha wapinzani ?, ili wasumbuke kidogo kukuondoa.
Pamoja na uzoefu wako wa uongozi unashindwa na Gachagua aliyekuwa (DO) Division officer kabla ya kuwa naibu rais .
Kwa pamoja jana nilifrahia mahojiano kati ya wakili wa Gachagua na shahidi wa bunge la Kenya ,kwa maswali yale ndio mana wakili wetu hawashindi kesi zetu huko Ulaya.
Mbunge Ndungai uliondoka kiurahisi sana au ulitegemea utarudishwa tena ? au kwa kuwa ni lazima ujae kwenye mfumo .
Ndugai uliogopa nini mzee wangu ? Mbona haukuonyesha ubabe hata kidogo jinsi ulivyokuwa unawaonyesha wapinzani ?, ili wasumbuke kidogo kukuondoa.
Pamoja na uzoefu wako wa uongozi unashindwa na Gachagua aliyekuwa (DO) Division officer kabla ya kuwa naibu rais .
Kwa pamoja jana nilifrahia mahojiano kati ya wakili wa Gachagua na shahidi wa bunge la Kenya ,kwa maswali yale ndio mana wakili wetu hawashindi kesi zetu huko Ulaya.
Mbunge Ndungai uliondoka kiurahisi sana au ulitegemea utarudishwa tena ? au kwa kuwa ni lazima ujae kwenye mfumo .