Kujiuzulu isingekuwa sawa process yote ingefaa ikamilike, kujiuzulu ingekuwa kuficha tuhuma...sasa hivi ndio inaonekana ameonewa na ndio anachotaka ile akasafishe jina lake mahakamaniKwa hali jinsi ilivyokuwa DP Gachagua alipaswa kujiudhuru haraka Sana mara tu alipopigiwa kura na Wabunge juu ya kukosa Imani naye. Kwa namna yoyote ile Gachagua asingeweza kunusurika kwenye vurumai hiyo kwa sababu tayari alishazingirwa na maadui zake na kuwekwa mtu Kati.
Ameonewa kwa namna gani? Karibu asilimia 90% alishajitetea yeye pamoja na mawakili wake, ilibaki leo amalize utetezi wake, pengine ingepunguza kama.si kuondoa.hizo.tuhuma 11, ambazo 5 ameshindwa, nusu nzima jumla ya tuhuma.Kujiuzulu isingekuwa sawa process yote ingefaa ikamilike, kujiuzulu ingekuwa kuficha tuhuma...sasa hivi ndio inaonekana ameonewa na ndio anachotaka ile akasafishe jina lake mahakamani
Ameonewa kwa namna gani? Karibu asilimia 90% alishajitetea yeye pamoja na mawakili wake, ilibaki leo amalize utetezi wake, pengine ingepunguza kama.si kuondoa.hizo.tuhuma 11, ambazo 5 ameshindwa, nusu nzima jumla ya tuhuma.
Yeye akakimbilia hospitali kutafuta public sympathy ..sasa huko.mahakamani sioni chochote kitakachotokea watamchosha tu chief justice martha, na kaa ukielewa Ruto ndio yuko nyuma ya hili jambo, hawawez kufanya kazi pamoja tena, yani wewe unataka kunipindua mimi rais kijanja kwa kujilimbikizia mali na utajir , matumiz mabaya ya ofisi na kufazili maandamano ili iwe rahis kwako nikuache madarakani ? Sio ruto.
Ruto anajua technique nyingi...jenga picha kipindiyupo NO referendum wakiwa na Raila naAmeonewa kwa namna gani? Karibu asilimia 90% alishajitetea yeye pamoja na mawakili wake, ilibaki leo amalize utetezi wake, pengine ingepunguza kama.si kuondoa.hizo.tuhuma 11, ambazo 5 ameshindwa, nusu nzima jumla ya tuhuma.
Yeye akakimbilia hospitali kutafuta public sympathy ..sasa huko.mahakamani sioni chochote kitakachotokea watamchosha tu chief justice martha, na kaa ukielewa Ruto ndio yuko nyuma ya hili jambo, hawawez kufanya kazi pamoja tena, yani wewe unataka kunipindua mimi rais kijanja kwa kujilimbikizia mali na utajir , matumiz mabaya ya ofisi na kufazili maandamano ili iwe rahis kwako nikuache madarakani ? Sio ruto.
Ruto ana technique nyingi...fikiria kipindi wapo NO refarendum na Raila against Kibaki ...Machafuko 2007/2008 ...Kustakiwa na kushinda kesi the Hague.... Kuwa naibu rais Uhuru na kufarakana nae....Kuwa rais ..jamaa ana technique nyingi mnoo...Mpaka kufika hapo amepitia mengi..Ameonewa kwa namna gani? Karibu asilimia 90% alishajitetea yeye pamoja na mawakili wake, ilibaki leo amalize utetezi wake, pengine ingepunguza kama.si kuondoa.hizo.tuhuma 11, ambazo 5 ameshindwa, nusu nzima jumla ya tuhuma.
Yeye akakimbilia hospitali kutafuta public sympathy ..sasa huko.mahakamani sioni chochote kitakachotokea watamchosha tu chief justice martha, na kaa ukielewa Ruto ndio yuko nyuma ya hili jambo, hawawez kufanya kazi pamoja tena, yani wewe unataka kunipindua mimi rais kijanja kwa kujilimbikizia mali na utajir , matumiz mabaya ya ofisi na kufazili maandamano ili iwe rahis kwako nikuache madarakani ? Sio ruto.
Bora aliwahi
Kuliko kusubiri fedheha
Ameonewa kwa namna gani? Karibu asilimia 90% alishajitetea yeye pamoja na mawakili wake, ilibaki leo amalize utetezi wake, pengine ingepunguza kama.si kuondoa.hizo.tuhuma 11, ambazo 5 ameshindwa, nusu nzima jumla ya tuhuma.
Yeye akakimbilia hospitali kutafuta public sympathy ..sasa huko.mahakamani sioni chochote kitakachotokea watamchosha tu chief justice martha, na kaa ukielewa Ruto ndio yuko nyuma ya hili jambo, hawawez kufanya kazi pamoja tena, yani wewe unataka kunipindua mimi rais kijanja kwa kujilimbikizia mali na utajir , matumiz mabaya ya ofisi na kufazili maandamano ili iwe rahis kwako nikuache madarakani ? Sio ruto.
Ruto anajua technique nyingi...jenga picha kipindiyupo NO referendum wakiwa na Raila naAmeonewa kwa namna gani? Karibu asilimia 90% alishajitetea yeye pamoja na mawakili wake, ilibaki leo amalize utetezi wake, pengine ingepunguza kama.si kuondoa.hizo.tuhuma 11, ambazo 5 ameshindwa, nusu nzima jumla ya tuhuma.
Yeye akakimbilia hospitali kutafuta public sympathy ..sasa huko.mahakamani sioni chochote kitakachotokea watamchosha tu chief justice martha, na kaa ukielewa Ruto ndio yuko nyuma ya hili jambo, hawawez kufanya kazi pamoja tena, yani wewe unataka kunipindua mimi rais kijanja kwa kujilimbikizia mali na utajir , matumiz mabaya ya ofisi na kufazili maandamano ili iwe rahis kwako nikuache madarakani ? Sio ruto.
Ruto ana technique nyingi...fikiria kipindi wapo NO na Raila against Kibaki ,Ameonewa kwa namna gani? Karibu asilimia 90% alishajitetea yeye pamoja na mawakili wake, ilibaki leo amalize utetezi wake, pengine ingepunguza kama.si kuondoa.hizo.tuhuma 11, ambazo 5 ameshindwa, nusu nzima jumla ya tuhuma.
Yeye akakimbilia hospitali kutafuta public sympathy ..sasa huko.mahakamani sioni chochote kitakachotokea watamchosha tu chief justice martha, na kaa ukielewa Ruto ndio yuko nyuma ya hili jambo, hawawez kufanya kazi pamoja tena, yani wewe unataka kunipindua mimi rais kijanja kwa kujilimbikizia mali na utajir , matumiz mabaya ya ofisi na kufazili maandamano ili iwe rahis kwako nikuache madarakani ? Sio ruto.
Hakuna cha fedheha ametolewa kiujasiri ...sio Ndungai dakika moja tu ashaandika barua na kulialia amekosea.Bora aliwahi
Kuliko kusubiri fedheha
Tanzania mamlaka ya Rais ni sheria, akisema no one kuhoji,ni utekelezaji tu, siyo kama mamlaka ya Mahakama, lazima msikilizane pande zote mbili kwanza ndiyo maamuzi yatoke kama wanavyo fanya huko kwenye eti Rais wa Nchi aangaike kumfukuza mtumishi wake asiye na nidhamu kwake hadi huko kwenye mabaraza, Ruto hana nguvu kama Samia!!Kwa kweli yule boya wa Dom alikufa kifo cha mende,wakati tulijua yeye ni mamba.
Hivi ni kweli Makamo alitaka kupindua Rais!? Kisa nini!? Mshahara mdogo anamlipa au anataka ninii!?Ameonewa kwa namna gani? Karibu asilimia 90% alishajitetea yeye pamoja na mawakili wake, ilibaki leo amalize utetezi wake, pengine ingepunguza kama.si kuondoa.hizo.tuhuma 11, ambazo 5 ameshindwa, nusu nzima jumla ya tuhuma.
Yeye akakimbilia hospitali kutafuta public sympathy ..sasa huko.mahakamani sioni chochote kitakachotokea watamchosha tu chief justice martha, na kaa ukielewa Ruto ndio yuko nyuma ya hili jambo, hawawez kufanya kazi pamoja tena, yani wewe unataka kunipindua mimi rais kijanja kwa kujilimbikizia mali na utajir , matumiz mabaya ya ofisi na kufazili maandamano ili iwe rahis kwako nikuache madarakani ? Sio ruto.
Mkuu Rais hana Malaka wa kumwodoa Ndungai..Ndungai ilikuwa aondolewe kama njia inayoendana na iliomtoa Gachagua...Bunge ndio wanamamlaka wa kumwondoa spika..hiyo inajulikana hata ka sisi tusiyosoma sheria..Tanzania mamlaka ya Rais ni sheria, akisema no one kuhoji,ni utekelezaji tu, siyo kama mamlaka ya Mahakama, lazima msikilizane pande zote mbili kwanza ndiyo maamuzi yatoke kama wanavyo fanya huko kwenye eti Rais wa Nchi aangaike kumfukuza mtumishi wake asiye na nidhamu kwake hadi huko kwenye mabaraza, Ruto hana nguvu kama Samia!!
Mkuu Mihimili ni kweli iko mitatu, ila kuna mmoja umejichimbia zaidi! Nilimsikia Mwendazake akisema!!Mkuu Rais hana Malaka wa kumwodoa Ndungai..Ndungai ilikuwa aondolewe kama njia inayoendana na iliomtoa Gachagua...Bunge ndio wanamamlaka wa kumwondoa spika..hiyo inajulikana hata ka sisi tusiyosoma sheria..
Kàtibà ya TZ haina utaratibu kama wa kenyaAkipigiwa kura na senate kuondolewa Gachagua haruhusiwi kugombea cheo chochote cha kisiasa milele Kenya
Ndugai Ruksa kugombea cheo chochote kisiasa sababu hakusibiri bunge kutoa uamuzi kama Gachagua
Labda naye aliingia kirahisi mno, hivi huyu spika tuliyenaye akipishana na rais unadhani inaweza kuchukua dakika ngapi kumwondoa.Kabisa mkuu kwa ubabe ule alipaswa kudinda kwa sababu Rais hana mamlaka wa kumtengua
Walaaaa asingewezaa maaanaNdugai pamoja na kuwa mwamba kwa wapinzani ulishindwa kudinda kama Gachagua ,hata kama ataondolewa kwa masanet kupiga kura lakini ameonyaesha ukomavu kama mwanasiasa
Ndugai uliogopa nini mzee wangu ? Mbona haukuonyesha ubabe hata kidogo jinsi ulivyokuwa unawaonyesha wapinzani ?, ili wasumbuke kidogo kukuondoa.
Pamoja na uzoefu wako wa uongozi unashindwa na Gachagua aliyekuwa (DO) Division officer kabla ya kuwa naibu rais .
Kwa pamoja jana nilifrahia mahojiano kati ya wakili wa Gachagua na shahidi wa bunge la Kenya ,kwa maswali yale ndio mana wakili wetu hawashindi kesi zetu huko Ulaya.
Mbunge Ndungai uliondoka kiurahisi sana au ulitegemea utarudishwa tena ? au kwa kuwa ni lazima ujae kwenye mfumo .
Ni kweli, wangeweza kumuondoa kibingwa kwa njia kama ile waliyotumia kwa Horace KolimbaKenya Kuna katiba inayosaidia huo ubishi!
Ilihitajika Mzee malechela aende kwa ndugai kumwambia ajiuzulu!
Unajua maana yake!!?angeleta ubishi ingekua Sasa tunamuita hayati!!
Mzee ashukuriwe sana!
Sawa wakiliAmeonewa kwa namna gani? Karibu asilimia 90% alishajitetea yeye pamoja na mawakili wake, ilibaki leo amalize utetezi wake, pengine ingepunguza kama.si kuondoa.hizo.tuhuma 11, ambazo 5 ameshindwa, nusu nzima jumla ya tuhuma.
Yeye akakimbilia hospitali kutafuta public sympathy ..sasa huko.mahakamani sioni chochote kitakachotokea watamchosha tu chief justice martha, na kaa ukielewa Ruto ndio yuko nyuma ya hili jambo, hawawez kufanya kazi pamoja tena, yani wewe unataka kunipindua mimi rais kijanja kwa kujilimbikizia mali na utajir , matumiz mabaya ya ofisi na kufazili maandamano ili iwe rahis kwako nikuache madarakani ? Sio ruto.